Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Uko na shida gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Virtua Cop2 mpk now nacheza kwenye WINDOW 10 ninalo
road rash inakataa rangi inakuwa mbaya sa 8bit sijui inakuaje
View attachment 2648468
Ma matunda hahaa nilikuwa nikiingia cafee na vuta task manager na kusimamisha ile stop watch yao...ili muda usiisheeeMorogoro mjini internet cafe ni manyisa hapo ni 1996+
Chukua kuni zako nenda pale utamkuta kaka ana mapembe atakupa maelekezo[emoji16][emoji16][emoji4]Matunda Cafe Morogoro, nakumbuka back in days kulikuwa na vipazia full kuwaangalia akina Nikki Tyler,Vanessa Blue n.k life was good kwani privacy iliheshimiwa
Computer no .7[emoji16]
Yahoo messenger, NimbuzzKulikuwa na Dar talk(something km hivi),kabla ya facebook kulikuwa na Skype..kulikuwa na BBM MESSENGER ilikuwa kama WhatsApp vile,thanks kwa mchina kuleta hizi cmu maana ilikuwa ukidownlpad hata media yenye mb 10 tu inakuandikia 36 years to complete!![emoji23]
Baadaye akaja Verus wa Valentine's pale uwanja wa Jamhuri....hatari kabisa😊Morogoro mjini internet cafe ni manyisa hapo ni 1996+
Baadaye akaja Verus wa Valentine's pale uwanja wa Jamhuri....hatari kabisa😊
Mzee baba hio internet cafe naikumbuka na huyu Dada namkumbuka Kama unatoka iko mkono wakulia mdada alikua mweupe Kama sikoseiEwe mdada wa internate cafe maili moja kibaha karibu na pale yanapo tokea magari nakukumbuka sana.
Dar HotwireKulikuwa na Dar talk(something km hivi),kabla ya facebook kulikuwa na Skype..kulikuwa na BBM MESSENGER ilikuwa kama WhatsApp vile,thanks kwa mchina kuleta hizi cmu maana ilikuwa ukidownlpad hata media yenye mb 10 tu inakuandikia 36 years to complete!!😂