Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeItakuwa pembe za Ndovu
Kwani amekwambia familia yake ina njaa na dhiki kama yenu we Kizibo ?Kwani kwenye tumbo la mamako ulizaliwa peke yako?? kwanini usiwapw huo mchongo ndugu zako??
marafiki zako je??
Mpendwa mbona unanitisha mimi nishapiga hiyo namba😬😬Kuna mtu anaenda kupigwa muda si mrefu
Umeamua kuja na ID mpya,Binafsi sioni kosa na mtoa uzi,nadhani ukimpigia atakupa details kuhusu hiyo Biashara,kisha ni jukumu lako mpigaji kufanya Research husika kabla hujaingia kwenye hiyo Biashara,sasa mnaomtuhumu nadhani mnakosea sana
Upige na hii nikupe dili 112Mpendwa mbona unanitisha mimi nishapiga hiyo namba😬😬
Bwimbwi...!Hiyo biashara ya nini uzi mbona hujakamilisha maelezo
Kama una nia ya dhati ya kusaidia wengine na una uhakika na hiyo biashara sidhani kama unatakiwa uwe mkali au uwe na makasiriko na yoyote anayepata wasiwasi na hiyo biashara yako.ungetumia tu kauli nzuri kuwaelewesha badala ya kua mkali.Kwasababu watu lazima wawe na mashaka kwasababu ata matapeli wanatumia njia kama yako na mara nyingi wanakuaga wakali wakiulizwa maswali hasa yanayohusiana na mtu kuonyesha kutokuamini hiyo biashara.Kama unajiamini just be honest.Hapana mtu anajitolea kutoa mchongo halafu linatokea limtu tu linasema linataka kutapeliwa sijui hizi akili za kijinga watu wanazitoaga wapi
Mtu haulizi bali anajudge unamweleza nini zaidi ya kumjibu sawa upumbavu wakeKama una nia ya dhati ya kusaidia wengine na una uhakika na hiyo biashara sidhani kama unatakiwa uwe mkali au uwe na makasiriko na yoyote anayepata wasiwasi na hiyo biashara yako.ungetumia tu kauli nzuri kuwaelewesha badala ya kua mkali.Kwasababu watu lazima wawe na mashaka kwasababu ata matapeli wanatumia njia kama yako na mara nyingi wanakuaga wakali wakiulizwa maswali hasa yanayohusiana na mtu kuonyesha kutokuamini hiyo biashara.Kama unajiamini just be honest.
Basi ni batili, nikiona mtu anatangaza biashara kama hii ni miongoni mwa maadui zangu namba 1Siyo kila riziki ni ya kuweka wazi kama maandazi
Hahahaha umefungua na account nyingine ya kukusupport mzee baba hahaha.. cha ajabu kuna mtu atapigwa hapa!!Binafsi sioni kosa na mtoa uzi,nadhani ukimpigia atakupa details kuhusu hiyo Biashara,kisha ni jukumu lako mpigaji kufanya Research husika kabla hujaingia kwenye hiyo Biashara,sasa mnaomtuhumu nadhani mnakosea sana