Kama unaomba hivi, imani yako itashuka na utamchoka Mungu mapema

Kama unaomba hivi, imani yako itashuka na utamchoka Mungu mapema

Mfano unasema mambo ya laana ya ukoo. Sisi tunasema ukiwa umempokea Yesu na mtiifu kwa maagizo yake, unakuwa mtoto wa Mungu na kuwa mwanafamilia ya kifalme, Familia ya Mungu. Hakuna laana, laana unawaachia wanaozipenda na wanafalsafa.
Kama hakuna laana ya ukoo kwanini unakula kwa jasho na mwanamke anazaa kwa uchungu?

Kwanini unabatizwa?

Mungu amesema nini kwenye amri ya pili kama ukiabudu miungu wengine? Alisema atamlaani mtu atakaye abudu miungu wengine yeye hadi kiazazi chake cha ngapi?

Kwanini Mungu alimleta mwanawe Yesu ateswe?
 
Kama hakuna laana ya ukoo kwanini unakula kwa jasho na mwanamke anazaa kwa uchungu?

Kwanini unabatizwa?

Mungu amesema nini kwenye amri ya pili kama ukiabudu miungu wengine? Alisema atamlaani mtu atakaye abudu miungu wengine yeye hadi kiazazi chake cha ngapi?

Kwanini Mungu alimleta mwanawe Yesu ateswe?
Hakunq laana ya ukoo ukiwa katikq kristo Yesu. Mkristo kumuhusisha na laana za ukoo wakati amekombolewa kwa damu ya Yesu ni kumkosea adabu. Hayo ni mafundisho ya kipigaji. Hayo tunawafundisha waislam, wapaganj na watu ambao bado wako gizani hawajamjua Yesu.
 
siku hizi jina la yesu ndo hutumiwa na matapeli kwenye maombi....utasikia kwa jina la yesuuu tokatokaaa
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama frame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.
Asante ila kumbuka ukisha sali usisahau kwenda vitani na kupigana vita yako kama alivyofanya Yehoshafat hapa:

Then the Spirit of the Lord came on Jahaziel son of Zechariah, the son of Benaiah, the son of Jeiel, the son of Mattaniah, a Levite and descendant of Asaph, as he stood in the assembly.

15 He said: “Listen, King Jehoshaphat and all who live in Judah and Jerusalem! This is what the Lord says to you: ‘Do not be afraid or discouraged because of this vast army. For the battle is not yours, but God’s. 16 Tomorrow march down against them. They will be climbing up by the Pass of Ziz, and you will find them at the end of the gorge in the Desert of Jeruel. 17 You will not have to fight this battle. Take up your positions; stand firm and see the deliverance the Lord will give you, Judah and Jerusalem. Do not be afraid; do not be discouraged. Go out to face them tomorrow, and the Lord will be with you.’”

18 Jehoshaphat bowed down with his face to the ground, and all the people of Judah and Jerusalem fell down in worship before the Lord. 19 Then some Levites from the Kohathites and Korahites stood up and praised the Lord, the God of Israel, with a very loud voice.

20 Early in the morning they left for the Desert of Tekoa. As they set out, Jehoshaphat stood and said, “Listen to me, Judah and people of Jerusalem! Have faith in the Lord your God and you will be upheld; have faith in his prophets and you will be successful.” 21 After consulting the people, Jehoshaphat appointed men to sing to the Lord and to praise him for the splendor of his[c] holiness as they went out at the head of the army, saying:

“Give thanks to the Lord,
for his love endures forever.”
 
Mtume Boniface Mwamposa anaitumia hii, ndio muongozo wakuanza ibada zake.
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama frame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.
Aminaa. Ubarikiwe sana.
 
Mtume Boniface Mwamposa anaitumia hii, ndio muongozo wakuanza ibada zake.
Wende ndio maana anafanikiwa. Maana watu wanajenga imqni kwa Mungu na kutoa imani zao kwenye matatizo kwanza. Mungu anakuwa kipaumbele sio matatizo.
 
Back
Top Bottom