Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Kama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo

Kuna sehemu kuna ujambazi na watu roho mbaya kama Kaskazini? (Moshi & Arusha)
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Ulivyoelezea haap mkuu,nikweli kabisa ,mm natokea kandaya ziwa nimekulia huko pia,ila kwasasa naishi mikoa ya kusini ,kanda yaziwa tuna matukioa ya kikakitili mengi sana hadi hua naogopa tofauti kabisa na huku nnakoishi ,nadhani jamii za kiiisilamu hazitilii nguvu kutafuta mali ndio maana matukio ya ujambazi,naukatili wa watu kama albino uko chini ,ila maeneo yakanda ya ziwa ,wanatafuta mali kwa nguvu zote hata kwanjia zisizo halali ndio maana matukio mazito mazito ya ukatili na unyanyasaji hutokeahuko.mfano kwetu nimewahi kushuhudia mwanamke amepotea kupatikana amefariki kanyofolewa viungo vya siri,lkn sijawahi kusikia tukio la namna hyo huku kusini.bora uswahili wa watu wakusini kuliko ukatili wa kanda ya ziwa.
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Acha kutuchanganya mara wakarimu sana, mara wana wivu na roho mbaya. which is which? Mi nachojua ni wabaguzi sana hasa wanyantuzu. Nenda kaishi Bariadi ukitaka kuona dunia ni chungu. Ufungue biashara? Guest house zote za kwao, maduka karibu biashara zote mi sijaona mgeni. Nchi hii ubaguzi bado upo mikoa mingine. Ila mikoa watu hawana muda na wewe tena watampenda mgeni kuliko mwenyeji siyo kanda ya ziwa
 
Kuna sehemu kuna ujambazi na watu roho mbaya kama Kaskazini? (Moshi & Arusha)
Arusha ipi? Au Arusha sehemu gani, wilaya ipi. We hauko serious, km eneo la watu hulijui vizuri acha uzushi wa kipuuzi. Hakuna eneo au mkoa nchi hii iliyostaarabika km Arusha hakuna mtu ana muda na wewe, Arusha hata kabila lako huwezi ulizwa. Arusha ni kitu kingine ni mji wa kimataifa watu wamewazoea wazungu km wabantu wenzao maana wazungu ni wengi hasa Arusha mjini na viunga vya mji. Usiongelee vitu usivyovijua. Jaribu kutembelea eneo kabla hujaandika uongo km huu.

Arusha ujambazi uko wapi, kijana acha chuki za kipuuzi na mikoa ya watu. Umekalisha kalio lako unajiandikia uongo unavyojisikia?
 
Kuna sehemu kuna ujambazi na watu roho mbaya kama Kaskazini? (Moshi & Arusha)
Wewe unachuki zako na wivu hata hiyo Arusha hata hujafika. Arusha ni mji wa kistaarabu sana, niambie tukio la ujambazi kwa maana ya tarehe na mwaka na wapi. Ukisikia Arusha unabanwa na mavi tu kwasababu ni jiji la kimataifa na uliostaarabika. Arusha hakuna mtu ana muda na mwingine, huwezi hata kujua nani ni kabila gani. Uwe na adabu hicho chuki na wivu mpelekee ndugu yako.
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Uko sawa 100% especially Geita
 
Chumvi imezidi wakuu....hayo mauaji ya sijui wivu,biashara,mapenz n.k yapo kila sehemu Tz,afrika na duniani!yaani uzulumu/utapeli,ule wake za watu,uibe halafu uchekewe?unakula panga lolo MBASA ufie mbali!!kanda ya ziwa nenda kaishi,fanya kambo yako kistaarabu utakua salama,ila ukileta nyokonyoko,UMEKWISHA!
 
Hatari sana, wanasema huko hata wanawake wanaolewa kibabe,ki panga panga 🤣🤣
 
Kwa hiyo huko kuuana na mambo ya kawaida tu

Ova
Kuna mwamba alikua akiua kwa 20 tu,polisi wamemuhifadhi jela bila kesi,maana kesi za mauaji ngumu kumkuta mtu na hatia,yupo jela tu kule igunga, usukumani kukuua simple tu
 
Wakuu Habari.


Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo.

Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika miamala(Transactions, not necessarily financials) na sio lazima fedha.

Kanda ya ziwa ni eneo pekee nchi hii unaweza kuuwawa kwa sabab ya wivu wa biashara, mapenzi, vyeo kazini, etc... namanisha kwa watu wa kipato ni rahis sana kupoteza uhai Kanda ya ziwa.

Kwa wanaopendq kufanya biashara, kazi za maana pamoja na kuish Kanda ya ziwa, tafadhal sana hakikikisha unanunua silaha, ni kwa usalama wako.

Wauaj weng Kanda ya ziwa wanatumia mapanga, na nondo. iwe ni ajal, mapenz, wizi, wivu nk.. wachache sana hutumia silaha za kisasa.

Nawasihi ndugu zangu, usalama wako ni kwa sabab yako mwenyewe, raia wana uelewa mdogo sana wa mambo kwa sasa, tafuta silaha weka kiunoni jilinde.

......
Mfano wa watu maaruf waliowahi uwawa Kanda ya ziwa
1. Mabina Mabina( Diwani mashuhuri na mwenyekit wa Halmashaur. )
2. Liberaus Barlow(RPC Mwanza)
3. Peter Malya(Mfanyabiashara)
4. Mawazo Alfonce(Mwanasiasa)
5. Super sammy(Mfanyabiashara)

achilia watu wa kawaida wengi ambao si maarufu.

Ni hayo tu.
Umeshasema ni kanda ya watu wastaarabu sana,,
Basi jitahidi kuishi nao kistaarabu pia, sio kwa kuwa una pesa sana basi ukaona unaweza kufanya chochote kwa mtu yoyote, huku ukimzingua mtu hatafuti sheria polisi wala mahakamani kwani sheria tayari anayo mkononi,,
 
Kabisa nimeishi kule,yaani majambazi yapo tayari kukuua mtu kwa ajili ya baiskeli. Vitu vya hovyo kabisa!

Kiukwel mimi natokea mara ni jamaa fulani mpole hb wa kushiba kabisa nacheka ila ukinikasirisha nakuta hadi macho yanabadirik kuwa mekundu yanajaa kama damu nahisi kukasirika kupita kiasi ukinichukiza nasikia hasira mbaya mpk nasali hasira zipungue kabisa
 
Siku zote ukiwa busy na mambo yako na kutopenda kuleta shobo na watu wala uhitaji silaha ya kujilinda. Nimeishi sehemu hatari sana lakini hiyo ndio kanuni ya maisha niyojifunza. Usipende kujihusisha na mambo ya watu yasiyokuhusu. Ishi kivyako.
 
Huyu no 1.Mabina alikua jambazi,kaua watu wengi sana ziwani victoria,alikua anateka mitumbwi inayotoka kisumu na mali anaua watu wailiomo kwenye mtumbwi anachukua mali zote,na siku ya kifo chake aliua mtoto,hivyo malipo ya kila kitu ni hapa hapa dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuongea uongo we panzi,
Mabina alionewa kabisa na wananchi kwenye kifo chake.

Alinunua maeneo kidogo kidogo kwa wananchi kihalali kabisa, eneo la mlima wa Kanyama, lilipopanda thamani wananchi wakaamua kwa mabavu kurudi kwenye maeneo hayo alipowazuia ndio wakamshambulia kikatili kwa mawe mpaka wakamuua
 
Back
Top Bottom