MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kitu mlichobarikiwa Tarime ni Wanawake wenu watamu halafu weupenjoo tarime tukufundishe kutumia panga mkuu
unaonekana wewe ni muoga, uoga wa kike, unaogopa kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu mlichobarikiwa Tarime ni Wanawake wenu watamu halafu weupenjoo tarime tukufundishe kutumia panga mkuu
unaonekana wewe ni muoga, uoga wa kike, unaogopa kifo
Pengine Huijui nchiMkuu silaha ni muhim sana.. mfano Kanda ya ziwa kibaka anaweza kupiga panga alaf akakuibia Sim na pesa za kwenye wallet.
Umesahau Nyerere ,mkapa na magufuli. Acha udini mbwa weweKama silaha inazuia kifo wasingekufa watu Kama Osama, gadafi, sadam, nk.
Mawazo aliuliwa na Maghu na taasisi yake ya intelijensia,na ccm militiq groupWakuu Habari.
Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.
Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.
Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.
Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.
Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.
Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.
......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)
achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.
Ni hayo tu.
Kawaida sana, kule watu wamejichokea, Yani muuaji anapewa laki 5 na ramani Tu, Akija anacharanga mapanga hadi paka atayemkuta....hapo ukute kaugomvi kenyewe ni mpaka wa shamba, au au mtu umemuonjea kamke au kamume kake.....Kwa hiyo huko kuuana na mambo ya kawaida tu
Ova
Tumpunguzie dhambi marehemu, Mawazo kauawa Maghu bado hajawa Rais🤣🤣Mawazo aliuliwa na Maghu na taasisi yake ya intelijensia,na ccm militiq group
Acha kushobokea pesa zao watakufanya kweli usiyotarajia we jichanganye uoneKwanza kuna huku Kaskazini.
Pesa kidogo mtu anamiliki silaha, mpaka unabaki kushangaa.
Nawaogopa mie… nawazaga anaweza kukubadilikia muda wowote, akufanyishe usiyoyatarajia 🥹🥹
Tutaja na kuoa wako tulinganisheWakuu Habari.
Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.
Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.
Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.
Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.
Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.
Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.
......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)
achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.
Ni hayo tu.
Niliowataja walikufa au kukamatwa wakiwa na silaha mkononi tofauti na uliotawataja wewe. Kasome vizuri.Umesahau Nyerere ,mkapa na magufuli. Acha udini mbwa wewe
Wapi hiyo?Hii ni kweli. Kule kuna wivu wa maendeleo. Ujambazi unafuatwa ndani ukiwaambia kwamba mnataka nn, wanakwambia hatutaki hata sh 10, tunataka roho yako tu.
Kuna uchawi. Mtu anawekwa kwenye chungu angali mdogo, chungu kinaenda kufukiwa milimani huko. Kmmk, hata ufanyeje hutoboi. Kama ni shule utaacha, wakikukosakosa ukafanikiwa kumaliza kazi hutopata, ukiwatotoka ukapata hiyo kazi hela hutofanyia chochote mpaka unakufa.
Kmmk, nina hasira sana.
Ukiwa na macho mekundu pia uko hatarini kupoteza maisha,wanahisi ni mchawiKawaida mno kiongozi...