Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
 
Kwanza kuna huku Kaskazini.
Pesa kidogo mtu anamiliki silaha, mpaka unabaki kushangaa.
Nawaogopa mie… nawazaga anaweza kukubadilikia muda wowote, akufanyieshe usiyoyatarajia 🥹🥹
Mkuu silaha ni muhim sana.. mfano Kanda ya ziwa kibaka anaweza kupiga panga alaf akakuibia Sim na pesa za kwenye wallet.
 
Kanda ya zkiwa ipi uliwahi kuishi ww,mbona kama unachuki binafsi na jamii uloishi nayo kwa mda mrefu,specify according to your research ulishuhudia nani kafariki au we ulikutwa na mkaa upi Mars ngapi,njoo na uzi imekamilika usiwe kama yule mdaku alofanya research ya ushoga bila kuwahi wanafikia na watekelezaji wa mradi na kuzua taharuki
 
92e4f78b-645a-4965-993f-1637d15b2948.jpg
 
Kanda ya zkiwa ipi uliwahi kuishi ww,mbona kama unachuki binafsi na jamii uloishi nayo kwa mda mrefu,specify according to your research ulishuhudia nani kafariki au we ulikutwa na mkaa upi Mars ngapi,njoo na uzi imekamilika usiwe kama yule mdaku alofanya research ya ushoga bila kuwahi wanafikia na watekelezaji wa mradi na kuzua taharuki
Mkuu nimeish Kanda ya ziwa maeneo yote, HQ nilikuwa mwanza.. mfano wa watu maarufu wamewah uwawa Lake
1.Peter Malya
2. Super Sammy
3. Mawazo Alfonce
4. Mabina Mabina
5 . Liberatus Barlow

Nk nk
 
Kanda ya zkiwa ipi uliwahi kuishi ww,mbona kama unachuki binafsi na jamii uloishi nayo kwa mda mrefu,specify according to your research ulishuhudia nani kafariki au we ulikutwa na mkaa upi Mars ngapi,njoo na uzi imekamilika usiwe kama yule mdaku alofanya research ya ushoga bila kuwahi wanafikia na watekelezaji wa mradi na kuzua taharuki
Kuanzia Shinyanga, Geita, Simiyu, Mwanza na Mara.
Pale Shinyanga matukio ya kuuwawa boda boda ni mengi tena kinyama
Pale Geita mauaji ya Wafanyabiashara
Kule Simiyu ndio kuna kila aina ya Vituko kuanzia fisi wala watu, mauaji ya wivu wa kimapenzi mpaka vifo vya kishirikina.
Mara sina haja ya kuelezea ila mapanga yanakuhusu.
 
Wakuu Habari,

Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana. Tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala (Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc, namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopenda kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

Ni hayo tu.
Mambo ya kuuana yako Kaskazini bana we nae, Lake Zone ni eneo la kistaarabu sana japo watu wabaya kama unaosema siyo kwamba itawakosa kabisa hapana ila ni sehemu nzuri tu isiyo na shaka, na isitoshe matukio ya mauaji hutokea sehemu karibu zote hapa nchini kulingana na undani wa tukio husika, mtenda na mtendewa, au na Kibiti ni Kanda ya ziwa? Kaskazini mtu ana Milion 50 tu anatoa toa siraha hadharani, mi nadhani kutaka kuuana umechemka....
 
Mkuu nimeish Kanda ya ziwa maeneo yote, HQ nilikuwa mwanza.. mfano wa watu maarufu wamewah uwawa Lake
1.Peter Malya
2. Super Sammy
3. Mawazo Alfonce
4. Mabina Mabina
5 . Liberatus Barlow

Nk nk
Tuwataje waliouawa Dsm, Moshi na Arusha? Ama basi tu amini unavyoamini
 
Kuanzia Shinyanga, Geita, Simiyu, Mwanza na Mara.
Pale Shinyanga matukio ya kuuwawa boda boda ni mengi tena kinyama
Pale Geita mauaji ya Wafanyabiashara
Kule Simiyu ndio kuna kila aina ya Vituko kuanzia fisi wala watu, mauaji ya wivu wa kimapenzi mpaka vifo vya kishirikina.
Mara sina haja ya kuelezea ila mapanga yanakuhusu.
Ila kuna ukweli lakini nliwahi skia mtu akijimwambafy mwanaume unakaaje huna panga..kule kupigwa panga ni kama Kofi tu utaskiaukinichezea ntakukata na panga🤣🤣
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
njoo tarime tukufundishe kutumia panga mkuu
unaonekana wewe ni muoga, uoga wa kike, unaogopa kifo
 
Back
Top Bottom