Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Unataka tuishije na nyie Warisha
Uje Kwetu na vihela vyako na nyoko nyoko utakula panga Msaghane omwene .

Dharau mwisho Singida.... Tabora, Mwanza, Simiyu, Mara (Nchini Mara), Geita... Lete Dharau zako utauawa kikatili sana.
Ndo hivo. Fanya kazi yako wahi Nyumbani .
Heshimu wenyeji.
Unaongea kama kwamba binadamu ana thamani sawa na mnyama
 
Huwa mnaandika ujinga as if kand ya ziwa pekee ndipo watu wanauana.
 
Ni kheri uishi kanda ya kaskazini kuliko kanda ya ziwa huku kuua kwao ni kama kucheza mbina tu
By the way naishi Mwanza, na hapa ninafanya kazi Arusha.... So hakuna kitu utanidanganya, ukitaka tubadilishane mawazo now njoo hapa Arusha night park tule mtula
 
By the way naishi Mwanza, na hapa ninafanya kazi Arusha.... So hakuna kitu utanidanganya, ukitaka tubadilishane mawazo now njoo hapa Arusha night park tule mtula
Hongera kwa kuishi Mwanza na kufanya kazi Arusha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hongera kwa kuishi Mwanza na kufanya kazi Arusha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu kama wewe wapo wengi sana,mnajitokezaga mahala kama hapa jf kudanganya watu,na mnajisahau kua humu kuna watu wa kila namna ktk utafutaji wa maisha kwa maana ya kua wanajua kanda zote na mikoa,pia viunga vyake....yani kama wewe unavyojua room unayolala na ya watoto wako na room ya wageni,ndani ya nyumba yako,ndivyo sisi wengine tunavyoijua Tanzania
 
Silaha ni Silaha.

Mie nashauri Silaha za Jadi zirudishwe kisheria. Huu ukoloni mamboleo hapana-kuondoa silaha za kijadi na kuleta ""silaha za kigeni.
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Wewe ni mpuuzi tu kuliko wapuuzi waliokutangilia,
 
Mkuu nimeish Kanda ya ziwa maeneo yote, HQ nilikuwa mwanza.. mfano wa watu maarufu wamewah uwawa Lake
1.Peter Malya
2. Super Sammy
3. Mawazo Alfonce
4. Mabina Mabina
5 . Liberatus Barlow

Nk nk
Ukitoa rebaratus barow, wengine woote ni majambazi.
 
Kifupi sio wema wala wastaharabu.
maana Ustaharabu ni pamoja na uwezo wa kustahimili na uvumilivu.
Huku matukio ya mauaji ni mengi mpaka unahisi ndio mwenendo wa jamii
Huko ninadhani waje JWTZ wawapandikize ustaarabu kwa miezi 6 hiv inatosha!!
 
Hata Tabora ni hatari
Tena Tabora ndiyo wapuuzi mno.....yaani mtu ukiiba kibiriti tu au ukikutwa unakula vizuri unatupiwa jini ili uwe kichaa na ndiyo maana ule mkoa una vichaa balaa. Mfano ulio hai, muangalieni kijana wao Oscar Oscar.....wakati mwingine akiongea utafikiri kichaa fulani hivi kumbe ana akili timamu. Tabora shikamooni.
 
Mkuu silaha ni muhim sana.. mfano Kanda ya ziwa kibaka anaweza kupiga panga alaf akakuibia Sim na pesa za kwenye wallet.
Dar vipi? Uko bias, fatilia kesi za wapora pikipiki na bajaji wanatumia silaha gani?

Nikiwepo mimi binafsi nimewahi kupigwa panga nikaibiwa simu Dar, na nawajua wengine wengi.

Cha msingi ni kuwa masuala ya usalama yafanyiwe kazi zaidi.
 
Kwa hiyo huko kuuana na mambo ya kawaida tu

Ova
Mrangi bana, haya Dar tembelea hospitali uulizie kesi za watu kukatwa mapanga kwa ajili ya simu na pesa chini ya milioni 5.

Arusha, hata siongei kuhusu masuala ya hela na risasi.

Tatizo la mwandishi au washkaji wengi wa hivi u akuta alitoka katika busy town/city akawa hapati info za hatari kwa wakati.

Sasa akienda sehemu ambayo info kama hizo zinasambaa fasta na mji au jiji hauna mambo ya kum keep busy kama alipotokea lazima atapagawa.
 
Ka
Kawaida sana, kule watu wamejichokea, Yani muuaji anapewa laki 5 na ramani Tu, Akija anacharanga mapanga hadi paka atayemkuta....hapo ukute kaugomvi kenyewe ni mpaka wa shamba, au au mtu umemuonjea kamke au kamume kake.....
🤣🤣🤣

Kuna police aliwahi niambia kuwa matukio kama hayo yapo Sana Kagera

Tena ana kwambia mtu akitaka kufanya tukio la uhalifu anapiga simu police anakwenda kutoa rushwa mapema ana waambia Kesho Nina kwenda kufanya tukio Kwa Fulani Msije .. Nika muuliza sasa kwanini msimkamate Akanijibu ukithubutu kujifanya snitch weee Raia Wana kuua
 
Back
Top Bottom