Pole sana mdogo wangu kipenzi
Leejay49 nina imani utaendele kukaa sawa na utaendelea na majukumu yako mengine😍
Yes, humu sometimes kuna watu wanakera sana, na bila kuangalia kwa umakini unaweza jikuta unagombana na kila mtu maana si kila mtu anapenda afanyacho mtu
.... halafu nikuibie siri, hakuna members wanafiki humu kama wanawake, tena wale wa karibu yako...chukua point hiyo!!!
Leo mnacheka vzr, kesho anaunda kigroup Pm na mmoja mmoja unaanza kuiona rangi yake, mifano ninayo na wanajijua.
Ila usiwaze, japo kila siku tunawalalamikia akina
Paw na
Fang na
Cookie kuwa wabadilishe mfumo wa hata mtu uliyemu-ignore, asinione na nisimuone kwenye thread, kiufupi tusionane, ila naona hii kitu haiwezekani!!!😔
You're dada love you❤️