Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Story za vijiweni hzi
 
Hakuna issue kama hiyo Mzee. Tanzania tungekuwa na silaha, haki ya nani ungeziona.
 
Bora uandike kifupifupi hivi kuliko kupoteza muda kuwaandikia maelezo mareeefu sababu hawawezi kukuelewa kaka.
 
Na kama makomandoo ndio sina ya wale walio pelekwa kumlinda Mbowe, wanaokamatwa na mgambo wa polisi, tujitafakari.
Duh ila wakina kingai,Goodluck,Mahita wanajua kutesa aiseee,mpk komando kupiga yowe sio mchezo.
 
Sasa wewe kwa akili yako utaweka silaha zako zote modern hadharani?
 
Mimi ni mfuatiliaji wa silaha za nchi mbalimbali. Hakuna silaha za kutisha hapo. Uganda na Kenya display yao inatisha Mzee.
Kinachotokea wakati wa vita huwa ni siri. Silaha zinazooneshwa hapo huenda usizikute kabisa vitani. Lakini vita itaendelea kwa kununua silaha usiku na kuingiza uwanja wa vita halafu ukashangaa mtanange wake.
 
Oi there was no need for going the extra mile bruh!

Raia wamekalisha masaburi tu wanadhani hii amani iliyopo ni burebure tu.

Acha waamini kuwa hamna chochote tu, vijana wanachojua ni ubishi wa chadema na ccm tu bladifaken kabisa!
 
Basi kwa uelewa huu kama walichoonesha ndo kilichopo tatizo litaendelea kuwepo!!
 
Vijana wengi wa sasa wakishakuwa na smartphone na user Id fake wanayoamini hawajulikani basi wanajua dunia ipo kama wanavyoitafsiri kichwani.

Ndio maana kuna watu ni wepesi sana kukejeli jeshi wakishashiba ugali. Hawajiulizi hata kwann tuna utulivu na madini yote haya? Ardhi yote hii?
 
Nimeshangaa kinoma yaan commando anaenda na supply ya kila kitu, kama hawana support ya command yao
 
Here again mzee!

Mkuu wewe ulitaka kujua Jwtz imenunua nini na ukajua? 2017 hadi 2020 kwa mfano
 
ndio uzuri wa Tanzania..

Kila Mtanzania ni dalali..
Kila Mtanzania ni tapeli.
Kila Mtanzania Mwanajeshi.
Kila Mtanzania lawyer.
Kila Mtanzania Mhasibu.
Kila Mtanzania mwanasiasa.
Kila Mtanzania Engineer.
Kila Mtanzania Tajiri hapa JF.
Kila Mtanzania Komando.
Kila Mtanzania mtalaa wa siasa.
Kila Mtanzania Usalama wa Taifa..
 
Vifaa vya jeshi vinasaidia nini watu hawana majii
 
Hakuna issue kama hiyo Mzee. Tanzania tungekuwa na silaha, haki ya nani ungeziona.
Hayo mawazo yako ila ukweli ni kwamba Tanzania huwa hawaonyeshi silaha zake mpya waziwazi. Kuanzia sasa ufahamu hilo!
Baada ya hii ndiyo yakafanywa manunuzi ya silaha (picha za awali nilizo kuwekea juu). Mi 17 zilinunuliwa zikiwemo air defensive system S-300 kutoka Russia na hizi nilizozitaja ni baadhi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…