Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Watoto huwa wanaelewa mbele ya safari. Mwanza mtu anajya hindi ya kufanya, baadaye anajya kwanini wanafanya vile. Kujua jinsi ya kufanya ni hatua na ni jambo la msingi kuelekea kujua kwanini inafanyika hivyoNilichogundua wanafanya ila hawajui kwa nini wanafanya hivyo. Kuna mawili walikuwa tayari wameshakariri jibu au mwalimu aliwafundhisha kwa kukariri bila kujua kwa ninj ukate chini na juu.
Yaani mtu huyo
Anaweza kufanya
1+3
Ila ukimpa 3+1 umemvuruga.
Ni kipengere.