GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #61
Jerusalem Israel.Tuanzie na wewe mwenyewe mleta mada ukifa utazikwa Tanzania au kwenu Rwanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jerusalem Israel.Tuanzie na wewe mwenyewe mleta mada ukifa utazikwa Tanzania au kwenu Rwanda?
Kenya na Burundi.Mataifa Gani hayo yanatuita mazuzu nitajie moja tu
Wazanzibar ni wabinafsi.Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Marehemu alichagua kuzikwa mkurangaMarehemu ndiye mwenye haki ya kwanza ya kuchagua akazikwe wapi pindi akifa.
Wa pili ni ndugu/ familia.
Hata Magufuli angesema ni sharti akazikwe Kizimkazi pindi akifa infefanyika hivyo.
Kenya hakuna Wala BurundiKenya na Burundi.
Lengo la mwandishi siyo ufufuo bali ni hoja ya kutaka kujua wanasiasa wasitufanye wajinga kutupigaAkizikwa mkurunga ndio atafufuka ?rubbish
Kwahiyo Wewe unahisi ni Mataifa gani ya Jirani yanawaita Watanzania Mazuzu ( Wapumbavu ) na Wanatudharau mno?Kenya hakuna Wala Burundi
Wote hao rafiki zetu na tunaheshimiana sana hawana dharau Kwa Watanzania
Tuna uhusiano nao mzuri sana na hata Nkurunzinza Burundi alipopinduliwa Watanzania tulimrudisha madarakani
Kenya ni partner wetu waakubwa kwenye biashara .Biashara yetu kubwa Iko kati ya Kenya na Tanzania na hawajawahi kuzalisha wakimbizi maelfu kuja kwetu na Sisi hatujawahi zalisha wakimbizi kwenda kwao
😅😆😆😆😆😆😆 GENTAMYCINE kakasirika 😁😁😁😁Pumbavu.
Place of domicile eh?Ndani ya Jamhuri tu.
Sio Tokyo, Tokyo, na kwingineko ni kwa gharama za familia.
Kuhusu watumishi popote watakapotaka familia atazikwa ila kuondoa mikanganyiko mingi na ugomvi katika familia serikali itatambua anuani zake za kudumu alizoziweka mwenyewe kwa mwajiri wake.
Mimi najua hakuna Nchi inatudharau Sisi wewe ndio utaje hizo Nchi au hiyo Nchi inayotudharau Watanzania maana wewe ndio umesema kuna Nchi zinatudharau taja mwenyeweKwahiyo Wewe unahisi ni Mataifa gani ya Jirani yanawaita Watanzania Mazuzu ( Wapumbavu ) na Wanatudharau mno?
Siasa za nchi hii nn imbaya sana hapo kinachotafutwa ni ushindi wa mwemyi mtoto kwenye uchaguzi ujao visiwaniKama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Burundi, Kenya, Somalia na Congo DR.Mimi najua hakuna Nchi inatudharau Sisi wewe ndio utaje hizo Nchi au hiyo Nchi inayotudharau Watanzania maana wewe ndio umesema kuna Nchi zinatudharau taja mwenyewe
Burundi nimekwambia hata ikipinduliwa Watanzania tunaenda kurudisha kiongozi,Kenya hata wakigombana Sisi ndio huenda kusuluhisha walipogombana na kupigana Kikwete ndie alienda kuwasuluhisha Kenyatta na Odinga wakamaliza mapigano na Nchi ikawa na Amani,Kongo Rafiki zetu Hadi majeshi yetu Sasa hivi Yako kule Congo kuwasaidia kupigana na M23 na ndio watumiaji wakubwa wa bandari yetu.Burundi, Kenya, Somalia na Congo DR.
Ndivyo inavyotakiwa kwa Kila muislamu.Shekhe Ilunga alizaliwa Tabora, akajenga Mwanza, kafariki akiwa Dar, hakusafirishwa alizikiwa huko huko dar,
Sionkwamba pesa ya kisafirisha mwili haikuepo Bali ni yeye alisemaga popote atakapofia azikwe na waislamu wa eneo Hilo.
Ila alitakiwa azikwe Dar maana ndipo alikofiaMzee mwislam anazikwa popote anapofia. Kuna lingine
Na hapa ipoMarehemu ndiye mwenye haki ya kwanza ya kuchagua akazikwe wapi pindi akifa.
Wa pili ni ndugu/ familia.
Hata Magufuli angesema ni sharti akazikwe Kizimkazi pindi akifa infefanyika hivyo.