Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Hakuna cha movie hapa Mzee. Jeshi letu lipo outdated. Tunatakiwa ku modernize. Tunaona display za silaha kwa majirani zetu. Uganda na Kenya.
Waulize wakongo mzee!.Wakati majeshi ya mawili yamegawanywa katika mashambulizi ya kimkati kwa jeshe la nchi nyingine kushambulia kwanza kutokea angani na ndiyo sisi watz tufuate kwa kushambulia chini,lakini kabla ya jeshe la anga kushambulia taarifa inakuja kwamba jeshi la Tz la kushambilia tokea ardhini tayari limemaliza kazi na m23 hawapo tena!Vikosi vyote vingine viliduwaa.
Hapo ndiyo utajua jeshi letu ni hatari kiasi gani.
 
Yaani hii ni kwel aisee... kuna kipindi tulikuwa tunatoka doria usiku ya maliasili. Njia tukiyopita ilikuwa ikatisha kwenye kambi ya jeshi sasa bhana tukasimamish2a huo usiku. Siku ndo nikaelewa kweli kuna wakati wazalendo wanatulinda usiku kucha sisis tumelala tu kama ngedere, tunachekelea tu amani tuliyonayo.... ila kimsingi nchi yetu inalindwa kwa dhati na ari ndo maana vyombo vya ulinzi na usalama siwez wadharau hata siku moja... akinikuta barabarani akanipa tena ntamshukuru...

Imagine watu wanahoj mtu kukamatwa kwa jamaa kabla ya kutenda uhalifu halafu, mtu mwingine anahoji kwani amefanya kosa gani hadi akamatwe.... jaman jaman... tuipende amani yetu na tuilinde kwa hali na mali... i wish hata nngetaman kuwa sehemu ya usalama... ili nam nionyeshe mchango wngu kwa nchi wa moja kwa moja...
Hakuna ulichochangia mzee, pumba tupu.
 
Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology






View attachment 2038210
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Venus Star uko correct wanaokupinga wanaokupinga kama desturi tu. Kwa Africa nchi ya Tanzania ni namba 23 kwa military strength wakati kwa Dunia ni namba 112. Njoo hapa: List of countries with the strongest and weakest military in Africa 2021
 
Mantahofu Tupo Vema Sana, Huwezi Kujivua Nguo Zote Hadharani
 
Waulize wakongo mzee!.Wakati majeshi ya mawili yamegawanywa katika mashambulizi ya kimkati kwa jeshe la nchi nyingine kushambulia kwanza kutokea angani na ndiyo sisi watz tufuate kwa kushambulia chini,lakini kabla ya jeshe la anga kushambulia taarifa inakuja kwamba jeshi la Tz la kushambilia tokea ardhini tayari limemaliza kazi na m23 hawapo tena!Vikosi vyote vingine viliduwaa.
Hapo ndiyo utajua jeshi letu ni hatari kiasi gani.
Nchi tatu zilikuwa kule mzee kupambana na wanamgambo wasiokuwa na silaha za maana. Usilee uozo kwa kutupatia stories za Kongo.
 
Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Mama atanunua mpya,silaha zilinunuliwa kiasi enzi za JK
 
Vijana wengi wanaangalia movies zinawachanganya sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.

Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...

Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...

Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
Hao wanaume ambao unasema "hawalali" wanalipwa hata sisi wengine hatulali kwenye kazi zetu ili wengine waishi vizuri.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Weka picha ya hiyo BM 21
 
Marekani kasafiri kupeleka kiherehere Vietnam na akakutana na silaha za Mrusi. Hakuwa anajitetea hivo hakulazimika kutumia hata 10% ya uwezo wake kijeshi
Tulikuwa tunawaona wakitegwa na mitego ya kutegea nguruwe, wakichomwa na mikuki ya mianzi...
Huyo Mrusi naye na machuma yake!; yaligeuka chuma chakavu na kuikimbia afghastani!
Vita ujanja, fitina, na mbinu za medani, huwa zinalipa kuliko michuna...
 
Tanzania sio nchi ya kijamaa na siri za kijeshi hazijalishi kama nchi ni ya kibepari au kijamaa.
Vijana wengi wanaangalia movies zinawachanganya sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.

Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...

Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...

Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
 
Tunawaamini but we need to modernize our army.
Analytically the modernization should have been as an instrument for economic development, not for fighting or war assets.Hatuna tishio na hatutakuwa na tishio la kuhitaji Military Might.

Let us invest our Army in science & Technology. Tukifanya hivyo ninauhakika hata chanjo na dawa za Ukimwi, Malaria nk zitapatikana muda Mfupi sana kwasababu hawa jamaa huwa wanakuwa serious sana na hawakubali kushindwa wanapopewa jukumu.

Na hii ndiyo siri kubwa waliyonayo wenzetu walioendelea, 90℅ of the scientists are from Military. Imagine hata hawa wakandarasi wa kichina tunaowaona inasemekana ni wajeshi. Nenda Egypt, Israel, USA, China, Russia etc. But we Africans the Military is for one role
 
Kuna uzi mwaka jana nilisema Kenya wana silaha kutuzidi watu wakanijia juu. Mada kama hizi huwa naongea kidogo mengine unapunguza makali, wewe uliona wapi duniani komandoo anabeba magogo mgongoni. Ukiwauliza hawa watakwambia ni kuonyesha ujasiri. Aisee, Israel ina wanajeshi wengine hata ngumi hawajui sasa fyatuka uingie nao vitani.

Last year walituonesha komandoo ana sufuria kabisaa. Leo angalau hawajaleta vituko
🤣
 
Mimi ni mfuatiliaji wa silaha za nchi mbalimbali. Hakuna silaha za kutisha hapo. Uganda na Kenya display yao inatisha Mzee.
Yaani mfuatiliaji through Google.com ndo unataka kujiweka kwenye orodha ya wajuvi wa hiyo nyanja? Na utakuwa mtu wa ajabu sana kama unadhani kinachooneshwa pale ni full weapons fleet! Hawawezi kuanika pale hata 1/4 yake! Zamani nilikuwa naishi pale jirani na Uwanja wa Taifa, na radio mbao zilikuwa zinasema pale Twalipo ndo madude yanawekwa! Lakini pamoja na kuishi pale kwa muda mrefu sana, sikuwahi hata mara kuona "mzigo" unaingia pale kupitia geti linalosemekana ndo linatumika kuingiza "mizigo! Maneno ya watu ni kwamba, "vyombo" huwa vinatoka bandarini usiku, na kuingizwa pale usiku kwa usiku!!
 
Back
Top Bottom