Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

Kuna vi group visivyo rasmi humu, NOTED!
 
For sure,
Mimi sijawai kuugua au kuumwa umwa tangia niwezaliwa hichi kipind ndio nimepitia Maumivu Sanaa

Haya majanga yasikie TU kwa watu Ila yasikukute

Vp Unaendeleajee wewe kwa Sasa...........

Kikubwa tusikate tamaa mungu Ni mwema tutakaa sawa..
Hadi nimeandika na uzi jua naendelea vizuri,. Tunasubiri tu mda wa daktari kupita saa kumi naweza nikaruhusiwa wanasema
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwepo, ulemavu usingewezekana kuwapo.

Ukiona tunaishi kwenye dunia inayoweza kuwa na ulemavu, huo ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…