Kama wananchi wote wa Msumbiji wanaandamana kupinga matokeo nani aliipigia kura frelimo chama kikuu na kushinda?

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,109
Reaction score
5,284
Aman iwe kwenu watumishi wa mfalme mkuu aliyetuumba na vyote vilivyomo naye ni MWEMA sana ni MWAMINIFU sana

Nimekuwa ni mfatiliaji sana wa maandamano pale msumbiji lakin kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza sana ni juu wa waandamanaji

Waandamanaji ambao nimewaona ni kuanzia watoto, wanawake, wazee wanaume, wasichana, wavulana na vijana tena siyo wawili au watatu bali ni maelf kwa maelf ya watu

Sasa nimekuwa nikijihoji mwenyewe Nan aliipigia kura frelimo mpaka kushinda mbona wananchi wote wa msumbiji wanaandamana

Wapiga kura wa frelimo ni akina nani mbona wapikura wote naona wanaandamana?

Nani kaiweka frelimo madarakani kwa awamu nyingine

Asante
 
Watanzania tungekuwa kma wamozambiq., tungeheshimiana sana. Kungekuwa hakuna machawa na tungekuwa mbali sana kimaendeleo
 
Frelimo walikuja kupewa mbinu za wizi wa kura na CCM , ila walisahau kuwa wananchi wa Msumbiji hawavumilii ujinga kama hawa mbuzi wa Tanganyika.
 
Mozambiq ilikuwa ni nchi ya mwisho kimasikini miaka ya 1980 lakini sasa wameshatupiga bao.. Nakumbuka kuna wakati serikali yao iliongeza kodi kwenye mkate. Wananchi walikinukisha mpaka serikali iliondoa kodi. Wamozambiq wanajielewa sana. Sisi sijui nani alituloga yaani tupo tupo tu kama manyumbu na ccm inafurahi kutuona tupo namana hii
 
Nchi nyingi za "bara jeusi" ndio mambo yalivyo.
 
Sasa nimekuwa nikijihoji mwenyewe Nan aliipigia kura frelimo mpaka kushinda mbona wananchi wote wa msumbiji wanaandamana
Wananchi hawana HAKI yaan ni sawa na Maiti mfu Mzoga unaotembea huna HAKI hata Mochwari utapigiwa hesabu za bei mbaya ili uzikwe hivyo ndivyo wanavyokuona wanasiasa wa Chama Tawala huna haki wewe wao ndio wenye HAKI hata kwa kuweka kiongozi ambae hajapigiwa kura wao ndio wamemuweka nyinyi wananchi hamna haki nendeni mkashtaki mbinguni, nimejaribu kutumia lugha inayoeleweka ili uelewe
 
unafahamu idadi ya waliopiga kura na je hao walioandamana hapo wapo miloni ngapi
kisha ndiyo uje utuambie hayo madai yako
 
Frelimo walikuja kupewa mbinu za wizi wa kura na CCM , ila walisahau kuwa wananchi wa Msumbiji hawavumilii ujinga kama hawa mbuzi wa Tanganyika.
Kweli mkuu TZ Bongo DAR salaam uku kila mtu anachunga M N O F U wake na uyouyo analalamika figisu za mwenzie pale yeye akitaka cha mwenzie vichekesho zaid naww tafute chake haaa utasikia kijana SUMU iyo hoooooo kijana au umetumwa kijana Tuheshimiane. Sasa apo ndio ninapochoka kule wezi uku nako vibaka walewale ndio mana wenye akili wanaona CCM mbelekwambele. Kizaz kwa kizaz lkn CCM juuu tu.
 
Msumbiji Ina idadi gani ya watu,wote wapo barabarani,umewahesabu!?
 
Watanzania tungekuwa kma wamozambiq., tungeheshimiana sana. Kungekuwa hakuna machawa na tungekuwa mbali sana kimaendeleo
Ubalikiwe sana mimi naona tuendelee kumwomba MUNGU MWENYEZI huenda akatuponya
 
Jamaa mwamko wao wa kufanya maandamano hata mimi umenishangaza ..naamini hata sisi hapa Tanganyika TUTAAMKA soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…