Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ukijua kuzima computer tayari we ni mtalamu nakumbuka kulikua na program moja ivi nimeisahau jina ilikua yakufundisha jinsi ya kuweka vidole kwa mpangilio kwenye kybod na kuandia kwa mikono miwiliDarhotwire,mzibo,worldsex,yahoo,hotmail.
Internet cafe mitaa ya vingunguti mbili tu.kwanza ilianza moja hapa jirani na kongwa bar kwa mbele kama unaenda machinjioni halafu baadae ikaongezeka nyingine. Dah kweli umri umeenda halafu bado sina kitu aisee!
Popote ulipo bro Denis (st elydam 2003)
Ahsante kwa kunifundisha computer wakati huo ingawa nilikuwa nalipia saa zima, anatumia dakika 50 kwa mambo yake halafu zikibaki dakika kumi ndio anaanza kukufundisha😃😃😃😃.