Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Umekwisha ambiwa alizaliwa Kivule mkoa wa Pwani Tanganyika, sasa hiyo ya mzanzibari umeitoa wapi!Ni swala la kisiasa, alikuwa raisi kwa kigezo kuwa ni mtu wa visiwani. Huenda alitamka azikwe alikozaliwa ila siasa ikambana.