Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,055
- 2,466
Mkurya hajui kurusha ngumi kabisa yeye ni mapanga na majambia tu.njoo tarime tukufundishe kutumia panga mkuu
unaonekana wewe ni muoga, uoga wa kike, unaogopa kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurya hajui kurusha ngumi kabisa yeye ni mapanga na majambia tu.njoo tarime tukufundishe kutumia panga mkuu
unaonekana wewe ni muoga, uoga wa kike, unaogopa kifo
Wakuu Habari.
Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.
Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.
Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.
Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.
Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.
Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.
......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)
achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.
Ni hayo tu.
Yule mzilankende aka Dr jiwe ndio typical reflection ya watu WA hii kanda , roho mbaya za kikatili ,no sypmathy no empathy ,simply empty soulsNdio maana kuna jitu lilikuwa na roho mbaya na wivu akawa anafinya tu.
hii ni kweli nipo hapa kahama kila unapopita wanaongea kisukuma tu hata mimi mgeni nikiwa mtaani wananisalimia kilugha dahKanda ya ziwa ni eneo la ovyo Sana
Ujinga
Uchawi
Kuzaana hovyo
Ujambazi wa kijinga
Mauaji ya walemavu wa ngozi
Ukabila
Uharibufu wa mazingira
Kuuwa vikongwe
Ushamba
Umetutukana hii ndo Dharau yenyeweKanda ya ziwa ni eneo la ovyo Sana
Ujinga
Uchawi
Kuzaana hovyo
Ujambazi wa kijinga
Mauaji ya walemavu wa ngozi
Ukabila
Uharibufu wa mazingira
Kuuwa vikongwe
Ushamba
Asante kwa taarifaWakuu Habari.
Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.
Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.
Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.
Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.
Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.
Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.
......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)
achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.
Ni hayo tu.
Ndio eneo linaloongoza kwa ukatili kwa sasa barani Africa , yaani hakuna vita vya wenyewe kwa wenyewe ila watu wanauana !Kwa hiyo huko kuuana na mambo ya kawaida tu
Ova
Umetajiwa hadi ya majina ya Marehemu lakini hutaki !Kanda ya zkiwa ipi uliwahi kuishi ww,mbona kama unachuki binafsi na jamii uloishi nayo kwa mda mrefu,specify according to your research ulishuhudia nani kafariki au we ulikutwa na mkaa upi Mars ngapi,njoo na uzi imekamilika usiwe kama yule mdaku alofanya research ya ushoga bila kuwahi wanafikia na watekelezaji wa mradi na kuzua taharuki
Aisee badalikeni ndugu kuuwana sio ujanja ,wivu sio ujanja kiukweli mpo nyuma Sana ushamba ni mwingi mno!! Tena heri ya Kagera Kuna ustaarabu kuliko Geita, Mwanza,simiyu,musomaUmetutukana hii ndo Dharau yenyewe
Kanda ya ziwa ina Watu washamba sanaMkuu silaha ni muhim sana.. mfano Kanda ya ziwa kibaka anaweza kupiga panga alaf akakuibia Sim na pesa za kwenye wallet.
🤣🤣Tuhakikishe watoto wanapata lishe Bora utoton,hii Ina impact kubwa utu uziman katika afya ya mwili,nb:siongelei unene
Ni ngumu kubadilikia maana anakua ashaizoea!Kwanza kuna huku Kaskazini.
Pesa kidogo mtu anamiliki silaha, mpaka unabaki kushangaa.
Nawaogopa mie… nawazaga anaweza kukubadilikia muda wowote, akufanyishe usiyoyatarajia 🥹