Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

acheni kukuta tamaa mapema...have big focus kama tulipuyanga sie na elimu yetu basi unaona dhambi kuwapa elimu bora...tupambane tu mkuu hamna namna...hawa wanatakiwa wawe juu tumia connections zako zote za wana ili madogo watusue...
 
Kwenye paragraph yako ya mwisho, elimu nayo ni asset. Pia curriculum na syllabuses ni zile zile.
 
Ushaona asset ni kiwanja pekee?
 
Akili yako imeishia kwenye ng'ombe tu?
 
tutafute hela wakuu
 
Nani alikwambia anapata lugha peke yake?
Kuna mengi mtoto wa international schools wanapata tofauti na lugha.
 
Tatizo watu wengi wanaagalia ufaulubwa darasanj tu wa ma hpa ya chuo nk.

But mtoto aliesoma international schools Na aliesoma Kayumba wanatofauti kubwa sana.

Tofauti kuu ni exposure aisee without exposure katika hii dunia utasota sana tena sana

Pia circle ya marafiki anao kuwa nao maconnection kibao.
 
Akili yako imeishia kwenye ng'ombe tu?

Man mie nashukuru Mungu nimejigundua kuwa wenye uelewa mpana humu JF wa mambo mengi ni wachache na mie nikiwa mmoja wapo ... I THANK GOD nimeweza kuanza kutumia internet at very young age nikiwa 14 in 2004 nilikuwa wote nyumbani mzee katuwekea internet na laptop ya kila mtoto paka pale tulipomaliza form six na kwenda chuo hapo ndio tukaacha huo ujinga wa home ... ila during the time nakumbuka nilikuwa mdogo ila nilikuwa napenda sana kupitia two famous TANZANIA WEBSITE . Moja ilikuwa WWW.MARAFIKI.COM and www.JAMBOFORUM.com kama sijakosea ambayo ndio hii sasa JAMIIFORUM nahisi . So mie ni kijana now wa miaka 30 dot . Lakini nimegundua VIJANA WENGI wa SASA NI ZERO SANA . Nilikuwa mdogo paka sasa ni BIG FAN WA JF . I use to come here at young age kujua whats goin on in my COUNTRY n i was proud kukuta NONDO ZA WATU WAZIMA . I learned a lot paka NIKAJA KUMPENDA mwanamama alijiita FAIZA au watu wengi walikuwa wanamtania bibi paka na mimi nikaamua kuweka SIGNATURE ya β€œ MJUKUU WA FAIZA β€œ , to be HONEST am VERY ASHAMED NA JAMII FORUM ya SASA , kila dakika tano huwa lazima nichek whats going on in my country TZ cause mimi niko UGHAIBUNI , ninayokutana nayo na NINAYOYASOMA Kwenye COMMENTS ni ujinga sana . JAMII FORUM YA SASA SI YA ZAMANI , ni NGONO NGONO NGONO , UBISHI UBISHI WA KIJINGA , alafu tunabaki kusema ELIMU BURE INASAIDIA , kweli ??? NAANDIKA KWA UCHUNGU , hapa tu JF ni SEHEMU TOSHA YA KUJUA ELIMU YA TANZANIA INAPELEKA WAPI TAIFA ... sorry kuandika kwa urefu ila NINAUMIA SANA KAMA MTANZANIA .... VIJANA TUJIONGEZE . Tutabaki kuwa END USERS [emoji23][emoji23][emoji23] wazee wataendelea KUTUTAWALA PAKA TUFWEEEEEEZZZZZZ [emoji23]
 
Serikali yenyewe imeshituka na kuamua kufungua kila mkoa shule moja ya english medium
 
Anawachallenge A level katika ishu zipi
Critical thinking
Creativity
Au current issues.
Kama ni reciting za principle za science basi ni kutokana na kuwa na weledi katika kuzungumza kingereza. Kwani hilo ndio tatizo la wanafunzi wa shule za kawaida.
 
Dunia imekua kijiji na lugha kuu ya hiki kijiji ni kingereza, zingine ni ziada, sasa ukitaka kujitenga ni juu yako hakuna aliyelazimishwa, ila watoto watakuja kalaumu wakati wanatafuta kazi au wanafanya Biashara
 
Wengi tu watoto wa Jakaya wenyewe wamesoma Bunge Primary

Na walimu wengi walikuwa wake wa mawaziri pale na mbuyuni na hata olympio ... Bunge x kisutu x olympio x mbuyuni x oysterbay primary school x arusha school zote hizi zilikuwa ndio kwa washua washua kwa enzi zile kayumba .. sio KAYUMBA ya SASA ... wote TUNAGONGANA NAO MITAANI HUKU uchinani ...
 
Eeh wake wa wanene ndio walikuwa maticha mle 😁😁😁 sasa jamaa anashangaa na kila mkoa shule ya namna hio ipo!
Morogoro kuna Bungo Primary, Sua primary, Solomon Mahlangu nazo ni shule za aina hio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…