Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Yaani wewe unataka mtoto asisome umnunulie ng'ombe achunge akamue maziwa?

Unajua elimu haina replacement?

Na hao ng'ombe akifuga atajifunza lini ku-raise productivity bila kusoma?Machineries atanunulia wapi na kujifunza jinsi ya kuendesha ili,kuzalishia hao ng'ombe?

Kizungu hajui,atajifunza vipi machines za milk processing?Au jinsi ya ku-run milk palour?Zote hizi elimu zake serious zinapatikana kwa kizungu,kizungu hujui,maarifa haya uatayapata wapi wewe ndugu?

Au kama Kingereza chako cha ugoko,maarifa utayasomaje na kuyajua sawia kama lugha yaliyoandikwa hayo maarifa ni Kizungu halafu hukijui?

Kwanini uende shule usome kwa Kingereza?....Ni kwamba maarifa ya dunia natively yamejengwa na wazungu na yameandikwa kwa usahihi kwa lugha hiyo....Maarifa advanced makubwa zaidi huwezi badili kutoka kingereza kuja local language bila kua na athari

Ili uweze kupata maarifa aliyogundua mzungu huna budi kujua Kingereza kwa ufasaha ili uweze kuyasoma na kuelewa na kuyatumia uweze kufanikiwa,bila hapo tunafeli!

Watanzania wanafeli mitihani shuleni sababu tu hawajui Kingereza vizuri...solution sio kubadili English iwe Kiswahili,ni ghali mno kutoa maarifa kutoka katika native language yake kwenda Kiswahili

Ni ghali na inachukua muda mrefu mno,sio chini ya miaka 100....kwa matokeo ya haraka ni kusoma lugha hiyo hiyo na kuyapata hayo maarifa na kuyatumia kupata maendeleo ndani ya miaka 5 au 10

Oh china imeweza,blah blah..China ina miaka 5000 ya civilization,wao binafsi wana elimu yao binafsi walivumbua na wanaitumia,sisi tuna miaka mingapi vile?50 years

Kwa sasa,dunia hii,hukopi maarifa ya mzungu you are dead,kajidanganyeni machooni huko na maCCM yenu ya hovyo
Akili za kipuuzi sana mkuu..eti nunua ng'ombe mwekee mwanao hahaha

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Akili za kipuuzi sana mkuu..eti nunua ng'ombe mwekee mwanao hahaha

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Argue as a grown up and educated.

Focus ya English medium ni Language sio command ya maarifa.

Wakati watu wakisoma Mtaala wa kiswahili tu.. na serikali ikiwa imewekeza vyema.. tulikuwa tunaona ubunifu na uvumbuzi wa kila aina kutoka kwa watoto wa shule msingi na primary..

Hawakujua kiingereza ila walijua laws of motion na physics so well, wakaunga helicopter zikaruka.. wakatengeneza maplau nk.. hiyo ndio command ya maarifa.

Kuna Sehemu tuliteleza kama taifa and ended up with brainwashed masses who thinks kujua kusoma kizungu na kujionea suddenly utavumbua rocket uende mwezini.

Tuache pupa na haraka, kilimo ni duni mnataka kuvumbua kompyuta.. muache kukitawala kilimo cha kiswahili hiki tumekalia uzungu... Chess ifunzwe shule.. ufikiriaji wetu ni moja kujumlisha moja mno.
 
Mtanzania ana maarifa?

Jamii ya watu wa Tanzania wana maarifa useful kwa survival ya mwanadamu kwa sasa?Kama vile Science,Astronomy,mathematics,modern medicine,law,etc?

Hana

Maarifa hayo anayo mzungu

Na maarifa yake kaweka kwa Kiingereza,ukitaka kuyapata hayo maarifa kwa usahihi ni lazima ujue Kingereza na sio Kiswahili mkuu

Usije niambia sijui Science sijui haitaki Kingereza,who you fooling?
wewe ndio hauna maarifa
 
Mkuu

Unaongea as if upo kwenye your own utopia

Wewe una akili,ulisoma ukafaulu vizuri tu bila hata kusumbuka

Cha ajabu una equate your brilliance na the rest of 60mil normal Tanzanians!

