Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Hapo juu Kuna sehem nimesema nafikiri Mimi ni miongoni mwa wenye Bahati sio kwamba nachangamsha genge, nna maanisha.

Nakumbuka boss wangu mmoja tuliwahi fanya kazi wote mwaka 2009 aliniambia " The Monk, you know your hands are blessed, whatever you touch works, you are talented..." Alinipigania nikapandishwa mshahara na cheo bila kujali elimu yangu na vigezo vingine.

Huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ambayo siwezi kuielezea yote hapa.
Sio kwamba sipitii changamoto, la hasha lakini Bado naona upendeleo na upendeleo mambo yakifanyika unasema hii ni Neema ya Mungu tu.
Kuna mchangiaji mmoja amesema yote haya yanafanyika kwa juhudi na kukutana na watu sahihi!

Ndugu yangu mshukuru MUNGU sana umekutana na watu sahihi, nahisi hii inaweza kuwa ndo bahati. Yaani kuna watu unakutana nao maishani unajuta! kama huna mtu wa kukusemelea ofisni kwako, kila siku anayetakiwa kukusemelea kwa boss yeye ndo ana ji brand hata pale ambapo wewe umefanya usitegemee kutoboa wala kupewa cheo.

Mimi naamini kabisa bila watu sahihi ni ngumu kupiga hatua!!
 
Effort ndio inayotakiwa, put energy, continue pushing, ndipo unafanikiwa hivihivi forget. Kila jambo unaloona linafanikiwa kwako uliliwekea uwekezaji.
 
Kuna mchangiaji mmoja amesema yote haya yanafanyika kwa juhudi na kukutana na watu sahihi!

Ndugu yangu mshukuru MUNGU sana umekutana na watu sahihi, nahisi hii inaweza kuwa ndo bahati. Yaani kuna watu unakutana nao maishani unajuta! kama huna mtu wa kukusemelea ofisni kwako, kila siku anayetakiwa kukusemelea kwa boss yeye ndo ana ji brand hata pale ambapo wewe umefanya usitegemee kutoboa wala kupewa cheo.

Mimi naamini kabisa bila watu sahihi ni ngumu kupiga hatua!!

Narudia Tena hiyo unaita kukutana nawatu sahihi mie kwangu naiita Bahati mkuu. Kumbuka huyo ni Boss wa watu wote. Lakini kipekee alinipigania kawaandikia HR barua kwamba huyu jamaa sio graduate lakini kazi zake mnaziona hapa. Napendekeza apandishe nafasi akataka na daraja.

Kitu nasisitiza, usikae tu au kutokufanya chochote kusubiria bahati, haiendi namna hiyo. Kwenye juhudi zako na kujituma kwako huko huko utakutana na bahati.

Nitoe mfano mwingine kunihusu.
Tukiwa kwenye mtihani wa mwisho O level, tulikua tunatengwa makundi wengine wanaingia kufanya mtihani wa vitendo kundi lingine mnasubiria wamalize ila hamtakiwi kuonana Kwa vile watavujisha maswali.

Siku hiyo tunafanya chemistry paper 2. Tulivyoingia chumba Cha mtihani, sikugusa chochote, nikaanza kusoma maswali kwanza na maelekezo, wakati naendelea kupitia hayo maswali na Nini Cha kufanya, nimefika mwisho nikaona mwalimu anapita haraka haraka kama anatafuna kitu. Alipofika kwangu akasema tumepata, kumbe Kuna jamaa alichelewa, ilikua lazima afanye huo mtihani muda huo ili mchana aingie kwenye mtihani mwingine. Sie tulikua na mtihani mmoja tu. Ikabidi niambiwe nisiguse chochote nimwachie jamaa afanye.

Sasa kwakuwa nilikua nimeshaona swali, sikutakiwa kuonana na watu wengine, ikabidi nipelekwe kwenye ofisi nikae peke yangu nikiwa nasubiria wamalize namimi niingie na kundi jingine. Hapo nilipowekwa ilikua ofisi ya mwalimu wa chemistry na kulikuwa na kitabu Cha Lambert mezani.

Nikachukua nikawa napitiapitia, nikakuta lile nililoliona kwenye mtihani lipo na maelezo yake kama wamelinakili wakalitoa kwenye mtihani. Kwa ufupi ilipofikia zamu yetu niliandika majibu Ile practical ilikua kutimiza wajibu tu.

