Kama unataka kufanikiwa kweye maisha, acha kufanya kazi za kimasikini zenye asili ya kimasikini.

Kama unataka kufanikiwa kweye maisha, acha kufanya kazi za kimasikini zenye asili ya kimasikini.

Kuna kazi ukifanya automatically unajiweka kwenye Giza la umasikini na kufanikiwa inakuwa ngumu, binafsi nimefanya kazi hizo najua mfano uvivu mtu anaiishi ili ale tu hakuna kingine
Inategemea kwenye uvuvi upo nyanja ipi, unaenda ziwan kuvua wew mwenyewe au wew ni mvuvi umeajir watu wanaenda kuvua kwaajri yako! Kama umeajri watu hapo sawa, lakn kama umeajiriwa wew ni mvuvi, ndug yangu kutoboa ni ngum sana labda kama unatafta kianzio then ubadri fan au uajiri pia.
 
Kiufupi ni kwamba wote hatuwezi kuwa matajiri.

Na njia za kutobolea ni tofauti tofauti. Wote hatuwezi kuwa wafanya biashara
 
Maafisa usafirishaji aka bodaboda sio kazi ya kimasikini bwana.
 
Walinzi wa kampuni binafsi.ukikuta mlinzi wa kampuni binafsi anamiliki hata bodaboda jua ni mwizi au anacheza biashara chafu na wakubwa sehemu anayolinda.kikubwa walinzi ni maskini sana kushindia mihogo ya jero na maji ya bomba lindoni ni kawaida tu na nyumbani akirudi anakula ugali na matembele kama mbuzi
Hahahaha acha ujinga kaka! Matembele kama mbuzi!
 
Huwezi kukomaa na ajira yako ya TGS C huku ukiwa kijijini unawatumikia wananchi halafu uwe Tajiri.

Mtoa mada yuko SAHIHI

#YNWA
#YANGA BINGWA
Sijakataa kwamba yupo sahihi ,tatizo nimegoma kusikiliza ushauri wa kuwa tajiri kutoka kwa maskini mwaka huu ,ana ushauri mzuri ila yeye yupoje kwanza nazingatia hilo🤔
 
Mtoa mada Huna akili narudia tena kusema Huna akili.. usiiishi kwa mazoea mimi ni boda boda na nina uhakika kabisa hunipati kipato changu cha mwezi wala maisha ninayoishi bro sijui dada.. usikalili pesa ninayoingiza kwa siku ni 50000 kwa wiki ni 350000 na kwa mwezi ni 10400000 we unalipwa bei gan kwa mwezi tuanzie hapo
Rekebisha hiyo 10400000 kuwa 1,400,000.

Mlioni 10 lakini 4 hata RC haipati Kwa salary yake
 
Mafanikio ni muunganiko wa jitihada ndogo ndogo nyingi. Huwezi kuanza tu kufanikiwa bila kupitia michakato. Wengi walianzia chini na kufika juu kwenye mafanikio. Pia BAHATI INAHUSIKA.
Kumbe mama ukiacha uchawa upo vizuri kichwani
 
Kila kazi ina matajiri. Kuwa na jicho la kuona fursa zaidi kwenye kila kazi. Labda ungetumia neno usiridhike kwenye kazi unayofanya, maana wengi wanakwama kwa sababu ya kukaa kwenye 'comfort zone'
 
Huwezi kukomaa na ajira yako ya TGS C huku ukiwa kijijini unawatumikia wananchi halafu uwe Tajiri.

Mtoa mada yuko SAHIHI

#YNWA
#YANGA BINGWA
Mzee wa Kataa ndoa uko sahihi ndo maana nimesema mafanikio ni muunganiko wa jitihada ndogondogo nyingi. Kutegemea mshahara peke yake tena wa TGS C ni ngumu kufanikiwa.
 
Mtoa mada Huna akili narudia tena kusema Huna akili.. usiiishi kwa mazoea mimi ni boda boda na nina uhakika kabisa hunipati kipato changu cha mwezi wala maisha ninayoishi bro sijui dada.. usikalili pesa ninayoingiza kwa siku ni 50000 kwa wiki ni 350000 na kwa mwezi ni 10400000 we unalipwa bei gan kwa mwezi tuanzie hapo
Samahani mkuu kwa Mwezi unaingiza be gan? Make macho yangu yanasumbua kusoma hizo tarakimu,hebu naomba uandike kwa maneno
 
Kuna kazi ukifanya automatically unajiweka kwenye Giza la umasikini na kufanikiwa inakuwa ngumu, binafsi nimefanya kazi hizo najua mfano uvivu mtu anaiishi ili ale tu hakuna kingine
Ulikua unafanya uvuvi wa aina gani wewe mbona nmepiga hela huko kilicho niondoa huko ni risks ila pesa ipo
 
Kuandika ni simple like that.

Punguzeni kuvuta Marijuana same time.
Unayaandika haya,kana kwamba wewe unamiriki kampuni kubwa.
Acha watu wafanye kazi kwa bidii.
Mwenye maisha mazuri,ambayo hayana stress ni FISADI TU.

Kiufupi,mambo yake ni silent.no kodi.
Nchi Yako yenyewe ni maskini au hujui kukumaji wewe
 
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.

Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.


HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk

Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.

Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi

Hapa nazungumzia local participants
Bro njoo ferry kivukoni hapa uone boda boda tunaishije
 
Maendeleo na Hatua Ni mentality ya Mtu Hatua, Maendeleo,na utajiri Vinaanzia kichwani

Bro Me Nasemaga Kama Bado unajitafuta fanya Kazi Yoyote ya Halali kujenga msingi wa Kwenda juu KIMAISHA unachukua Miaka mingi si chini ya Miaka 5

Kipindi unajitafuta hutokula focus zako,Hutokula ndoto zako mzee fanya.kazi Yoyote HUKU ukiweka Mikakati sawa ya kusogea juu.
 
Polisi
Mwalimu
Nesi
Maafisa watendaji
Wahasibu wa halmashauri
Nk
Ili wawe matajiri lazima
1. Kuiibia serikali muda
2. Kuiibia serikali hela
3. Rushwa

Bila hivo hakuna anayeweza kuwa tajiri hapo
 
Back
Top Bottom