mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kuna wanangu wawili walikuwa wanapenda pilau balaa.tunatoka mansese mpaka magomeni mapipa kwenye gorofa la home boyz kufuata internet.kisa pilau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii the grid nilipata demu mmoja kuchati chati akawa rafiki aliendaga kusoma india sijui sasa hivi yupo wapi...ata jina nimemsahau na sijawahi kuonana naeNakumbuka vodacom walikuwa na social network inaitwa 'the grid'
Mwaka huo nakumbuka niliwah kwenda internet cafe kufungua account ya fbmwaka 2009/2010 nilikuwa natumia simu kuingia facebook sasa simu nilikuwa natumia ya sista angu nilivyomrudishia simu yake nikamiss kuperuzi . siku hiyo nikaenda internet cafe basi nikaingia zangu fb kumbe huyo mzee apita pita kuchungulia ali vyoona nipo fb aisee alifoka eti mambo gani hayo ya kihuni huni watoto wa siku hizi sijui mpoje aisee nilinyanyuka nikasepa zangu kimya kimya.
Hii time watcher itabidi nianze kuitumia kwa wanangu wasitumie sana simu na pc 😂 😂Time Watcher ile ina nembo ya jicho
Windows Xp Vista, ule mlio wake..
User interface yake..jinsi ya kucopy files..
Lile gemu la draft , mortal kombat, need for speed
Na kipindi hicho ishu za freemason zilikuwa ndio zimeshika moto basi wazee wakiona mtu anatumia facebook wanaiunganisha na freemason.mwaka 2009/2010 nilikuwa natumia simu kuingia facebook sasa simu nilikuwa natumia ya sista angu nilivyomrudishia simu yake nikamiss kuperuzi . siku hiyo nikaenda internet cafe basi nikaingia zangu fb kumbe huyo mzee apita pita kuchungulia ali vyoona nipo fb aisee alifoka eti mambo gani hayo ya kihuni huni watoto wa siku hizi sijui mpoje aisee nilinyanyuka nikasepa zangu kimya kimya.
Pia millenium towers internet cafe pale Mhudhuriaji maarufu Marehemu Roy wa G records alikuwa anajifunza kupiga biti pale miaka ya 1999Miaka ya 2002 maeneo ya Sea boys internet Cafe hapo Magomeni Mapipa.
Pia Tegeta pale kighorofani na pale Morogoro jirani na ofisi ya Abood ya mjini Masika.
Tumetoka mbali sana.
Miaka ya 2002 maeneo ya Sea boys internet Cafe hapo Magomeni Mapipa.
Pia Tegeta pale kighorofani na pale Morogoro jirani na ofisi ya Abood ya mjini Masika.
Tumetoka mbali sana.
Kwakweli kama hujatumia waptick kwenye simu za batani Nokia miaka ya 2007 bado huwezi kujiita mkongwe...View attachment 2648410
Kama hukutumia MSN Messenger, Yahoo, Skype chatroom za DarHotWire & Bongo5, Waptrick......and the likes, endelea kufurahia ujana wako!!!
Kuna internet zilikuwa maalum kwajili ya kuwarahisishia kazi wapiga chabo .😊Matunda Cafe Morogoro, nakumbuka back in days kulikuwa na vipazia full kuwaangalia akina Nikki Tyler,Vanessa Blue n.k life was good kwani privacy iliheshimiwa
Computer no .7😁
Nami nilijisajiri email mbili kwa siku moja, yaani yahoo na hotmail. Nikaja 'kulazimishwa' kuwa na gmail na hizi simu za sasa. Nilijiunga kwenye Cafe ya Barmeda, Mwanza mjini. Sasa, wakati ule kijiunga na hiyo yahoo, ilikuwa usumbufu sana. Unaulizwa na kujibu maswali kibao! Na, tulipoanza kutumia simu, napo ikawa shida, mara unaambiwa umetumia simu tofauti na uliyokuwa unaitumia, basi wanaifungia hiyo email yako. Kuirudisha, inakuwa shida sana. Yahoo yangu ishachukua miaka .miwili kuirudisha. Hawa jamaa wa gmail walipokuja, wamewanyoosha sana. Unajisajili ndani ya dakika tano tu, bila maswali ya hovyo hovyo! Nao, yahoo, wameshabadilika, hawana urasimu tena!Nimeanza na Hotmail, yahoo mail na marafiki.com Miaka ya 1998 / 1999 wakati huo ulizuka Uvumi Kwenye Mitandao kuwa ikifika 2000 new millenium kutatokea Tukio kubwa la kidunia wengine wakisema ndio mwisho wa dunia .
Nimetumia Cafe kadhaa za upanga , fire , kisutu, nakiete mwenge , kariakoo livingstone
Naskia Enzi Zile Akina Mia Khalifa,John Sins Ndo walikuwa Secondary wanajifunza Kuigiza Movie Pendwa.Haha enzi za worldsex.com [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann unauliza kaka🤣Uko na shida gani
Unaiacha wp phoneroticaAliyeanzishaga Redwap kipindi hicho Abarikiwe, Ma Legend wameshanielewa
hatimaye nimekutana na mshirika wanguMagomeni kulikuwa na internet cafe moja kubwa sana kama sijakosea jina kwa kusahau ilikuwa inaitwa kama sio Sea Boys basi ni Home boys ilitamba sana miaka hiyooo..
Ilikuwa ghorofani ina computer kibao kama 50 hivi