Hapo hapo kwenye Chemistry, paper 1 Kuna yale mawali soil sijui organic na inorganic, wakati yanafundishwa nilipata changamoto sikwepo shule. Hii hali ikanitatiza sana. Nikachukua past paper nne kufanya swali la soil tu, mojawapo likaja kwenye mtihani na ndio nilianza nalo, hali kadhalika kwenye swali la Sulphur Kwa kuwa sikusoma hiyo topic nzima, usiku wa kuamkia mtihani ni kama kitu kilinisukuma kuamka nikachukua Lamber, nikaenda eneo Moja nikakutana na kipande kidogo tu kuhusu Sulphur na maelezo yake ndio yalikuwa kwenye swali lililotoka kwenye mtihani.

Matokeo kutoka, nna A ya chemistry lakini kiuhalisia sikuwa mzuri wala sikuwa na maandalizi ya kutosha kiasi Cha kufaulu daraja A, ni hayo mambo mie nayatafsiri kama Bahati.
 
Narudia Tena hiyo unaita kukutana nawatu sahihi mie kwangu naiita Bahati mkuu. Kumbuka huyo ni Boss wa watu wote. Lakini kipekee alinipigania kawaandikia HR barua kwamba huyu jamaa sio graduate lakini kazi zake mnaziona hapa. Napendekeza apandishe nafasi akataka na daraja.

Kitu nasisitiza, usikae tu au kutokufanya chochote kusubiria bahati, haiendi namna hiyo. Kwenye juhudi zako na kujituma kwako huko huko utakutana na bahati.

Nitoe mfano mwingine kunihusu.
Tukiwa kwenye mtihani wa mwisho O level, tulikua tunatengwa makundi wengine wanaingia kufanya mtihani wa vitendo kundi lingine mbasubiria wamalize ila hamtakiwi kuonana Kwa vile watavujisha maswali.

Siku hiyo tunafanya chemistry paper 2. Tulivyoingia chumba Cha mtihani, sikugusa chochote, nikaanza kusoma maswali kwanza na maelekezo, wakati naendelea kupitia hayo maswali na Nini Cha kufanya, nimefika mwisho nikaona mwalimu anapita haraka haraka kama anatafuna kitu. Alipofika kwangu akasema tumepata, kumbe Kuna jamaa alichelewa, ilikua lazima afanye huo mtihani muda huo ili mchana aingie kwenye mtihani mwingine. Sie tulikua na mtihani mmoja tu. Ikabidi niambiwe nisiguse chochote nimwachie jamaa afanye.

Sasa kwakuwa nilikua nimeshaona swali, sikutakiwa kuonana na watu wengine, ikabidi nipelekwe kwenye ofisi nikae peke yangu nikiwa nasubiria wamalize namimi niingie na kundi jingine. Hapo nilipowekwa ilikua ofisi ya mwalimu wa chemistry na kulikuwa na kitabu Cha Lambert mezani.

Nikachukue nikawa napitiapitia, nikakuta like swali lipo kama wamelinakili wakalitoa kwenye mtihani. Kwa ufupi ilipofikia zamu yetu niliandika majibu Ile practical ilikua kutimiza wajibu tu.

Hapo hapo kwenye Chemistry, paper 1 Kuna Yale mawali soil sijui organic na inorganic, wakati yanafundishwa nilipata changamoto sikwepo shule. Hii Hali ikanitatiza sana. Nikachukue past paper nne kufanya swali la soul tu, mojawapo likaja kwenye mtihani na ndio nikianza nalo, Hali kadhalika kwenye swali la Sulphur Kwa kuwa sikusoma hiyo topic nzima, usiku wa kuamkia mtihani ni kama kitu kilinisukuma, nikaenda eneo Moja nikakutana na kipande kidogo tu kuhusu Sulphur na maelezo yake ndio yalikuwa kwenye swali lililotoka kwenye mtihani.

Matokeo kutoka, nna A ya chemistry lakini kiuhalisia sikuwa mzuri Wala sikuwa na maandalizi ya kutosha kiasi Cha kufaulu daraja A, ni hayo mambo mie nayatafsiri kama Bahati.
Hii kitu ipo in reality......
 
Maandiko yanasema Bahati huja kwa wote na siku za huzuni huja kwa wote.

wewe bahati zako ukizitumia vibaya mwisho utaitwa Maskini.

Na ukiwa mjinga utaishi kupishana na Bahati nyingi bila kujua.
 
Narudia Tena hiyo unaita kukutana nawatu sahihi mie kwangu naiita Bahati mkuu. Kumbuka huyo ni Boss wa watu wote. Lakini kipekee alinipigania kawaandikia HR barua kwamba huyu jamaa sio graduate lakini kazi zake mnaziona hapa. Napendekeza apandishe nafasi akataka na daraja.

