Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Kuna muhindi mmoja pale mnazi mmoja alitumia ARV hadi ngozi ukibonyeza ikawa inachelewa kurudi nakumbuka ilikuwa 2007
 
Ah sasa sie tunadunda tuu mwananiwane na corona ilikuja ikadunda nikajua kumbe mazoezi yanasaidia bwana....ugonge arv na mazoezi ya ukweli mbona unaendelea kuzichakata mbususu kwa raha zako
Na msosi wa kutosha.
 
mdukuzii naelewa ni nini unazungumza , sisi wengine tumeshuhudia familia zetu zikiangamia from father , mother mpaka ndugu wa damu finally we remain loneliness kama hivi japo ngoma hatuna

Ila ni ugonjwa nauchukia na pia kila mwenye hilo gonjwa kwangu ni rafiki na ndugu sababu nahisi anapigana vita walivyopigana familia yangu

UKIMWI USIKIE NDUGU ILA UPO STAY SAFE , VIJANA TUJIRINDE SANA
 
mdukuzii naelewa ni nini unazungumza , sisi wengine tumeshuhudia familia zetu zikiangamia from father , mother mpaka ndugu wa damu finally we remain loneliness kama hivi japo ngoma hatuna

Ila ni ugonjwa nauchukia na pia kila mwenye hilo gonjwa kwangu ni rafiki na ndugu sababu nahisi anapigana vita walivyopigana familia yangu

UKIMWI USIKIE NDUGU ILA UPO STAY SAFE , VIJANA TUJIRINDE SANA
Dah aisee,wajomba zangu wamepigwa na huu moto....
Wajomba watatu aisee...
 
Kweli aisee ukimwi wa zamani noooma sana nakumbuka 99 kuna dada aliumwa yani alipata majipu matakon hata kukaa hawezi aliisha na kuna mwalimu wetu wa primry nae aliupata yani chumba chake kikawa kinaharufu ya kabichi mbichi aisee huu ugonjwa ni laaana.
 
ukimwi wa 90s mpaka katikati ya miaka ya 2000 ulikuwa hatari sana.

mwaka 1997 niliondokewa na uncle wangu kwa gonjwa hili.

ilikuwa ni mara yangu kwanza kumuona live mgonjwa wa ukimwi akiwa ktk hatua za mwisho za kurudisha namba,sitokuja kusahau ile moment.

ile picha ya mwili wake ulivyokonda na kujaa vidonda hadi leo huwa inanijia kwenye kumbukumbu zangu.

hatari sana.
 
Mazoezi bila msosi moyo unaweza simama ghafla siku moja. Piga msosi mzabzab.
Yaani wee unataka nibadilishe tried and tested formula yangu nifuate ya kwako.
Kipimo halisi cha hii ilikuwa nilipopata corona. Nikatoboa nikajua kweli mazoezi ndio dawa ya kila kitu.
 
ukimwi wa 90s mpaka katikati ya miaka ya 2000 ulikuwa hatari sana.

mwaka 1997 niliondokewa na uncle wangu kwa gonjwa hili.

ilikuwa ni mara yangu kwanza kumuona live mgonjwa wa ukimwi akiwa ktk hatua za mwisho za kurudisha namba,sitokuja kusahau ile moment.

ile picha ya mwili wake ulivyokonda na kujaa vidonda hadi leo huwa inanijia kwenye kumbukumbu zangu.

hatari sana.
Ila mbususu bado wachakata au sio🤣🤣🤣🤣
 
Ila wanaotumia Arv kwa muda mrf wanajulikana tuu hata kwa kuangalia ngozi zao na chini ya mashavu huku kwny taya kama kumevimba vimba.
Siku hizi watu wanavimbana kwa mikuku ya kisasa na mayai yake. Unajua tuongee tu ukweli, kinga za mwili za binadamu wa kisasa zipo chini sana na hiv sio sababu pekee.
 
Back
Top Bottom