Tunazungumzia athari ya sisi kutokua na maarifa coded kwenye lugha yetu wenyewe kutoka generations and generations ago

Hatuna budi kumfata Mzungu ili tu-survive

Na yeye maarifa yake kaweka kwa Kingereza,hatuna budi kujifunza Kingereza kwanza kwa usahihi then ndio tuchimbe maarifa yake


Hata wewe hapo hizo A ulizopata za 81% ungekua unajua Kingereza kama native language ungepata 99%

Watoto wetu wa OLevel "wanakariri" definitions za vitu mbalimbali sababu tu hawaijui hii lugha...Watoto hawalali "wanakariri" definition ya Osmosis wakati wanatakiwa "waelewe" ambapo lugha ya Kingereza ni integral part yake!

Kwanini nchi zote zenye kutumia Kingereza zina maendeleo na elimu kubwa zaidi ya nchi ambazo hazitumii Kingereza?

Kwanini?

Sababu ni kwamba,dunia nzima elimu na maarifa yote yamevumbuliwa na English Speaking nations hivyo wana advantage ya lugha kuelewa haya maarifa kwa usahihi kuliko wewe Mswahili

Mfano mfupi ni nchi za Africa zinazoongoza kua na elimu bora na maendeleo bora ni zote zinazotumia Kingereza....sio South Africa,sio Nigeria,sio Egypt sio Kenya,etc....wengine wote Tanzania included ni mavi jumlisha mavi

Huna lugha,huna maarifa,huna maendeleo,huna chochote,unacheza makida makida tu...sijui lini mtaelewa na liCCM lenu la hovyo!

Nyerere new all these unfortunately alichoka mapema...Lee Kuan Yew new it and implemented it better than Nyerere...

Halafu leo anakuja pumbavu mwenzangu EllySkyWilly anabishana na Kingereza as if yeye ana maarifa aliyogundua yaliyoandikwa native kwa lugha yake ya Kiswahili

Na Kiswahili mna ki-overrate mno..ni lugha ya hovyo na haitumikia duniani zaidi ya TZ na Zanzibar...msije jidanganya....mnaotegemea wawasaidie kukiongea walao Wakenya nao ndio hawakitaki wanajua upumbavu wake...Mombasa tu ndio wanaongea kama lugha ya kienyeji..Uganda,Burundi,Rwanda,Kongo,etc ni some people....hii ni nonsense

Learn English or die doing nonsense here in TZ....hadi emails mnashindwa kuandika,upumbavu mtupu,bure kabisa...ndio maana Tanzania we will never be an international hub,never

Na mtaletewa Wakenya kila siku wawe maCEO wenu....maana ni majinga mno...kila siku mnaambiwa jifunzeni Kingereza,hatutaki,kuleni kiburi sasa...na mtaisoma vizuri maana Rwanda sasa hivi wameigeuza English speaking country bado kidogo Rwanda ita overtake everybody kama international hub...majinga nyie
@Wyatt Mathewson tunakuhitaji sana kwenye ule wetu wa Mwitore uje utie neno

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu

Unaongea as if upo kwenye your own utopia

Wewe una akili,ulisoma ukafaulu vizuri tu bila hata kusumbuka

Cha ajabu una equate your brilliance na the rest of 60mil normal Tanzanians!

Tunazungumzia athari ya sisi kutokua na maarifa coded kwenye lugha yetu wenyewe kutoka generations and generations ago

Hatuna budi kumfata Mzungu ili tu-survive

Na yeye maarifa yake kaweka kwa Kingereza,hatuna budi kujifunza Kingereza kwanza kwa usahihi then ndio tuchimbe maarifa yake


Hata wewe hapo hizo A ulizopata za 81% ungekua unajua Kingereza kama native language ungepata 99%

Watoto wetu wa OLevel "wanakariri" definitions za vitu mbalimbali sababu tu hawaijui hii lugha...Watoto hawalali "wanakariri" definition ya Osmosis wakati wanatakiwa "waelewe" ambapo lugha ya Kingereza ni integral part yake!

Kwanini nchi zote zenye kutumia Kingereza zina maendeleo na elimu kubwa zaidi ya nchi ambazo hazitumii Kingereza?

Kwanini?

