Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Mkuu silaha ni muhim sana.. mfano Kanda ya ziwa kibaka anaweza kupiga panga alaf akakuibia Sim na pesa za kwenye wallet.
Pengine Huijui nchi
hakuna cha Kanda ya Wapi wala Wapi
matukio kama hayo Yapo nchi nzima
Iwe Arusha mpaka Mbeya
Songwe huko ndio Kwenyewe
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Mawazo aliuliwa na Maghu na taasisi yake ya intelijensia,na ccm militiq group
 
Kwanza kuna huku Kaskazini.
Pesa kidogo mtu anamiliki silaha, mpaka unabaki kushangaa.
Nawaogopa mie… nawazaga anaweza kukubadilikia muda wowote, akufanyishe usiyoyatarajia 🥹🥹
Acha kushobokea pesa zao watakufanya kweli usiyotarajia we jichanganye uone
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Tutaja na kuoa wako tulinganishe
 
NimedisLIKE kwa sababu ulichoandika na majina ya watu uliotaja ni UONGO yaani hamna uhusiano kabisa na uj8nga ulioandika.

Mtu kama marehemu Mawazo, Super Sami nk, yaani ni uelewi hata vifo vyao ipa umetaka kuwachafua watu, either kuna jambo ulifanya au umekosa kitu so umekimbia na hii mada!.
 
Hii ni kweli. Kule kuna wivu wa maendeleo. Ujambazi unafuatwa ndani ukiwaambia kwamba mnataka nn, wanakwambia hatutaki hata sh 10, tunataka roho yako tu.

Kuna uchawi. Mtu anawekwa kwenye chungu angali mdogo, chungu kinaenda kufukiwa milimani huko. Kmmk, hata ufanyeje hutoboi. Kama ni shule utaacha, wakikukosakosa ukafanikiwa kumaliza kazi hutopata, ukiwatotoka ukapata hiyo kazi hela hutofanyia chochote mpaka unakufa.

Nina hasira sana.
 
Si kweli. Mbona diallo hajauliwa,kishimba anadunda,musukuma yupo fresh etc

Ishu ya mabina fatilia mkuu unajiaibisha
 
Nimezunguka naa kukaa mikoa mingi Tanzania. Nimekaa Mwanza pia nimetembelea wilaya zote za Kagera, Mara, Geita na Mwanza yenyewe.

Nnachoweza kukuhakikishia mtoa mada, Njombe ndio mkoa ambao maisha ya mwanadamu hayana thamani yoyote. Mauaji ni mengj Mkoa wa Njombe kuliko mkoa wowote ule.
 
Huyu no 1.Mabina alikua jambazi,kaua watu wengi sana ziwani victoria,alikua anateka mitumbwi inayotoka kisumu na mali anaua watu wailiomo kwenye mtumbwi anachukua mali zote,na siku ya kifo chake aliua mtoto,hivyo malipo ya kila kitu ni hapa hapa dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kweli. Kule kuna wivu wa maendeleo. Ujambazi unafuatwa ndani ukiwaambia kwamba mnataka nn, wanakwambia hatutaki hata sh 10, tunataka roho yako tu.

Kuna uchawi. Mtu anawekwa kwenye chungu angali mdogo, chungu kinaenda kufukiwa milimani huko. Kmmk, hata ufanyeje hutoboi. Kama ni shule utaacha, wakikukosakosa ukafanikiwa kumaliza kazi hutopata, ukiwatotoka ukapata hiyo kazi hela hutofanyia chochote mpaka unakufa.

Kmmk, nina hasira sana.
Wapi hiyo?
Je yalikutokea na ni mkoa gani?
 
Back
Top Bottom