Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Atashambuliwa aliyerekodi clip na jamvi la siasa JF badala ya wala na watoa rushwa
 
Wakuu mimi simu haina chaji, nyie umeme mnatolea wapi aisee? Au tumerudi kwenye maisha ya powerbank
 
Ulikuwa hujui?ccm huwezi kupata uongozi pasipo kuwapa hongo wajumbe,kama huna hela usijiingize kabisa kwenye siasa za ccm,huko ndiko chuo cha wizi nchi hii kilipo,tokea ukiwa mdogo unaelewa kuwa uongozi unapatikana kwa kutoa rushwa tu so tafuta fedha kwa njia zozote zile ili upate madaraka
 
Nakubaliana na wewe ila tukio hili kutokea kwenye ardhi aliyozikwa Baba wa Taifa inaonesha ni kwa kiasi gani CCM imekwisha
 
Dawa ni kuondoa ccm madarakani uingie mfumo mpya tusonge mbele bhana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Naam ccm itoke hakuna muda wa kusubili.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mambo yankawaida sana hayo kwa CCM.
Nchi nzima ndivyo mambo yanavyoenda. Hawana wasiwasi kabisa wanagawana tu ufisadi.
 
CCM itolewe kama nduli Idd Amin Dadaaa alivyoondolewa
wachapwe viboko 24. 12 wakati wanaingia gerezani na 12 wakati wanatoka ili wakawaoneshe wake na waume zao
 
Huu ni uzushi tu, hiyo video haiwezi kuthibitisha hiyo ni rushwa, umbea umbea Tu, ni imetengezwa kwa makusudi si unaona hata wao wenyewe wanaagali kama vile wanajua ?
Umbea ka mwingine tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…