Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Wanadai vifurushi ni ofa za biashara wakitaka wataviondoa
Hawana uwezo wa kuviondoa maana biashara yao itakufa. Ni muda muafaka sasa bunge lilete mwongozo wa kikanuni juu ya mabando maana ndio biashara ya mtandao wa simu hapa Tanzania.
 
Nimegundua wewe Ni Tapeli kutoka Chadema, mkulima gani asiye mpongeza na kumshukuru Rais Samia? Mkulima gani ambaye hajafaidika na jasho lake mwaka huu? Mkulima gani ambaye hajafurahishwa na utoaji wa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea? Hao siyo wakulima Bali Ni mkusanyiko wa wapiga soga na wababaishaji kutoka hapo ufipa makao makuu ya kutafuna Ruzuku na michango ya akina Sabodo na wadau wengineo
Mkulima aliyefaidika na jasho lake mwaka huu ni wa kupaswa kushukuru ukame uliosababisha hali ya mavuno kuwa chini sana. Hivyo aliyebahatika kuvuna kidogo kakutana na soko zuri. Uzalishaji ukiwa mdogo bei inakuwa kubwa, we huoni mafuta yalivyopaa bei kisa mzalishaji mkuu hakuweza kuweka bidhaa zake sokoni?
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Amepewa Muda acha waliompa muda wapime KAZI yake wakiridhika nayo aendelee kuupiga Mwingi!!
 
Hakuna awamu iliyofanya mabaya ya kutisha kama awamu ya tano.
Hapana kwa kweli vitu vilikua bei nafuu tambi tulinunua 1200 sasa 2000, mche wa sabuni tulinunua 2000,sasa 3500 mpaka 4000 jamaa, mchele tulinunua 1200 sasa 3500,mafuta ya petrol ilikua 2100 litre sasa habari tunayo
Kiukweli hatuna jinsi ila utawala ule ulikua nafuu mara 1000 kwanza sisi wenye biashara zinahusu umeme oooh umeme kukatika mnaweza kaa mwezi umeme haujakatika na ukikatika mapema tu huu hapa maji yalitiririka muda wote utawala ule nimeumiss kwangu maisha yalikua nafuu labda kwenu wanasiasa ndo yalikua magumu.
 
JPM alifanya vizuri sana kwa haya yafuatayo:
1. Social welfare
2. Nation Security
3. National and individual income for lower and middle-class citizens was at least promising and sufficing the basic needs
4. He walked the talk on nonsense
5. He defended the middle and lower-class citizens at all costs
6. He was passionately listening to the middle and lower-class citizens' constructive ideas and worked on it
7. He was borrowing financial resources and investing in a number of projects whereas value and quality were still an ongoing visible benefit for the country to prevail for the next couple of decades memoir
8. Inflation of all sorts was physically monitored and controlled
9. He vividly fought the corrupt practices with action
10. He identified the ghost and fake certificate holders employed in the civil servant and took severe action
11. He fortified the tax collection
12. Uanzishwaji wa miundo mbinu yenye manufaa kwa taifa na wananchi moja kwa moja kama bwawa la Nyerere,, ununuzi wa rada kadhaa hivyo kuepusha kuendelea kuweka rehani anga la nchi kuongoza na nchi jirani, barabara, ujenzi meli mpya kwenye maziwa makubwa yote, sheria ya madini, kudhibiti utoroshaji wa Tanzanite na kuanzisha soko nchini baada ya madini hayo kuongezwa thamani, umeme vijijini bei 27,000 huku serikali ikitoa ruzuku kwa matazamio ya kurejesha gharama pindi mirzdi mikubwa ya nishati ikikamilika, ujenzi SGR, ununuzi ndege ATCL nk

JPM hakufanya vizuri kwa haya yafuatayo
1. Kutowapa nafasi Wasaliti wa taifa
2. Kutovumilia Wanasiasa wanafiki
3. Kutotii Demokrasia iliyoanzishwa na wazungu ambayo haichuji mabaya na mazuri kwa kulingana mazingira na tamaduni za taifa husika ambayo hufanya taifa lisitawalike
4. Kutotishwa na mataifa makubwa kupitia vibaraka (mercenaries/traitors) hivyo kusemekana mahusiano ya nje kuparanganyika ijapokuwa haikuwa kweli
5. Kuendeleza mchakato wa katiba mpya uliovunjika mwaka 2014 katika hatua ya katiba pendekezwa
6. Kutocheka na waharifu, wezi, wabadhirifu, mafisadi na waonezi wa wananchi
7. Kutoyumbishwa na wastaafu au wanachama wenzie ndani ya CCM wenye maslahi binafsi kwa ajili ya madaraka na kwenye rasilimali za nchi
Mazuri yake ni mengi kwangu kuliko mabaya
 
