Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Ukimwi hauonekani kwa macho. Japo ukiwa makini kutazama mwenye ukimwi utamjua tu

Ngozi huwa hufubaa haina nuru, na midomo huwa na rangi nyekundu na mpauko fulani.

Kwa mwili wengi siku hizi hula dawa hawakondi na wanajitahidi kula vizuri.

Mshukuru Mungu kama ukoo wenu hawajafa kwa ukimwi

Hili gonjwa lipo, watu wana siri zao na waambukiza sana.
[emoji26] Hivi pia kiwembe bado kinaweza kuwa sababu ya maambukizi ya hivyo virusi endapo mtu aliyeathirika akijikata kwa bahati mbaya alafu akaja mtu ambaye hana hivyo virusi akatumia kiwembe kile kile [emoji848]
 
[emoji26] Hivi pia kiwembe bado kinaweza kuwa sababu ya maambukizi ya hivyo virusi endapo mtu aliyeathirika akijikata kwa bahati mbaya alafu akaja mtu ambaye hana hivyo virusi akatumia kiwembe kile kile [emoji848]
Kuhusu kiwembe tulipigwa,labda iwe ni kwa muda huohuo damu mbichi
 
Pana filamu ile ya mwanzo ya ukimwi ndo ilitufanya tuwe wagumu zaidi tusingekiwepo , maplay boy wengi wenzetu walishatungulia
 
Kwani tatizo la kuusambaza lipo wapi? Life haliko fair bwana and bad things happen to good ppl. Thats life deal with it.
Sasa kweli uyaboronge mwenyewe uupate halafu uje uwaambukize wengine wasio na hatia kwa makusudi. Watu mmepoteza utu aisee
 
Kama unatumia ARV achana nazo. Zitakumaliza.

Hawa jamaa sio wa mchezo kabisa, sijui ni MAPEPO? Wana namna fulani ya ku-control akili za watu kwa kutumia hofu na DEEP PROPAGANDA.

Hayo masumu ya ARV unayomeza hautibu chochote. Unajiangamiza.

Wewe hauumwi chochote, isipokuwa UMEFUNDISHWA KUAMINI kwamba wewe ni mgonjwa.

Ukishaikomboa akili yako kutoka kwenye hiyo propaganda nzito, HAKIKA utakuwa umepona magonjwa yote.
Unaezipinga arv tuambie nikitu gani kilichokua kikiwaua waathirika kabla ya ugunduz wa arv na kwanini vifo vitokanavyo na arv au watu kukonda sana hatuvioni sku iz
 
Yaani ni hatari sana haya masumu ya ARV.

Wajinga wengi wamekamatwa kwenye huu mtego wa udanganyifu wa ARV.
Unapinga arv niambie kabla ya arv why watu walikonda sana na kufariki na kwanini sku iz hawakondi na vifo vimepungua kwa waathirika
 
Mie mbona nilishazizoea ..mwaka wa nane huu nipo grid ya taifa na nadundika tuu...na nipo fit mpaka corona yenyewe ilidunda hapa.
Hongera mkuu... kikubwa kwenye maisha ni kupokea kila hali na ku maintain positive attitude.... ubaya ni kuishi kwenye denial.
 
Ila mzabzab hivi vibinti under 25 uvitindue na condom.. maana na sisi ndo tunacheza humo.
Habah ah wapi tena hivyo ndio target zangu...ukishawapiga deaparado na pizza unajilia kiulaini.
Wee kwani ukipata ngoma shida iko wapi? Mpaka kuja kufa sii baada ya miaka ishirini. Usitake kuishi mpaka yesu anaporudi akukute upo hai. Inapasa akukute upo six feet under
 
Ni kweli kiongozi sisi Malegendari tumekwepa mishale mingi...

Nakumbuka miaka hiyo ukipiga bea wiki nzima una mawazo..
Kuna msichana mmoja alikua mrembo Kimara nzima Hanna Kama yeye, hata bendi za muziki kipindi kile walimuimba. Kuna mzee mmoja kibopa alimfanya nyumba ndogo a.k.a mchepuko. Siku si nyingi binti akavuta. Mzee aliita watoto wake walio ulaya na wosia aliandika.
 
Unapinga arv niambie kabla ya arv why watu walikonda sana na kufariki na kwanini sku iz hawakondi na vifo vimepungua kwa waathirika

Kwani sasa hivi hakuna watu wanaokonda?

Na umejuaje wana UKIMWI?

Tupe takwimu za wanaokufa na kukonda.

STUPID PROPAGANDA EFFECT.
 
maisha ni kupokea kila hali na ku maintain positive attitude....

Hapa unamuingiza mwenzako kwenye mitego mibaya ya kuharibikiwa.

"MAINTAIN POSITIVE ATTITUDE" huku anabwia madonge yenye sumu!!

Wewe! Acha huu mchezo mara moja!

Ninasoma katikati ya mistari, na nimeisikia sauti ya ibilisi kwenye maandishi yako. ACHAA!
 
Kabla ya arv kipi kiliwaua waathirika
Hao waathirika ulikuwa unawapima wewe? Una takwimu?

Au unafanya kazi kwenye karakana ya IBILISI ya kuwalisha watu sumu za ARV?

Hii michezo ya IBILISI kwa kutumia kivuli cha SERIKALI tunaifahamu sana. Mlianza na HIV na CANCER, sasa mmekuja kwenye CORONA.

Hebu nipatie hizo takwimu za waathirika! inaonekana unajua mengi sana wewe!
 
Noma sanaa hii nilimuonaga Ma mdogo wangu miaka ya 2000 hivi akiwa hoii aiseee ni amelala kitandani mifupa mitupuu hapo ndo nikajua Ukimwi unatishaa sanaa...!! Siku hizi ARV zinasaidia sanaa...
 
Back
Top Bottom