Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

AA gun zilitumika mara ya mwisho WW2 na kidogo Korean Wars. Hata Vietnam jet age na air to air missiles ndio zimeshika kasi hawakutumia AA system. Hizo labda udungue Bombardier
 
Watu huko nchi za mbali unaweza kuta mtu Koplo, Sajent ana degree au hata Masterz ama ana taaluma nzito mno.

Hapa kwetu ukiwa na Degree lazima ubebe manyota, ila wapiganaji ni wale darasa la 7, form 4 failures n.k sasa umakini ktk field unakuwa wapi?

Unaweza ukachukua maaskar wanne wenye elimu zao kisha ukawaringanisha na wacheza ngoma 4? Yaani mtu anavaa kombat kisa ana taaluma ya kucheza ngoma, kuchonga vinyago, fundi bomba n.k
 
Mzee mambo ya watu kupiganisha yalishapitwa na wakati. Sasa hivi ni technology ndio inapigana. Achana na mawazo ya kijima ya Nduli Idd Amin Dadaa.
Toka 2010 zaidi ya wanajeshi 2300 wa Marekani waliuwawa huko Afghanistan dhidi ya wanamgambo wa Taliban...

Kwa nini wasingetumia tecnolojia kupiganisha vita...

Leo unaambiwa Urus imepeleka wanajeshi zaidi ya 175,000 kwenye mpaka na Ukrane kwa nini wasingepeleka tecnolojia ndio ikapigane.?
 
Kama tunasema huwezi kuonesha siri ya ghala kwa maana ya zilebkali basi Kenya wako juu maana hizo tinazodisplay wao ni kwa ajili ya mazoezi ya mgambo wa jiji maana walishaziondoa kwenye hesabu ya silaha ghalani.
 
Hayo mashule, madawati, hospital tunajenga kwa fedha zetu?
 
Ni T series nadhan ni T -56 kitu kama hcho
 
Mtaleban hana mokorokoro lakini US mwenye kila aina ya silaha za kisasa kakimbia mchana kweupe.
US wa Kimara bonyokwa povu ruksa.
 
Kwahiyo unategemea wanajeshi wetu 27,000 ndio wapiganishwe kupambana na Su-30 inakuingia akilini kweli!?

We need to modernize our army.
 
Na hazijawa obsolete bradha bado ziko kazini kama ilivyo AK 47! Hiyo ni ya 1947 lakini bado ni moto wa kuotea mbali hata hizo za kisasa kama UZI ya Israeli na nyingine nyingi hazioni ndani!
Ina maana hujui kama AK47 zilishastop kutengenezwa muda tu? Kweli tunajadili haya mambo na watu ambao hawana uelewa wa kutosha.
 
Hao wanaoonesha silaha kali unafkiri hazina yao itakuwa ina nini?
Haya basi!





Umeshajua nchi yenu wananunuaje silaha za kivita. Na sio hizi tu nyengine ni ndege vita za kisasa wamenunua ila hawazionyeshi. Hata hizi taarifa zikitoka Tz wanazikanusha. Na kuna nyengine walishirikiana na North Korea kwenye mambo ya kijeshi. Tz falsafa yao ya kijeshi hawaonyeshi silaha zao zote ama silaha za kisasa. Kama wengine wanafanya ni wao ila Tz hawafanyi. Kama mataifa makubwa yanafanya ujue wanafanya matangazo ya kuuza zana zao. Na marubani wengine walipelekwa Canada kwa mazoezi ya kujifunza zaidi.
 
Kwenye maonyesho kama haya, si rahisi nchi kuonesha nguvu yake halisi ya kijeshi.
 
Ni risk sana kuleta silaha mpya kwenye maonesho ya wazi kama ya leo pale uhuru stadium...
Nakumbushia tu... Komandoo Kagame alikuwepo...

NB: Always play low profile to confuse your enemies...
Hakuna cha low profile wewe. Kwanza wote hapa unaoona wana uelewa na silaha usidhani huwa wanaziona kwenye maonesho. Silaha sio vikombe kwamba utasafirisha umevificha.

Nchi inayouza silaha imesaini mkataba kutouza silaha kwa rogue militaries labda ziwe defensive. Ndio maana nchi kama Iran kuziuzia jet fighters ni ngumu ila Urusi ikijibana inaziuzia air defence systems. Kwa hali hii mauzo ya silaha yako monitored na taasisi binafsi kama SIPRI na Jane's Defense ambazo hutoa machapisho. Sisi tunaenda soma uko na kila silaha ukiwa unafatilia kuna sehemu ya kuona operators. Kama nchi haijakidhi vigezo ikiuziwa ni lawama, nchi ikiuza kwa kukiuka wanaweza kuiwekea vikwazo isiuze tena. South Africa ni nchi pekee ninayojua haijawahi uza silaha kwa nchi ya kutia mashaka, hata Canada wafuatiliaji.

Yani kama unavyonunua Bombardier ikajulikana. Hata ukinunua silaha itajulikana kwa wanaotaka kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…