For sure hasa sisi wakatoliki imekua balaa. Kuna siku nilirudishwa na mmama mmoja nimevaa gauni lipo katikati ya magoti akasema ukiinamana jee?.Basi nikarudi zangu home sitarudia kuvaa japo sio fupi sana. Siku hzi ni mwendo wa vitenge na magauni ya kujisusia. Kuna makanisa wako very strict now days huingii hovyo hovyoUvaaji kanisani kiukweli umekuwa wa ovyo Sana... Full kuondoana upako
Bora wataokoa wengi mno kwa njia hiyo.....tumekuwa too much aiseeFor sure hasa sisi wakatoliki imekua balaa. Kuna siku nilirudishwa na mmama mmoja nimevaa gauni lipo katikati ya magoti akasema ukiinamana jee?.Basi nikarudi zangu home sitarudia kuvaa japo sio fupi sana. Siku hzi ni mwendo wa vitenge na magauni ya kujisusia. Kuna makanisa wako very strict now days huingii hovyo hovyo
Hao watakuwa ni wasanii, wakijifanya wanakwaya.Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Naona maboss wenye mtandao wao wameiblock video haionekani mkuuMkuu usishangae,miaka mingi tumepigwa upofu!Kumbe haya makanisa ni vichaka vya Shetani,wala hajawahi kuyaachia baada ya kujitenga na Catholicsism.Papa mwenyewe amesema madhehebu hayo ni makahaba,Kanisa la Roma lenyewe likiwa ndilo Mama wa Makahaba hayo!The so called Churches,kumbe kujitenga na Catholicsism haikuwa lolote,but was a tactical move by Satan kuwadanganya watu ili kuendeleza the Pagan Worship practised by the Catholic Church.So usishangae mkuu,it is part of the game.
Pope Francis himself has revealed it all,watch this👇.Ila usifurahi kama wewe ni Muislam,you are not safe either.Infact hali ya Islam is even worse.
Usanii kanisani mkuu tena siku ya jumapili?Hao watakuwa ni wasanii, wakijifanya wanakwaya.
Sasa mkuu huoni yanaweza zuka mambo mengine hapo!Labda kuvutia watu wajiunge hasa vijana.
Ni Bora msinielewe nyinyi kuliko nisipoeleweka na kondoo wq bwana tena Wanakwaya!Sasa mbn unatuletea maneno tupu humu...unahisi unaelewekaje?
Mkuu kila kitu kikiwa na picha tutakuwa kama Twitter now,maana Twitter ushenzi umezidi,mtu yupo na demu wake getto anamvizia na kumpiga pichaTatizo ni kukosekana picha
Mkweli mkuuHili nalo huenda ni sababu kubwa, vitu kama mavazi, nywele na vipodozi vinachangia kwa kiasi kikubwa binti kuvutia njemba, na wao hilo wanalijua. Ndo maana ni vigumu sana kuwashawishi mabinti waende kwenye events na mavazi au mwonekano ambao hautavutia viewers wengi, hilo liko kiasili kabisa.
Mzabzab kama mzabzabAh wee hawa wanatuhitaji sana tuu kama vile sie tunawahitaji sema wao hitaji lao ni kuitwa mke wakati sie ni kula mbususu na kuzaliaha tuu.
Mie nasubiria miaka saba ijayo watakuwa wanawake wanatuomba tukafunge ndoa kuficha aibu
Mkuu kuhusu Mimi huwa sina sababu ya kutunga uwongo,je ili iweje?Hii chai ingependeza kama ingekuwa ni chai kutoka mkoani ila Kwa joto la dar chai haishuki mkuu
Kwahiyo unataka kutuambia nini mkuuKinachoimba ni nguo au maumbile na sauti
ni kosa kisheria kumpiga mtu picha / kutumia picha yake bila ruksa yakeUzi bila picha hauna maana