Kama Paul Makonda alifoji jina na cheti basi mchunguzeni na Amos Makalla

Unamkumbuka Dr Luta Nelson alikuwa na kashfa pia
 

Acha kuchafua watu!
Amos G Makala anatumia jina hilo hilo toka shule ya Msingi hadi high school Songea boys hadi London Chuo.

Ina maana hilo jina alinunua toka darasa la kwanza?Makes nonsense

Wazazi wa Amos walikua wafugaji wanao hama hama,Makala kazaliwa Nzega kafika Mvomero akiwa kijana mdogo
 
Acha chuki za kipumbavu
 
Nilitaka kushangaa hiyo akili ni yake kweli au ameazima!!!
 
Ungefanya la maana sana kwa kuweka ukweli wote hapa kama Makonda alivyoanikwa humu tena kwa ushahidi usiotia shaka.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…