Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Wewe badala ya kunitoa stress umenifanya kichaa kwa muda. Pambafuuu
Nimecheka mpaka misuli ya kichwa inauma
Hebu jaribu kumuona docta akupime stress, lazima zitakuwa zimepungua 89.99872% siyo kucheka huko..[emoji1] [emoji1]
=====================================

Hapa home leo wameniuliza ntaoa lini na umri umeenda, nikawajibu ntaoa umri ukirudi!
Sahizi niko mezani sioni chakula, I think leo tumefunga[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]akili yangu naijua mwenyewe[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Dogo unafanya nionekane chizi hapa nilipo ngoja niangalie football kwanza.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani jamani khaa mtaniua
 
Nilijua unasema pombe siyo magufuli nilijiandaa kulog out nisije kuwa shahidi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] chaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kenge sana wewe
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…