Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ndivyo mnavyomtishaga huyo maza na mlifanikiwa.Ngoja tuone kama huko mbeleni itakuwaje ila msoga ni dude kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mnavyomtishaga huyo maza na mlifanikiwa.Ngoja tuone kama huko mbeleni itakuwaje ila msoga ni dude kubwa sana
Makamba kaondolewa kwenye uongozi hajabadilishiwa wizara.Kinachokufanya uamini Samia hakurupuki ni kipi mkuu?
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
January anaushawishi?? Kwa nani yule anabebwa na baba yake kumshika jk,akiachwa mwenyewe hata ubunge hapitiHapana January anaushawishi mkubwa
Sio kweliJanuary anaushawishi?? Kwa nani yule anabebwa na baba yake kumshika jk,akiachwa mwenyewe hata ubunge hapiti
Kwanza hana mvuto,pili alivuna maadui kuliko makonda kipindi jk anampendelea,alipewa uwaziri wa technolojia mtu kasomea degree za usuluhishiSio kweli
Waziri kimsingi hana kazi mwenye kazi ni Katibu MkuuKwanza hana mvuto,pili alivuna maadui kuliko makonda kipindi jk anampendelea,alipewa uwaziri wa technolojia mtu kasomea degree za usuluhishi
Kama hana kazi tunamlipa wa nini? Ushaona umeme umekatika analalamikiwa katibu mkuu,wizara ni kama mgahawa ,mmiliki raisi ,meneja ni waziri ,katibu ni mpishi mkuu, nenda jipe mtihani mdogo ,nenda google kaangalie mawaziri wa teknolojia wa japan,usa ,russia na china.utagundua ma engineer tupu.huo upumbafu wa kuleta mtu kasomea kiswahili akaongoze wizara ya madini aliuleta jk ili kuweka washkaji ila mkapa kurudi nyuma walizingatiaWaziri kimsingi hana kazi mwenye kazi ni Katibu Mkuu
Unadhani maneno aliyokuwa anaongea jenerali yalikuwa ni ya kubahatishaNani mkenya?
Ni maneno tu, kama yana ukweli achukue hatua! Haukuona taarifa rasmi bali maneno ya jukwaaniUnadhani maneno aliyokuwa anaongea jenerali yalikuwa ni ya kubahatisha
Jambo la kwanza ukwasi wao unatokana na wizi wa mali ya umma,kudeal nao hao watu ni jambo dogo sana,kuwafungulia mashitaka, na account zao kuzi -freeze,Wanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Samia.
Rais anakuwa na malengo ya kitaifa siku zote anaitazama picha pana inayokuwa mbele yake. Hawajaandikiwa watu fulani na familia zao eti ndio wawe viongozi wetu wa kudumu na bahati mbaya tabia hiyo inapoota mizizi inaleta dharau kwa watu walio wengi.
SSH kanifurahisha kuwaondoa hawa mawaziri wawili wazoefu.
Misa imefanyika?
Soma tarehe mkuuMisa imefanyika?