Tupe picha ya bi hadijaHuyo siyo Beyonce asilia ni makeup na picha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Hadija Kopa ama?Tupe picha ya bi hadija
Mwanangu umeandika kichawi sana aisee 🤣🤣🤣Hii couple naona imepewa masharti ya kutotengana
Nchi inapata uhuru Faiza Foxy yuko bize na mpenzi ndani ya kuta nne huku milango na madirisha yamefungwa. Wanakuja kutoka nje tayari Gavana Turnbul kashamkabidhi Mwalimu Nyerere nchi.Wewe umejuaje umri wa FaizaFoxy ? Usiyaamini maneno yake. Unaweza kukuta ni kasichana ka miaka 19 tu
Hawa ni watu wawili tofauti ni mtazamo wanguView attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Kwa hiyo watu wasile chakula kingi sio?Ila mbinu za kuonekana kijana zipo.... huwa unamfuatilia Rais wa Marekani Joe Biden... ana miaka 80 lakini ukimuangalia vizuri anaonekana kama hajazeeka..
Nadhani ni kuishi maisha ya afya... mfano kuna watu wanakuambia ukiwa unakula sana chakula mwili unazeeka haraka kwasababu, mwili unapokuwa unamengenya chakula huwa unatumia energy kubwa sana ambayo inachangia kuzeesha mwili
Nitashukuru sana
Usijali, usihangaike sana. Hii nayo iko 'so hooot'!Yaani bado naitafuta mahala nilipoisave siioni. Nahangaika kuitafutq kwenye nyuzi zangu sijajua ni ipi ila ilishatumwa kwenye moja ya nyuzi.
View attachment 2768682
Khadija Mbowe
Wewe hizo makeup huzitakiHuyo siyo Beyonce asilia ni makeup na picha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Miaka 19 ni mwaka wa kwanza chuo kikuu.Miaka 19 anatafuta nini humu jf, umri huo wako darasani.
Huyo ni mwongo mwenye degree ya mwaka 1982 hawezi kuandika utumbo kama ninaouona hapa kila siku.Una uhakiKa gani kamaliza degree 1982?