Nafikili itakua nzuri kuomba uraia MOJA ya nchi za ughaibuni, hapendi kabisa tulia bongo , ila maisha ndivyo yalivyo , Kuna vitu

Mfanono, kusafili safili, kuchangia kila arus, kushona nguo mpya kila kwenye tukio n.k inakua ni hulka ya mtu, Sasa mtu akibatika akawanazo pesa, kapata nafasi flani hivi , kisu kinakua kimepita kwenye mfupa
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Maisha ya watanzania yamekuwa magumu kuliko hata enzi za utumwa
 
Nafikili itakua nzuri kuomba uraia MOJA ya nchi za ughaibuni, hapendi kabisa tulia bongo , ila maisha ndivyo yalivyo , Kuna vitu

Mfanono, kusafili safili, kuchangia kila arus, kushona nguo mpya kila kwenye tukio n.k inakua ni hulka ya mtu, Sasa mtu akibatika akawanazo pesa, kapata nafasi flani hivi , kisu kinakua kimepita kwenye mfupa
Sijaelewa unaongelea nini hapa.
 
Nafikili itakua nzuri kuomba uraia MOJA ya nchi za ughaibuni, hapendi kabisa tulia bongo , ila maisha ndivyo yalivyo , Kuna vitu

Mfanono, kusafili safili, kuchangia kila arus, kushona nguo mpya kila kwenye tukio n.k inakua ni hulka ya mtu, Sasa mtu akibatika akawanazo pesa, kapata nafasi flani hivi , kisu kinakua kimepita kwenye mfupa
Anapokua nje anakua huru kimkakati,kama ana ndoto ya urais ya 2025/2030!

Akiendelea kubaki HUMU wanga wengi Sana wanamsagia kunguni!

Sukuma gang,msoga gang na wengineo ambao hawakufurahishwa yeye kushika hatamu!!

Acha aende akafanye yake huko ughaibuni!!
 
Anapokua nje anakua huru kimkakati,kama ana ndoto ya urais ya 2025/2030!

Akiendelea kubaki HUMU wanga wengi Sana wanamsagia kunguni!

Sukuma gang,msoga gang na wengineo ambao hawakufurahishwa yeye kushika hatamu!!

Acha aende akafanye yake huko ughaibuni!!
Nimekuelewa mkuu, bati anajisumbua bure na Urais , Kama anasoma nyakati, alitakiwa Sasa FANYA Mambo muhim ili kuacha kumbukumbu nzuri pale atakapo hayupo Madarakani,

Mfano ukiangalia miradi mingi anamalizia au kuendeleza ya mwenda zake,

Kuna Jambo linaweza mpa legacy kubwa mbele anapoenda kutokua Madarakani nalo ni katiba mpya basi, hii inatosha Sana, ila hii ya kufukuzana na Urais anapoteza mda tu
 
Nimekuelewa mkuu, bati anajisumbua bure na Urais , Kama anasoma nyakati, alitakiwa Sasa FANYA Mambo muhim ili kuacha kumbukumbu nzuri pale atakapo hayupo Madarakani,

Mfano ukiangalia miradi mingi anamalizia au kuendeleza ya mwenda zake,

Kuna Jambo linaweza mpa legacy kubwa mbele anapoenda kutokua Madarakani nalo ni katiba mpya basi, hii inatosha Sana, ila hii ya kufukuzana na Urais anapoteza mda tu
Unaaminije anapoteza Muda!?

Ki ccm ccm na kibongo bongo huyu mama Anaweza peta akawa tena !

Sema kama wale jamaa 0101 ndio pekee wanaweza mwambia Bas kaa pembeni awamu yenu na hayati imeisha Acha next stage ifanikishwe na Mwingine co z tunamwelekeo mpya wa Mabadiliko!!

Ni Hao jamaa pekee tu!!

Mi Nadhani waliomharibu kichwa na mama kuingia kwenye vita kwa kutangaza mapema nia ni wahuni FULANI HIVI wanaotaka achoke mapema kisiasa
kwa kuhujumiwa Ili akose mvuto kabisa kadri muda unavoenda na kweli wamefanikiwa Sana!

Hadi Sasa anajitutumua lakini haonekani kama anafanya kitu cha maana!shaka anajitahidi lakini sioni anaemwelewa KABISA!!

Hasa pale alipowaondoa mawaziri wa mwendazake!WATU walitaka moto ule uendelee kuwaka ule wa tumbua mafisadi,leo wamepeleka MAHAKAMANI mafisadi walitaka hayo!sasa hawaoni!

Wanasikia tu mara kodi hailipwi mara CAG karipoti UPIGAJI ule mara Huu!Halafu HAMNA kinachofanyika !!

Kazi ipo ngoja Tuone!
 
Back
Top Bottom