Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana

Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.

Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?

Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Wanaendekeza njaa ya Leo kwa hasara ya kesho ya vizazi vyetu.
 
Huo mkataba ulishapitishwa na bunge kwa sasa kinachosubiriwa ni mikataba ya utekelezaji

Sasa kama serikali imeamua kuufuta basi tujiandae kulipa fidia miaka ijayo kuna kipengele kinachomfanya dp world kuanza uwekezaji kabla ya mkataba kupitishwa bungeni
 
Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana

Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.

Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?

Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Wengine walienda mbali zaidi kuwa anayepinga anakwamisha dini.
 
Wewe
Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana

Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.

Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?

Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
Sio form four leaver mkuu acha unafiki. Wewe ni graduate
 
Awamu ya sita imeongoza kuwa na viongozi wasio wazalendo kwa taifa lao. Laiti wangejuwa wajibu wao kwa taifa ili leo tungepiga hatua kubwa baada ya Hayati Rais Magufuli kuandaa Njia.
Ukosefu wa ule 'uzalendo kindakindaki kwa maana ya kutouza sovereignty ya taifa ' pale anapokua na wajomba wa damu ughaibuni inahalalisha dhana ya kukataa kuongozwa na aina ya watu hao .... ubaguzi wenye tija!
 
Back
Top Bottom