Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Chuoni ndo nimegundua kuwa wale walosoma private na government kumbe wanakutana na hapa atakayekuwa mzembe anaachwa na mtu active anasonga mbele...wala hawana tofauti.

Kama mzazi utaona mwanao kuna mahali anapwaya, mpeleke private, ila kama unajua ni jembe, hakuna haja ya kumpeleka private.

Nimesoma shule zote, naelewa.

wadogo zangu walonifata wote nlimshauri mzee awaache government na kwa sasa mmoja yupo chuo na anaperform vzur tu.

wengine wapo advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maan ya university? Subiri nikupe tafsiri university ni universal thing yani hapo hakuna private wala kayumba kwasababu unamzungumzia kayumba mwenye uwezo mpaka kafika chuo twende chini kidog nd tutaona magape yakija matokeo ya form 4 au 6 lete takwimu za kayumba na private utagundua ki2 hapo. Kwa idadi ya shule z serikali zilivo nyingi bongo wanachuo wangekuwa wengi sana ila kikukweli wengi hawamake tofauti na private japo wachache ila wanamake asilimia kubwa

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mommy kwan huyo muhusika, yupo serious? Au mie nipo serious? Mbna vitu vidogo mnapenda kuvichukulia serious. Yaan mie niwadanganye watu ili iweje? Sijawahi kutangaza jinsia yangu humu, na wala hakna anaejua hilo.
Poleeeeeh huko kwa cm wapi wanapojua jinsia yangu? Hebu relaaaaax mie swezi kukuibia mabwana zako.
Ule uzi wa selfika umesahau uchafu ulioleta kule hadi watu wakaomba mods wafute zile picha, wewe hukutuma picha yako unavalishwa pete na mwanaume mwenzio kule,
 
Mleta mada inabidi ujue tofauti kati ya English Medium na International School, International school ni chache sana na zinatumia mitaala ya kimataifa i.e IGCSE, etc ila English medium ni kufundisha kwa kiingereza tu...IST, ISM,Savanna,Canon Andrea Mwaka hizo ndo international schools...

Kuna mtu analipwa laki 8 ama milioni anasoma ist.. kwenye uzi hujaona english medium za zamani kama olimpio na arusha school na english medium za kisasa kama tusiiime zimeandikwa kama mifano
 
Mleta mada inabidi ujue tofauti kati ya English Medium na International School, International school ni chache sana na zinatumia mitaala ya kimataifa i.e IGCSE, etc ila English medium ni kufundisha kwa kiingereza tu...IST, ISM,Savanna,Canon Andrea Mwaka hizo ndo international schools...
Mleta mada haelewi hicho kitu nahis nd maan anachanganya topic eti anataka awaone watoto wa hizo shule wanafanya kazi bongo hajui kuwa wengi wanakuwa ma C.E.O kweny kampuni za baba zao au wanafanya kazi mashirika ya kimataifa au wanaenda mbele. Hajui kuwa watoto wa hizo shule elimu yao ya bachelor haiqualify kufanya kazi bongo kutokana na utofauti wa viwango vya kimtaala. Hajui wao ni lazima wakasome vyuo vikuu nje ya nchi. Halafu wakiwa ma C.E.O kweny kampuni za baba zao mtoa maada anatoka povu kwa wivu sijui

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
True.. mtu analipa milioni 3 ama nne kwa mwaka ili mwanae ajue kiingereza tu... huku sylabus anayofundishwa mwanae wa tusiime ni ile ile ambayo wa elimu bure anafundishwa. Tofauti ni lugha tu.

Tatizo la elimu yetu ni sylabus.. jaribu kuwaza hiyo milion 3 kila mwaka mnunulie kiwanja ndani ya miaka 7 atakuwa na asset kiasi gani huyo mtoto.

Mtoto atakuwa na uhakika wa kupata elimu ya juu ama basic need hata kama mzazi umefariki...

Umesema ukweli kabisa
 
Naongelea wote wawili kwa pamoja.
--yule aliyesoma shule ya kayumba na ana kazi nzuri.
-- yule kapuku hana chochote hata chumba kapanga kwa Mzee jangala.

Wote kwa pamoja mnapoteza gharama zenu.
Mtoto akifika chuoni hawana tofauti yeyote kati ya aliyesoma kayumba na shule za gharama.

Ungefika angalau huko unakokuita chuo ungejua tofauti za wanafunzi hawa wawili, lakini kwa kujifariji tu inakutosha hiyo.

