bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wanaendekeza njaa ya Leo kwa hasara ya kesho ya vizazi vyetu.Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana
Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.
Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?
Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Sasa unakula kishika uchumba bila kushirikisha ndugu za binti.Shida Dinari za Mwarabu walizokula watazilipaje.Wakina Kitenge wajiandae kulipa naniii.......
Kiendacho kwa mganga.Vipi zile hela walizohonga dp world kwa wauza bandari, zinarudi kwa mfumo upi!
Hakuna chaguo la wananchi paleTatizo ni kukosekana mawazo mbadala Bungeni. Kosa hilo lisirudiwe tena ni hatari kwa mustakabali wa nchi.
Raisi akifia madarakani uchaguzi urudiwe Bora gharama za uchaguzi kuliko hasara ya kutofanya uchaguziAwamu ya sita imeongoza kuwa na viongozi wasio wazalendo kwa taifa lao. Laiti wangejuwa wajibu wao kwa taifa ili leo tungepiga hatua kubwa baada ya Hayati Rais Magufuli kuandaa Njia.
Kulikuwa na kitu BALUKTA. Hao Basuta bado sanaBasuta
Wengine walienda mbali zaidi kuwa anayepinga anakwamisha dini.Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana
Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.
Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?
Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Bakwata ya Nyerere Ndio Baba lao!Kulikuwa na kitu BALUKTA. Hao Basuta bado sana
Aondoke anaumwaKwamba Dp world kaondoka? π
Siyo lile la Mala kasusa limejaa unafiki, ufisadi na kugombania madarakaAlama nne za Kanisa:
βͺοΈ moja
βͺοΈ takatifu
βͺοΈ katoliki na
βͺοΈ la mitume
Hawafui dafu kwa BALUKTA Mwagito. Seke seke la BALUKTA unalijua?Bakwata ya Nyerere Ndio Baba lao!
Sio form four leaver mkuu acha unafiki. Wewe ni graduateHii nchi tunaishi watu wa ajabu sana
Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.
Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?
Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Baraza la Qur'an hilo ππHawafui dafu kwa BALUKTA Mwagito. Seke seke la BALUKTA unalijua?
Mohamed Said
Ukosefu wa ule 'uzalendo kindakindaki kwa maana ya kutouza sovereignty ya taifa ' pale anapokua na wajomba wa damu ughaibuni inahalalisha dhana ya kukataa kuongozwa na aina ya watu hao .... ubaguzi wenye tija!Awamu ya sita imeongoza kuwa na viongozi wasio wazalendo kwa taifa lao. Laiti wangejuwa wajibu wao kwa taifa ili leo tungepiga hatua kubwa baada ya Hayati Rais Magufuli kuandaa Njia.
Siyo baraza la Qur'an ni la "Kuhifadhi Qur'an" hiyo kitu mtoto hatumwi dukani enzi hizo hapo MagomeniBaraza la Qur'an hilo ππ