Kitu nasisitiza, usikae tu au kutokufanya chochote kusubiria bahati, haiendi namna hiyo. Kwenye juhudi zako na kujituma kwako huko huko utakutana na bahati.

Nitoe mfano mwingine kunihusu.
Tukiwa kwenye mtihani wa mwisho O level, tulikua tunatengwa makundi wengine wanaingia kufanya mtihani wa vitendo kundi lingine mbasubiria wamalize ila hamtakiwi kuonana Kwa vile watavujisha maswali.

Siku hiyo tunafanya chemistry paper 2. Tulivyoingia chumba Cha mtihani, sikugusa chochote, nikaanza kusoma maswali kwanza na maelekezo, wakati naendelea kupitia hayo maswali na Nini Cha kufanya, nimefika mwisho nikaona mwalimu anapita haraka haraka kama anatafuna kitu. Alipofika kwangu akasema tumepata, kumbe Kuna jamaa alichelewa, ilikua lazima afanye huo mtihani muda huo ili mchana aingie kwenye mtihani mwingine. Sie tulikua na mtihani mmoja tu. Ikabidi niambiwe nisiguse chochote nimwachie jamaa afanye.

Sasa kwakuwa nilikua nimeshaona swali, sikutakiwa kuonana na watu wengine, ikabidi nipelekwe kwenye ofisi nikae peke yangu nikiwa nasubiria wamalize namimi niingie na kundi jingine. Hapo nilipowekwa ilikua ofisi ya mwalimu wa chemistry na kulikuwa na kitabu Cha Lambert mezani.

Nikachukue nikawa napitiapitia, nikakuta like swali lipo kama wamelinakili wakalitoa kwenye mtihani. Kwa ufupi ilipofikia zamu yetu niliandika majibu Ile practical ilikua kutimiza wajibu tu.

Hapo hapo kwenye Chemistry, paper 1 Kuna Yale mawali soil sijui organic na inorganic, wakati yanafundishwa nilipata changamoto sikwepo shule. Hii Hali ikanitatiza sana. Nikachukue past paper nne kufanya swali la soul tu, mojawapo likaja kwenye mtihani na ndio nikianza nalo, Hali kadhalika kwenye swali la Sulphur Kwa kuwa sikusoma hiyo topic nzima, usiku wa kuamkia mtihani ni kama kitu kilinisukuma, nikaenda eneo Moja nikakutana na kipande kidogo tu kuhusu Sulphur na maelezo yake ndio yalikuwa kwenye swali lililotoka kwenye mtihani.

Matokeo kutoka, nna A ya chemistry lakini kiuhalisia sikuwa mzuri Wala sikuwa na maandalizi ya kutosha kiasi Cha kufaulu daraja A, ni hayo mambo mie nayatafsiri kama Bahati.
Usiangaike na hili haya ndio majibu yake.

Mhubiri 9:11
[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
 
Usiangaike na hili haya ndio majibu yake.

Mhubiri 9:11
[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nimeshaweka Hilo andiko kitambo sana huko juu, Tena Mara mbili Kwa msisitizo.
Nikaongezea na hili pia.

Kumbukumbu la Torati 8:17-18​

Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
 
Yametokea kwenye Biblia kitabu Cha Mhubiri 9:11
Rudia swali langu, maneno ya nani hayo?

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya waandishi mbali mbali, wanaojulikana na wasio julikana. Narudia, maneno ya nani hayo?
 
The Monk

Nilienda usaili utumishi Dodoma. Mji wa ugenini nikatumia pesa ambayo sina ili kufika na malazi.

(Kwa kuelekezwa na waliowahi fanya usaili utumishi) Nikasoma research na kubase kwenye current issues, kwa uzoefu wangu nikadeal na job description na kuijua taasisi.

Written ikatoka mambo ya darasani ambayo siyo research na post iligusa watu wa kozi tofauti, maswali yakabase kwenye kozi moja kati ya nne tulioweza kuomba na kuitwa.

Maandalizi yalikua yamepishana na bahati? Au ni maandalizi gani tuyahesabu ni ya bahati?
 
The Monk

Nilienda usaili utumishi Dodoma. Mji wa ugenini nikatumia pesa ambayo sina ili kufika na malazi.

(Kwa kuelekezwa na waliowahi fanya usaili utumishi) Nikasoma research na kubase kwenye current issues, kwa uzoefu wangu nikadeal na job description na kuijua taasisi.

Written ikatoka mambo ya darasani

Maandalizi yalikua yamepishana na bahati? Au ni maandalizi gani tuyahesabu ni ya bahati?

