Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Kivule, Alifikaje Zanzibar?

Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Kivule, Alifikaje Zanzibar?

Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Wazanzibar ni wabinafsi.

Hussein Mwinyi hapo ameona baba yake akizikwa TZ bara itampunguzia nguvu kisiasa huko Zanzibar maana ataonekana si wa kwao .
 
Kenya na Burundi.
Kenya hakuna Wala Burundi

Wote hao rafiki zetu na tunaheshimiana sana hawana dharau Kwa Watanzania

Tuna uhusiano nao mzuri sana na hata Nkurunzinza Burundi alipopinduliwa Watanzania tulimrudisha madarakani
Kenya ni partner wetu waakubwa kwenye biashara .Biashara yetu kubwa Iko kati ya Kenya na Tanzania na hawajawahi kuzalisha wakimbizi maelfu kuja kwetu na Sisi hatujawahi zalisha wakimbizi kwenda kwao
 
Kenya hakuna Wala Burundi

Wote hao rafiki zetu na tunaheshimiana sana hawana dharau Kwa Watanzania

Tuna uhusiano nao mzuri sana na hata Nkurunzinza Burundi alipopinduliwa Watanzania tulimrudisha madarakani
Kenya ni partner wetu waakubwa kwenye biashara .Biashara yetu kubwa Iko kati ya Kenya na Tanzania na hawajawahi kuzalisha wakimbizi maelfu kuja kwetu na Sisi hatujawahi zalisha wakimbizi kwenda kwao
Kwahiyo Wewe unahisi ni Mataifa gani ya Jirani yanawaita Watanzania Mazuzu ( Wapumbavu ) na Wanatudharau mno?
 
Ndani ya Jamhuri tu.
Sio Tokyo, Tokyo, na kwingineko ni kwa gharama za familia.
Kuhusu watumishi popote watakapotaka familia atazikwa ila kuondoa mikanganyiko mingi na ugomvi katika familia serikali itatambua anuani zake za kudumu alizoziweka mwenyewe kwa mwajiri wake.
Place of domicile eh?
 
Kwahiyo Wewe unahisi ni Mataifa gani ya Jirani yanawaita Watanzania Mazuzu ( Wapumbavu ) na Wanatudharau mno?
Mimi najua hakuna Nchi inatudharau Sisi wewe ndio utaje hizo Nchi au hiyo Nchi inayotudharau Watanzania maana wewe ndio umesema kuna Nchi zinatudharau taja mwenyewe
 
Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Siasa za nchi hii nn imbaya sana hapo kinachotafutwa ni ushindi wa mwemyi mtoto kwenye uchaguzi ujao visiwani
 
Mimi najua hakuna Nchi inatudharau Sisi wewe ndio utaje hizo Nchi au hiyo Nchi inayotudharau Watanzania maana wewe ndio umesema kuna Nchi zinatudharau taja mwenyewe
Burundi, Kenya, Somalia na Congo DR.
 
Burundi, Kenya, Somalia na Congo DR.
Burundi nimekwambia hata ikipinduliwa Watanzania tunaenda kurudisha kiongozi,Kenya hata wakigombana Sisi ndio huenda kusuluhisha walipogombana na kupigana Kikwete ndie alienda kuwasuluhisha Kenyatta na Odinga wakamaliza mapigano na Nchi ikawa na Amani,Kongo Rafiki zetu Hadi majeshi yetu Sasa hivi Yako kule Congo kuwasaidia kupigana na M23 na ndio watumiaji wakubwa wa bandari yetu.

Somalia hatuna ugomvi nao tunao wawekezaji kibao wasomali waliowekeza Tanzania kuanzia mahoteli ,biashara za mafuta , Apartments nk na hakujawahi tokea shida yeyote na Somalia sababu kwanza hata hatupakani nao
 
Hiki jamaa kinajiona kijuaji kila kitu
 
Shekhe Ilunga alizaliwa Tabora, akajenga Mwanza, kafariki akiwa Dar, hakusafirishwa alizikiwa huko huko dar,

Sionkwamba pesa ya kisafirisha mwili haikuepo Bali ni yeye alisemaga popote atakapofia azikwe na waislamu wa eneo Hilo.
Ndivyo inavyotakiwa kwa Kila muislamu.
Mtume Muhammad (SAW)
Kzaliwa Makkah na kuzikwa Madinah
 
Alifuata Dini na ni Bora/Vyema alazikwa kwenye Dini...
 
Back
Top Bottom