Sababu ni kwamba,dunia nzima elimu na maarifa yote yamevumbuliwa na English Speaking nations hivyo wana advantage ya lugha kuelewa haya maarifa kwa usahihi kuliko wewe Mswahili

Mfano mfupi ni nchi za Africa zinazoongoza kua na elimu bora na maendeleo bora ni zote zinazotumia Kingereza....sio South Africa,sio Nigeria,sio Egypt sio Kenya,etc....wengine wote Tanzania included ni mavi jumlisha mavi

Huna lugha,huna maarifa,huna maendeleo,huna chochote,unacheza makida makida tu...sijui lini mtaelewa na liCCM lenu la hovyo!

Nyerere new all these unfortunately alichoka mapema...Lee Kuan Yew new it and implemented it better than Nyerere...

Halafu leo anakuja pumbavu mwenzangu EllySkyWilly anabishana na Kingereza as if yeye ana maarifa aliyogundua yaliyoandikwa native kwa lugha yake ya Kiswahili

Na Kiswahili mna ki-overrate mno..ni lugha ya hovyo na haitumikia duniani zaidi ya TZ na Zanzibar...msije jidanganya....mnaotegemea wawasaidie kukiongea walao Wakenya nao ndio hawakitaki wanajua upumbavu wake...Mombasa tu ndio wanaongea kama lugha ya kienyeji..Uganda,Burundi,Rwanda,Kongo,etc ni some people....hii ni nonsense

Learn English or die doing nonsense here in TZ....hadi emails mnashindwa kuandika,upumbavu mtupu,bure kabisa...ndio maana Tanzania we will never be an international hub,never

Na mtaletewa Wakenya kila siku wawe maCEO wenu....maana ni majinga mno...kila siku mnaambiwa jifunzeni Kingereza,hatutaki,kuleni kiburi sasa...na mtaisoma vizuri maana Rwanda sasa hivi wameigeuza English speaking country bado kidogo Rwanda ita overtake everybody kama international hub...majinga nyie

BEST COMMENT EVER SINCE 2021 imeingia , by the way HAPPY LUNAR NEW YEAR [emoji3454], this is a year Of OX [emoji243], Dume la Hii topic ni wewe humu , umewamaliza wajinga wote . Thanks brother .
 
Tusidanganyane bana ..lugha ya kiswahili bado ina udhaifu wa kutosha kutokana na uchumi wetu ulivyo. Lugha ya kingereza na lugha zingine kubwa ni muhimu kujifunza sana ..kama wewe ulishindwa basi hakikisha mtoto wako anafahamu hata lugha tatu kubwa..
#KaaKitaalamCaptain

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wivu ni kitu kibaya sana ktk Maisha.

We Jamaa unaweza hata waloga hao watoto wa Jirani wanaopanda bus asubuhi kwenda shule....huku wanao wamebeba fagio na kidumu..

How old is this!?

Watoto wa sasa hivi wako conscious sana. We kama umeamua wanyima wanao right to good education...right to enjoy life...right to be proud of their dad n mom ni wewe.

Ila jua nao wanajua umewapeleka 'utopoloni'.

Shauri yako bana. Pesa ni maua. Give your Children happiness in life.
 
Elimu lazima iendane na uchumi wa mtu husika au taifa husika.

Mtoa maada na baba yake Mo kimawazo wapo sawa Ila wametofautiana uchumi Mo alisoma shule ya gharama na alirithi biashara kubwa.

Mtoa maada anahela ndogo anasomesha shule poa kisha anampa kitu cha kawaida.

Mm na nadhani mtu ambae anasomesha mtu shule kwa gharama hafu hajaweka mazingira yatakayo endena na hiyo elimu huyo anazingua.

Mtoa maada nakushauri ungeongezea ni kwana namna gani? Mtu anaweza akampa elimu Bora mtoto wake katika mazingira duni. Mm nashauri mzoweshe mtoto kutafuta maarifa tangu akiwa mdogo nunua vitabu vya kutosha kwa kila level mm imani yangu kubwa ipo kwenye vitabu karibia hivyo vyote vipo kwenye vitabu sijui confidence ,explosure. Namaalizia na mpe imani sahihi.
 
