Wee kwani mie nimesema nagonga arv? Mie mwezenu napiga zoezi tuu na nipo ngangari. Corona imedunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kwani mie nimesema nagonga arv? Mie mwezenu napiga zoezi tuu na nipo ngangari. Corona imedunda
Sawa mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]Wee kwani mie nimesema nagonga arv? Mie mwezenu napiga zoezi tuu na nipo ngangari. Corona imedunda
Wewe ni wakala mfawidhi wa ARV.
[emoji26] Hivi pia kiwembe bado kinaweza kuwa sababu ya maambukizi ya hivyo virusi endapo mtu aliyeathirika akijikata kwa bahati mbaya alafu akaja mtu ambaye hana hivyo virusi akatumia kiwembe kile kile [emoji848]Ukimwi hauonekani kwa macho. Japo ukiwa makini kutazama mwenye ukimwi utamjua tu
Ngozi huwa hufubaa haina nuru, na midomo huwa na rangi nyekundu na mpauko fulani.
Kwa mwili wengi siku hizi hula dawa hawakondi na wanajitahidi kula vizuri.
Mshukuru Mungu kama ukoo wenu hawajafa kwa ukimwi
Hili gonjwa lipo, watu wana siri zao na waambukiza sana.
Kuhusu kiwembe tulipigwa,labda iwe ni kwa muda huohuo damu mbichi[emoji26] Hivi pia kiwembe bado kinaweza kuwa sababu ya maambukizi ya hivyo virusi endapo mtu aliyeathirika akijikata kwa bahati mbaya alafu akaja mtu ambaye hana hivyo virusi akatumia kiwembe kile kile [emoji848]
Sasa kweli uyaboronge mwenyewe uupate halafu uje uwaambukize wengine wasio na hatia kwa makusudi. Watu mmepoteza utu aiseeKwani tatizo la kuusambaza lipo wapi? Life haliko fair bwana and bad things happen to good ppl. Thats life deal with it.
Hahaaa we jamaaKuna muhindi mmoja pale mnazi mmoja alitumia ARV hadi ngozi ukibonyeza ikawa inachelewa kurudi nakumbuka ilikuwa 2007
Unaezipinga arv tuambie nikitu gani kilichokua kikiwaua waathirika kabla ya ugunduz wa arv na kwanini vifo vitokanavyo na arv au watu kukonda sana hatuvioni sku izKama unatumia ARV achana nazo. Zitakumaliza.
Hawa jamaa sio wa mchezo kabisa, sijui ni MAPEPO? Wana namna fulani ya ku-control akili za watu kwa kutumia hofu na DEEP PROPAGANDA.
Hayo masumu ya ARV unayomeza hautibu chochote. Unajiangamiza.
Wewe hauumwi chochote, isipokuwa UMEFUNDISHWA KUAMINI kwamba wewe ni mgonjwa.
Ukishaikomboa akili yako kutoka kwenye hiyo propaganda nzito, HAKIKA utakuwa umepona magonjwa yote.
Unapinga arv niambie kabla ya arv why watu walikonda sana na kufariki na kwanini sku iz hawakondi na vifo vimepungua kwa waathirikaYaani ni hatari sana haya masumu ya ARV.
Wajinga wengi wamekamatwa kwenye huu mtego wa udanganyifu wa ARV.
Kabla ya arv kipi kiliwaua waathirika na kwanini walikonda sanaARV ndio zinawamaliza watu na wala sio HIV.
Wanaotumia ARV wanafubaa vibaya sana. Wanachoka kama mbwa koko.
HIV does not kill people, but ARV's do.
Hongera mkuu... kikubwa kwenye maisha ni kupokea kila hali na ku maintain positive attitude.... ubaya ni kuishi kwenye denial.Mie mbona nilishazizoea ..mwaka wa nane huu nipo grid ya taifa na nadundika tuu...na nipo fit mpaka corona yenyewe ilidunda hapa.
Habah ah wapi tena hivyo ndio target zangu...ukishawapiga deaparado na pizza unajilia kiulaini.Ila mzabzab hivi vibinti under 25 uvitindue na condom.. maana na sisi ndo tunacheza humo.
Ndiuka hiyo
Kuna msichana mmoja alikua mrembo Kimara nzima Hanna Kama yeye, hata bendi za muziki kipindi kile walimuimba. Kuna mzee mmoja kibopa alimfanya nyumba ndogo a.k.a mchepuko. Siku si nyingi binti akavuta. Mzee aliita watoto wake walio ulaya na wosia aliandika.Ni kweli kiongozi sisi Malegendari tumekwepa mishale mingi...
Nakumbuka miaka hiyo ukipiga bea wiki nzima una mawazo..
Unapinga arv niambie kabla ya arv why watu walikonda sana na kufariki na kwanini sku iz hawakondi na vifo vimepungua kwa waathirika
maisha ni kupokea kila hali na ku maintain positive attitude....
Hao waathirika ulikuwa unawapima wewe? Una takwimu?Kabla ya arv kipi kiliwaua waathirika