Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

MaAfadhali umemwambia.
Kutongoza mtu mbele ya watu kuna mawili:-
Aidha ni utani au kichwani hamnazo.
Huyo mtoa mada kichwani hamnazo, mwanamke unamtongozaje mwanaume mbele ya darasa, Inamaana wewe ni malaya uliyekubuhu hadi shetani anaogopa utapindua ufalme wake.
 
Ukitaka kujua men hawajui kukataa check pm zao wote zipo wazi…….. hapa natafuta wa kumuibukia nimtongoze nione
 
nina mikasa mingi ya kutongozwa na wanawake......ila daah kuna scenario hizi mbili za kutongozwa ndo huwa sizisahau

1) hii nilitongozwa na mtoto wa jirani..kipindi hicho huyu dogo yupo la saba mimi nipo chuo nilikuwa kama 22 hivi kale katoto 13...

shida iliaanza nilikuwa napenda sana kukatania kukaita mchumba ...kuna siku nipo nimetulia zangu kijiweni dogo ananiambia hivi kweli unanipenda au...

mwanzoni nilikuwa nadhani masiala ila kadri nivyokuwa namjibu kimasiala dogo alikuwa anakasirika mwishoni ananiambia...wanaume huwa wanajiamini ila wewe ni muoga sana....

kusema kweli confidence yangu ilishuka nikabaki namuangalia tu....baada ya hapo dogo akakata na mazoea na mimi kabisa hataki kuongea wala kunisalimia.....

sijui kapowapi siku hizi maana nyumbani niliondokaga kalikuwa kazuri...kitambo kidogo katakuwa kakubwa now.

2)hii ilinitokea nipo na rafiki yangu tulikuwa tunapiga harakati maeneo fulani..hapo karibu na tunapopiga harakati

kulikuwa na manzi hivi jamaa yangu akatokea kumuelewa sana....kuna siku tunarudi zetu nyumbani tukakutana na huyo manzi njiani jamaa akaamua kumuita kumtongoza....

mimi nikawa nimesimama pembeni ili niwape nafasi...ila huyo manzi alikuwa antufahamu kwa kutuona hatukuwahi kuongea naye before....

cha ajabu kama baada ya dakika mbili hivi manzi anamuacha jamaa yangu ananisogelea mimi halafu ananiambia...

mimi kusema kweli nakupenda sana weweπŸ’—....nilipata goosebums za hatari....sikuweza kumjibu chochote...nikasizi kama sekunde kazaa mwishoni nikaamua kuchukua no zake....jamaa yangu alijisikia vibaya sana

sitosahau hizo scenario aisee
 
Hao ulokua unawatongoza ni wakenya huwa wana asili ya uoga kwa mademu.
Sasa wewe mtongoze mtoto wa kiume wa kitanzania kama hupigwi rungu dakika hiyo hiyo kama sio kubakwa.

Hiyo case study yako kwa wakenya hai apply tanzania..mtanzania akuchekee?
 
By time utakamega tu!! Speaking from experience.
Wanaume tuliowahi kutongoza tukagoma piga ua with time nature itakurudisha tu kwa yule mdada na utammega!! πŸ˜„
 
Hapo hakuna uhalisia ndio maana wanaume walikua wanakua puzzled.
Kwa sababu hata wanawake hatuwatongozi kwa mtindo huo kwamba nataka touching hata mbele ya darasa.
Hata huyo Mpenzi wako TU huwezi mfanyia hivyo.sembuse mtu uliemshitukiza?
Hahahahah
 
Nilishawahi kuwapata kadhaa na mmoja wao alikuwa bikra aisee.mtoto chuma kasimama mzuri balaa .

Mwingne mwaka jana alinikuta kanisani alinipenda balaau ila bahati mbaya alinikuta nikiwa na stress za ujobless nikaona hapa nitampa tabu mtoto wa watu. Ikabidi nimuache tu.

NB; hao wote na wengine ambao sijawaorodhesha hapo haki yao ya kupata mjegejo waliipata bila shida.
 
Mlikuwa mnakutana na madomo zege bila shaka ama mazingira hayakuwa rafiki kwa faragha.

Unakutana na mtu kapombeka kiasi unamletea hizo pigo anakuinamisha chap au anapima SAE4O ama anakupa mate kwa spidi ya light.
Sio SAE40 ni 5W30
 
Hebu atupie kwanza hapa hiyo mistari yake tuone kama kweli anaweza kunasa mwanaume, isijekuwa alikuwa anatupia mistari kijeshi na sura ya baba yake kama aaliyyah halafu aseme anaweza kumshawishi mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…