True.. mtu analipa milioni 3 ama nne kwa mwaka ili mwanae ajue kiingereza tu. Huku sylabus anayofundishwa mwanae wa tusiime ni ile ile ambayo wa elimu bure anafundishwa. Tofauti ni lugha tu.

Tatizo la elimu yetu ni sylabus. Jaribu kuwaza hiyo milion 3 kila mwaka mnunulie kiwanja ndani ya miaka 7 atakuwa na asset kiasi gani huyo mtoto.

Mtoto atakuwa na uhakika wa kupata elimu ya juu ama basic need hata kama mzazi umefariki.
MPAKA MZEE AMALIZE MUDA WAKE TUTAONA NA KUSIKIA MENGI SANA, NAONA DALILI YA KUKIMBIA MAJUKUMU FULANI HAPA.
 
Hawana exposure..na kujiamini.
Kujua lugha hakukufanyi smart... Au kujua kabla ya mwingine hakukufanyi uwe na akili zaidi yake.. mtoto anatakiwa ajue hilo mapema maishani.

Elimu ni kutafsiri maarifa uliyopewa au kupata katika maisha yako ya kila siku. Mtoto anajua kiingereza hajui kufunga kamba za viatu inamsaidia nini!?
Mtoto anajua kiingereza hawezi kwenda sokoni mwenyewe na kurudi itamfaanini!?

Logic and Reasoning ndio muhimu. Kwa level za chini watoto wanatakiwa kuwa curious... Mid ages waweze kuleta connection na theory na uhalisia katika maisha yao.. mtoto awe huru atleast saa 9 saa kumi aende akacheza apumzike kutoka shule ... Ukizidisha hapo unaua curiousity mtoto anakuwa duster ananyonya kila kitu kama kilivyo without Reasoning
Cemented

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Kwanza mtu hujikuna pale anapofikia. Pili tuna malengo tofauti. Na tatu elimu hujenga human capital ambayo ni tofauti na labor.
 
Hamna
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academies sijui private school eti wanaishia kujua lugha tu, mi natofautiana na wewe mkuu, Kijana wangu yuko std seven hizo shule, sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata na wanamkubali mbaya.
Hata lugha ni kizungumukuti kiufupi ni kupoteza mda na rasilimali tu. Mm siwez kumpeleka privet labda nipate ziada sana
 
Sehemu tulipowezwa ni hapa..

Mtoto wako, anakuja kuishi Tanzania hiii hiii unahangaika awe mzungu..hahaha.. na anafundishwa matatizo ya kizungu, kwa lugha ya kizungu..akitoka huko ameshakuwa mzungu anakuja kwa watanzania mtaani anaanza moja.. 🙂

Na cha kufurahisha ni sisi wazazi ndio tunakuwa tumewanunulia watoto wetu hiyo delay huku mtaani. Elimu tuliyomnunulia ndio imekuwa kikwazo..

Bora kila mwaka ungekuwa unamnunulia mtoto ng'ombe nne.. anasoma shule ya laki tano kwa Temu.. akija kumaliza shule anakuwa na ng'ombe 68, ukiweka kuzaa na kufa hakosi ng'ombe 100 kwenye kipindi cha miaka 16 ya kusomea elimu.

Na elimu yenyewe ndio imekuwa uchuro uchoro mtupu
Mm. Imeanza sasa wako la tano na nne wana Ng’ombe wa Maziwa 7 na ndama 7 Maziwa kila siku 30lt
 
Kuna Mtu namfahamu anauza zake tu Viazi mbatata Sokoni pamoja na bidhaa zingine ndogondogo ila yuko katika Vikundi vya Vicoba kama Saba hivi anawasomesha Watoto wake Shule za Gharama wakati Yeye bado amepanga na hana hata Uwanja na Kwao shida hazibanduki.

Na bahati mbaya aliyonayo sasa anawasomesha Watoto huko Shule za Gharama lakini Wote wawili hawana Akili na Kutwa Wanafeli tu na Jamaa anabakia Kuwapiga huku akiwaambia wanamtia Hasara Kipesa.
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
nanuchumi sio kama tunaendesha familia private school ni biashara kama mifugo au kuwa na duka au guest
 
Back
Top Bottom