Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Ukiwa mji wa kielimu.. ni kumjengea mtoto tabia.. anasoma shule ya kawaida.. anatumia muda wake vizuri. Anaratiba ya library, ana tembelea maeneo kujifunza kwa vitendo ndio kumjengea mtoto uwezo. Sio kulipa hela nyingi apewe taarifa na kuaminishwa vitu.

Apate vitabu, mtembeze aonane na Mainjinia, tofauti tofauti.. aone processes mbalimbali anazojifunza kwa nadharia.. hivyo ndio kumpa mtoto elimu..
 
Kufaulu ni kipimo cha kwamba knowledge iliyokusudiwa ameipata

Wenye kazi nzuri wengi walifaulu. Mzazi anajua watu kibao ambao walifaulu kisha wakapata kazi nzuri.

Kuanzia kwa Benno Ndulu, Kimei,nk
Ishi na mentality hio hio mkuu, miaka 30 ijayo ndio utaelewa kwamba kupata AAAA inaweza isiwe ishu ya maana vile vile.
 
Hiyo ni sawa na yule mtu aliyemuuliza mlevi wa pombe, kiasi anachokunywa kwa siku,mwezi na hadi mwaka, gharama yake ilikuwa ni sawa na bei ya kununulia Benzi, lakini muulizaji alipoulizwa wewe ni mlevi?akajibu hapana, akaulizwa una benzi ngapi? Akajibu hana hata moja. So kwa kutomsomesha mtoto kwenye hizo shule hakumaanishi kuwa utaserve hela na kumnunulia huyo mtoto any asset, kama uwezo upo, hata wa kuteseka msomeshe mtoto, vinginevyo waweza kosa mwana na maji ya moto
 
Hakikisha awachallenge kimaisha pia, sio amalize degree na ma AAA yake uanze kumlisha ugali akiwa 30yrs hapo kwako.😁😁😁 sababu hana pa kupeleka cheti apate chochote kitu.
 
Ubungo vijijini sema

Ubungo mjini mwisho river side

Kama TFDA na maabara iliyofungwa mashine ya kupimwa corona nchi nzima ipo kijijini sawa .. sina la kubishana na wewe...ila hujue mtu yeyote anaesafiri nje ya nchi zama hizi lazima aje kata yangu ya makuburi... university of dar es salaam biggest hostel.. mabibo hostel zipo kata yangu ya makuburi
 
Kwanini kupata AAA sio ishu
Ni ishu kama utaonekana una umuhimu mahali uende ukasaidie ulipwe pesa! Ila kwa trend inavyoenda 30yrs ahead hii elimu ya kibongo haitakuwa na maana yeyote.
 
Shule ya Kayumba wanayosoma watoto wa viongozi haiwezi kuwa ya kipimbi mzee [emoji16][emoji16][emoji16]!
Huwezi fananisha Bunge Primary na shule ya kata uliosoma wewe.
But both are government schools.
Noma hiv unaanzaje kumpeleka mtt wako shule ina walimu 10 wanafunzi 600+ walimu wenyewe wanamtumia mtoto wako ndo awauzie biashara zao za kababu na barafu shuleni
 
Noma hiv unaanzaje kumpeleka mtt wako shule ina walimu 10 wanafunzi 600+ walimu wenyewe wanamtumia mtoto wako ndo awauzie biashara zao za kababu na barafu shuleni
Hata hao waliopeleka watoto wao huko wangekuwa na uwezo kama wako wasingekubali hali hio!
 
Ishi na mentality hio hio mkuu, miaka 30 ijayo ndio utaelewa kwamba kupata AAAA inaweza isiwe ishu ya maana vile vile.

Ishi na mentality hio hio mkuu, miaka 30 ijayo ndio utaelewa kwamba kupata AAAA inaweza isiwe ishu ya maana vile vile.
Ishi na mentality hio hio mkuu, miaka 30 ijayo ndio utaelewa kwamba kupata AAAA inaweza isiwe ishu ya maana vile vile.
Akifaulu hata kubeba box kunakuwa Na wepesi akienda Ulaya,US.
Wanaoponda kufaulu in real sense wanahaha watoto wao wakifeli.
 
Mimi wakwangu watasoma kayumba kama nilivyosoma mimi hadi nikafika Chuo.. kama ni mwenye akili atafanikiwa pia, kama ni wa kusuasua ataishia atakapoweza ndipo hatua zingine zitachukuliwa[emoji3525]
Safi kabisa.
 
Ni ishu kama utaonekana una umuhimu mahali uende ukasaidie ulipwe pesa! Ila kwa trend inavyoenda 30yrs ahead hii elimu ya kibongo haitakuwa na maana yeyote.
Nimependa umetambua umuhimu wa AAA nilitegemea ulete hoja sijui maarifa sijui nini sasa mtoto mmoja ana maarifa na CCC na mwengine ana maarifa na AAA wapili si mzuri zaidi.
 
Ubarikiwe sana, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Unatumia nguvu nyingi sana ktk kumsomesha mtoto, mwisho mtoto anamaliza Shule hana kazi na wewe mzazi huna kitu. Hata akipata kazi fedha anaanza kukurudishia kwa kukulea.

Ila ukianza kuwekeza, hata kama atapata Elimu ya kawaida. Mzazi akipata hela mtoto lazima atapata hela.
 
Ahsanteeeeeeeeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…