Hewaa. Sasa hapo unakuta mwenzako aliyebahatika, alijiandaa Kwa kusoma mambo ya darasani na bahati nzuri ikatoka kwenye usaili. Huyo pamoja na juhudi ya kujiandaa, lakini kumbuka Kuna mambo mengi ya maandalizi na hauwezi kujua usome kipi uache kipi na hauwezi kusoma vyote huo muda haupo. Hicho kinachomfanya mtu asome au azingatie kile kinachoenda kutoka kwenye usaili ndio Bahati yenyewe.
 
Hewaa. Sasa hapo unakua mwenzako aliyebahatika, alisomea mambo ya darasani na bahati nzuri ikatoka kwenye usaili. Huyo pamoja na juhudi ya kujiandaa, lakini kumbuka Kuna mambo mengi ya maandalizi na hauwezi kujua usome kipi uache kipi na hauwezi kusoma vyote huo muda haupo. Hicho kinachomfanya mtu asome au azingatie kile kinachoenda kutoka kwenye usaili ndio Bahati yenyewe.
Mfano post ya port operations officer.

Mtu aliyesoma clearing and forwarding, logistics, law na human resources wote wamekutana Dom.

Written ikatoka maswali ya clearing and forwarding pekee.

Mtu wa law na human resources wanaweza hata kukutana na bahati ya swali la clearing and forwarding kua kwenye somo lao? So akiwa anapitia akaona ngoja nisome "Bonded warehouse"

Sijui unanipata hapa mkuu? Namaanisha katika hao kutokana na written kubase upande mmoja hakuna namna watakutana na bahati, kwakua hata hawajui hayo maswala hawawezi pata msukumo wa moyoni wa 'Soma sehemu fulani'
 
Ukiishi uchaggani ndio utajua. Mchagga Hana Ndugu Wala Mtoto.

Ndugu yake Ni Mali.

Huku ukija Wala usishangae kuona mzee au mbibi anasalimia kijana shikamoo.

Kijana anamtuma mzee kwenda dukani kubeba kichwani krate za bia.

Ndio Maisha yao hasa ukiwa huna kitu, unaishi Maisha ya hofu na kudharauliwa na hata ukifa Padre hatakuja.
Heee kwahiyo wachaga wanaabudu Mali??[emoji848][emoji848]
 
Mfano post ya port operations officer.

Mtu aliyesoma clearing and forwarding, logistics, law na human resources wote wamekutana Dom.

Written ikatoka maswali ya clearing and forwarding pekee.

Mtu wa law na human resources wanaweza hata kukutana na bahati ya swali la clearing and forwarding kua kwenye somo lao? So akiwa anapitia akaona ngoja nisome "Bonded warehouse"

Sijui unanipata hapa mkuu? Namaanisha katika hao kutokana na written kubase upande mmoja hakuna namna watakutana na bahati, kwakua hata hawajui hayo maswala hawawezi pata msukumo wa moyoni wa 'Soma sehemu fulani'

Nakuelewa sana mkuu, katika mazingira yasiyotarajiwa unaweza kushangaa from no where mtu wa kada tofauti akapata msukumo wa kufuatilia mambo ya eneo tofauti kabisa, na mbaya zaidi katika hizo harakati, akagusa eneo husika linalokuja kutoka kwenye usaili. Huo msukumo na kinachoongoza kugusa eneo au sehem inayokuja kutoka kwenye usaili ndio Bahati. Haimaanishi hamkufanya juhudi au hamkujiandaa, la hasha, haikua Bahati yenu.

Sawa na wakulima, mnalima wote inaweza kutokea wengine Kwa sababu Moja ana nyingine walichelewa au kuwahi inatokea mvua kuwahi au kuchelewa. Katika wakulima hao wote waliowekeza juhudi na kujituma, ukakuta wapo wamepata sana, wengine watapata kidogo na wapo watakosa kabisa na kuingia hasara. Sasa zingatia habari za mvua na Hali ya hewa hapo hazikutabirika. Huo ni mfano tu.
 
Hakuna kitu kinaitwa bahati duniani. Kama mtu una bahati basi kaa nyumbani usubirie mshahara uingie.

Sent using Jamii Forums mobile app

Luck =preparation+opportunity.

Ukikaa bila kufanya chochote utakutana vipi na fursa na utakuwa vipi tayari?
Wanakwambia kuwa sehem sahihi Kwa wakati sahihi.
 
Rudia swali langu, maneno ya nani hayo?

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya waandishi mbali mbali, wanaojulikana na wasio julikana. Narudia, maneno ya nani hayo?

Nafikiri hapo juu ulisema Kuna wakati sio Kila mtu anakuelewa au muelewane. Naomba Kwa hili niishie hapa.
 
Back
Top Bottom