Nooo Makala ni majina ya kinyirambaYule msanii wa Arusha JCB, Jina lake halisi ni Jacob Makala. Lakin yeye ni msukuma. Huenda ni jina la kibantu. Ila kama vile Kuna Makala zenye Single l na Double l
Duuuh 🤔🤔Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU HEBU WEKA WAZI KILA KITU UJANJA UJANJA WA VIONGOZI UMEZIDIPaul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Ccm wenyewe kwa ujinga wao wanatetea VYETI FAKEKumekucha
Enzi za Chadema Kabla hawajalamba asali hii issue ingekuwa [emoji91] moto!
Ĥilo unalijua wewe na nasaba ya eagle home.Kiutatanishi vp sasa na wakati aliugua na kulazwa zaidi ya wiki 2?.
Wanyiramba walikuwa na kawaida ya kurudia shule kwa majina ya walioacha shule endapo yeye hakufaulu.Amefoji mpaka kabila??
Kiruuu.
Ila sio wa kwanza maana hata Lowasa nae kafoji kabila.
Sasa hivi watajifanya hawaioniKumekucha
Enzi za Chadema Kabla hawajalamba asali hii issue ingekuwa 🔥 moto!
Hata wakurya wanalo Hilo jina nadhani wao hutumia raYule msanii wa Arusha JCB, Jina lake halisi ni Jacob Makala. Lakin yeye ni msukuma. Huenda ni jina la kibantu. Ila kama vile Kuna Makala zenye Single l na Double l
Chaga 1Lowasa si masai kumbe,ni kabila gani ?
Ni ukweli usiojificha kuwa katika kipindi chake cha uongozi kama RC wa DSM kwa hakika Mkoa umepata mafanikio makubwa katika mambo yafuatayo:-Wahi hospitali ndugu
Sikusoma Kwa umakini nilishani unamsema Makalla. Nishafuta comment yangu.Sure Mkuu katika kipindi chake Mkoa umepata mafanikio makubwa kwa kufanikiwa mambo yafuatayo:-
1. Kupambana na wauzaji wa Madawa ya kulevya
2. Sambamba na mapinduzi katika sekta mbalimbali kama vile Afya, Elimu, Maji, Ulinzi na usalama nk .
Nawasilisha
Kukumsela
Watu sasa wanakwenda na Dr Slaa!CHADEMA nao wamechoka, wakiwapigania mnawachamba wakijiweka kando mnasema wamelamba asali. Bora kukaa kimya Bwashee kila mtu ajipiganie nafsi yake!
Utanzamia ni kabila?Tukichunguzana makabila (refer Mwl. Nyerere) tutajikuta wote si Watanzania.
HakikaWatu sasa wanakwenda na Dr Slaa!
Ujinga wafanye CCM lawama uwatupie CHADEMA. nyie watu vipi??Kumekucha
Enzi za Chadema Kabla hawajalamba asali hii issue ingekuwa 🔥 moto!
Hakufoji,Bali alitumia jina la mtu aliyeacha shule yeye akarudia msingi,maana kipindi chake kurudia haikuruhusiwaYule wa tai ya taifa anayejiita mguu wa chemba naye alifoji ...wanyiramba mnatuangusha