GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #81
Hata kukupa Mimba zangu najua pia.Hiki jamaa kinajiona kijuaji kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kukupa Mimba zangu najua pia.Hiki jamaa kinajiona kijuaji kila kitu
Wakazi wote wa Zanzibar ni wahamiaji, hicho kisiwa kilikuwa sehemu ya kupumzikia wavuvi kutoka mataifa na sehemu mbalimbali ambao baadae waliamua kuhamia hapo, ndio maana kuna makabila na watu wa mataifa mbalimbali ambao vizazi vyao vilihamia hapo kama akina Karume kwao ni Malawi, Salmini kwao Ngazija, Moyo kwao Songea n.k kwa kifupi Zanzibar haina mwenyewe wala mwenye haki nayo, kuna Wanyamwezi, Wakurya,Wanyakyusa,Waajemi,Wachina,Waarabu, Wahindi na kuendelea.Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Lakin hakufia Makka akasafirishwa kwenda kuzikwa madina!Ndivyo inavyotakiwa kwa Kila muislamu.
Mtume Muhammad (SAW)
Kzaliwa Makkah na kuzikwa Madinah
fala kweli wewe mzeeKama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Yaani kabisa Mkurya akaishi Zanzibar? Hebu tuombe / waombe radhi haraka sana sawa?Wakazi wote wa Zanzibar ni wahamiaji, hicho kisiwa kilikuwa sehemu ya kupumzikia wavuvi kutoka mataifa na sehemu mbalimbali ambao baadae waliamua kuhamia hapo, ndio maana kuna makabila na watu wa mataifa mbalimbali ambao vizazi vyao vilihamia hapo kama akina Karume kwao ni Malawi, Salmini kwao Ngazija, Moyo kwao Songea n.k kwa kifupi Zanzibar haina mwenyewe wala mwenye haki nayo, kuna Wanyamwezi, Wakurya,Wanyakyusa,Waajemi,Wachina,Waarabu, Wahindi na kuendelea.
kabla hajafa watoto wake walikaa nae na kumuomba azikwe mangapwani ambako ndiko alikokulia,na ndiko aliko na ndugu na jamaa zake,maana kivule alikozaliwa,hakuna twna ndugu zake,akakubaliKama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.