Wewe usiyepoteza hizo unaita gharama, umezifanyia nini?

Hii ni sawa na ile kusema matajiri wengi sio waliosoma.
 
Kama una mihela somesha !!ikiwezekana askuli shule ambayo walisoma watoto wa bill gate.unaweza ukaishi kwa aibu ili tu utimize lengo la kuwapo watoto elimu Bora,baadae wakigraduate versity ,aise kunakufanya ujiamini kupita mahali popote kifua mbele hata Kama unalala kwenye chumba sebule.
 
Hakuna nyongeza kwakweri.

Weitaaaaah, waruke vhoooteh mpatie Kinywaji mama Bishangah.
Ongeza round ya kwnza imeisha... Mtoto wa miaka sita anaweza kupanga hoja kwa ujasiri hadi naogopa kitu ambacho me wa kayumba hata nikiwa high school nlikuwa siwez halafu leo eti nimpeleke kata... Kweli ntakopa kikoba mwanangu asome inglish midiyam
 
Mawazo mazuri sana, je kizazi hiki kitataka kuingia huko mashambani??

Nikiangalia vitu walivyoamini na kuvipenda wazazi wangu sivyo navyo viamini na kuvipenda mimi, na hata watoto wangu nikiangalia wana maono tofauti kabisa na mimi.

Everyday is Saturday............................... 😎
Vingi unavyovipenda wewe.. ni zao la mazingira. Kunawatu wamesoma UBC wako KAHAMA huko na wanaendesha biashara za mpunga za wazazi wao.. waliozipokea kutoka kwa kwa babu zao.

Wanasema ng'ang'ana na tatizo muda mrefu utapata la kutokea. Umasikini wenu mmapambane nao alichoachia babu na baba kuboreshe uwape wanao.. juhudi zielekezwe pande moja.

Kama tungekipa umuhimu kilimo, kingeajiri wengi na vijijini kungekuwa mali.
 
Ujinga ni nini ? ujinga ni kutaka kila mtu aishi maisha unayoishi wewe, wakati wewe ni wewe umezaliwa peke yako ukalelewa kivyako,tofauti na wengine sasa basi, kila mtu ashinde mechi zake kimpango wake, habari ya kupangiana matumizi wakati kazi hujawatafutia ifute
 
Acha kupretend kwamba wanaoshinda vijiweni kubet na kucheza pool table wanawazidi wapaka poda sinza

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Huo ulinganifu unautoa wapi!? Maana nimesoma kwa kurudia sijaona huo ulinganifu kwenye maelezo yangu.

Ila pia let say hoja yako inamashiko. Kwani tukifika huko vyuoni GPA za 5 mpaka 4.5 zisiwe za watoto wa medium tuu halafu wanaofuata ndio wawe hao wa shule za serikali!?
 
Halafu aende shule ambazo wanaambukizana vichocho wanachapwa viboko vinatoa hadi nyama wanakuwa wachafu kijiamini hafifu wanashindwa lugha ya kujielezea kimataifa na kushndwa kujifunza ulimwengu mpya ambao ni internet

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Usafi ni watu. Unaenda kijijini shule safi.. imefagiliwa na yote haya yamefanyika vyema na wanafunzi wenyewe... Kifupi wamejifunza kitu.

Lugha ya kimataifa ni uamuzi wako.. mbona wachina na warusi wanastruggle.. ukiwa hujui kitu hakuna atakayekusikiliza... Hata ukiimba kwa lugha yake.

Jifunze kwa lugha yako .. jua miti, tengeneza dawa ya korona ..halafu tuone kama duniani hawatanunua kisa aliyetengeneza hajui Kifaransa.
 
Wangu watasoma private mpk drs la saba from there akifaulu akapambane na government mbona mm nilitoboa lazima apitie hali zote alaah
 
Ungefika angalau huko unakokuita chuo ungejua tofauti za wanafunzi hawa wawili, lakini kwa kujifariji tu inakutosha hiyo.

Wewe usiyepoteza hizo unaita gharama, umezifanyia nini?

Hii ni sawa na ile kusema matajiri wengi sio waliosoma.
Tofauti yake nn zaidi ya maneno kama of course na actually.?

Ww unanambiya habari ya Mimi kufika chuo ,,, unajuwa nilifika level gani?

Kama unahisi sukari imeshaingia mafuta ya taa,,
Hilo sio kosa langu ,ni mleta post.
 
Back
Top Bottom