Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.
Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.
Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.
Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.
Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.
Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.
HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama frame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.
Ni hayo tu.
Kama umepata kitu, sema amina.
Asante ila kumbuka ukisha sali usisahau kwenda vitani na kupigana vita yako kama alivyofanya Yehoshafat hapa:
Then the Spirit of the Lord came on Jahaziel son of Zechariah, the son of Benaiah, the son of Jeiel, the son of Mattaniah, a Levite and descendant of Asaph, as he stood in the assembly.
15 He said: “Listen, King Jehoshaphat and all who live in Judah and Jerusalem! This is what the Lord says to you: ‘Do not be afraid or discouraged because of this vast army. For the battle is not yours, but God’s. 16 Tomorrow march down against them. They will be climbing up by the Pass of Ziz, and you will find them at the end of the gorge in the Desert of Jeruel. 17 You will not have to fight this battle. Take up your positions; stand firm and see the deliverance the Lord will give you, Judah and Jerusalem. Do not be afraid; do not be discouraged. Go out to face them tomorrow, and the Lord will be with you.’”
18 Jehoshaphat bowed down with his face to the ground, and all the people of Judah and Jerusalem fell down in worship before the Lord. 19 Then some Levites from the Kohathites and Korahites stood up and praised the Lord, the God of Israel, with a very loud voice.
20 Early in the morning they left for the Desert of Tekoa. As they set out, Jehoshaphat stood and said, “Listen to me, Judah and people of Jerusalem! Have faith in the Lord your God and you will be upheld; have faith in his prophets and you will be successful.” 21 After consulting the people, Jehoshaphat appointed men to sing to the Lord and to praise him for the splendor of his[
c] holiness as they went out at the head of the army, saying:
“Give thanks to the Lord,
for his love endures forever.”