Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Tujiepushe na zinaa,hali si shwari mtaani,usijidanganye na ARVs,hakuna dawa nzuri kwenye mwili wa binadamu...
Sio suala la zinaa tu, labda kuacha kabisa ngono sababu HIV mara nyingi anakupa yule unayemuamini. Ambaye humuamini si utajikinga. Yule uliyemzoea na kumuamini ndo anakutandika nao. Limekuwa suala la Ajali zaidi.
 
Kwa kweli situmii ndomu mkuu, ndio maana kama ni kuchepuka nakuwa mzito sanaaaa, sanaa mkuu!!
Utapata kwa unayemuamini bora ujito.mbee tu....maisha mafupi haya [emoji848]
 
Sio suala la zinaa tu, labda kuacha kabisa ngono sababu HIV mara nyingi anakupa yule unayemuamini. Ambaye humuamini si utajikinga. Yule uliyemzoea na kumuamini ndo anakutandika nao. Limekuwa suala la Ajali zaidi.
Kabisa bora upige puli tu ijulikane moja...ukimwi anakupa yule unayemuamini like husband/ fiancee sijui kitu gani....nje unakuwa makini mnoo
 
Umeongea ukweli,huko kwenye ndoa ukimwi upo mwingi sana
Kwenye ndoa, kwa vibinti ambavyo vinaonekana innocent, kwa yule jirani uliyemzoea sana humuoni kama tishio, kwa mpenzi wako wa siku nyingi.
 
Sio suala la zinaa tu, labda kuacha kabisa ngono sababu HIV mara nyingi anakupa yule unayemuamini. Ambaye humuamini si utajikinga. Yule uliyemzoea na kumuamini ndo anakutandika nao. Limekuwa suala la Ajali zaidi.
Hili nintrue kabisa...ata mie aliyeniunganisha grid ya taifa nilimuamini sana acha tuu mwanamke mshenzi sana yule
 
Hili nintrue kabisa...ata mie aliyeniunganisha grid ya taifa nilimuamini sana acha tuu mwanamke mshenzi sana yule
Amekupa kazi ya kumeza mavidonge. Ila nadhani muda si mrefu mwisho wa vidonge utafika. By the way siku hizi wasio na HIV ndo wana hofu kuliko wenye nayo. Tukitembea na mwanamke tu mawazo ya kupata kama vile tunakufa sa hiyo hiyo.
 
Amekupa kazi ya kumeza mavidonge. Ila nadhani muda si mrefu mwisho wa vidonge utafika. By the way siku hizi wasio na HIV ndo wana hofu kuliko wenye nayo. Tukitembea na mwanamke tu mawazo kama tunakufa sa hiyo hiyo.
Ah sasa sie tunadunda tuu mwananiwane na corona ilikuja ikadunda nikajua kumbe mazoezi yanasaidia bwana....ugonge arv na mazoezi ya ukweli mbona unaendelea kuzichakata mbususu kwa raha zako
 
Sio suala la zinaa tu, labda kuacha kabisa ngono sababu HIV mara nyingi anakupa yule unayemuamini. Ambaye humuamini si utajikinga. Yule uliyemzoea na kumuamini ndo anakutandika nao. Limekuwa suala la Ajali zaidi.
Sasa utajuaje kuwa mkeo au demu wako ana "banyamulenge"
 
Weka mikono yako kifuani sema Mungu nisamehe ,nimekosa mimi nimekosa sana kusema maneno haya,ofcoz mliozaliwa kuanzia mwaka 2000 mnadhani ukimwi haupo,ila upo kuwa makini
Ndio maana nikasema sio kwa ubaya [emoji1431] nashukuru lakini
 
Back
Top Bottom