Wivu unakutesa wewe utopoloHahahaha mashabiki wa Simba ni wazuri sana wa kujitoa akili, kupoteza kumbukumbu ya uhalisia wao na kujitutumua kujaa kama puto wakisahau kuna kupasuka. Kwa mawazo yao tu ya Abunuasi basi kwa haraka utawagundua. Hawana huo uwezo hata kama wakicheza mechi zote kwa mkapa. Ni vizuri wakajipongeza kwa kufikia malengo na uwezo wao ulipoishia na sio kujitumumua kuwa wanaweza songa hatua zaidi ya hii.
Hata Mazembe na Pirates nao wanaiogopa Simba na hujasema au hujui.Si tunajiamini kuwa Simba SC ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC Jana kwa uwezo wetu na tuna Jeuri ya Kucheza na Timu yoyote Afrika sasa kwanini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates ya South Africa?
Tukisema ukweli kuwa kwa Kiwango cha Simba SC kwa sasa na kwa aina ya Wachezaji tulionao pamoja na Uwekezaji wetu mchanga kwa hizi Timu Tatu ambazo moja wapo tutacheza nao Simba SC 'hatutotoboa' kwenda Nusu Fainali ya Shirikisho mnanitukana na mnatutukana tuliowazidi Upeo, Maono na Jicho Kali la Uchambuzi wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu wa Tanzania) na Masuala mengine.
Ninasisitiza hapo ndiyo mwisho Wetu!
hakuna unachoweza kubadilisha. Utatabwabwaja humu mwisho wa siku utajikuta we Ni mchawi tu km wachawi wengine.Si tunajiamini kuwa Simba SC ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC Jana kwa uwezo wetu na tuna Jeuri ya Kucheza na Timu yoyote Afrika sasa kwanini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates ya South Africa?
Tukisema ukweli kuwa kwa Kiwango cha Simba SC kwa sasa na kwa aina ya Wachezaji tulionao pamoja na Uwekezaji wetu mchanga kwa hizi Timu Tatu ambazo moja wapo tutacheza nao Simba SC 'hatutotoboa' kwenda Nusu Fainali ya Shirikisho mnanitukana na mnatutukana tuliowazidi Upeo, Maono na Jicho Kali la Uchambuzi wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu wa Tanzania) na Masuala mengine.
Ninasisitiza hapo ndiyo mwisho Wetu!
dada Kama dadaNajua Sindano zangu zimewaingia hasa.
Nadhani ungeendelea kushikilia msimamo wako kwamba Simba imetolewa kwa kuwa imecheza saa nne usiku. Unazungumziaje Al Aly Tripoli na TP Mazembe wakati Simba ilishatolewa kwa kuwa ilipangiwa kucheza muda mbaya? Acha ujinga, post yako hii hapa:Si tunajiamini kuwa Simba SC ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC Jana kwa uwezo wetu na tuna Jeuri ya Kucheza na Timu yoyote Afrika sasa kwanini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates ya South Africa?
... Jana tunasikia Mechi itachezwa Saa 4 Usiku ambayo itaisha karibia na Saa 6 Usiku muda ambao hata Kinyota ( Kinujumu ) ni mbaya
... Kosa kubwa sana limefanyika hapa
... Aliyebadili huo muda ametusaliti mno!!
We popoma umenikwaza Sana Leo sio siri.ungekuwa karibu ningekutwanga mangumi Kama mwehu.Usipomzoea GENTAMYCINE utapata nae taabu sana hapa JamiiForums. Yaani hapa nilipo Nacheka mpaka basi....!!!!
Kwa comment hii kuna haja ya kumwita daktari kuja kufanya vipimo wanasimba wenzangu?Mpaka sasa bado sijaona Wachezaji bora na mahiri ndani ya Simba SC kwa Msimu huu wa kufikia Viwango vya Wachezaji ninaowapenda na kuwakubali wa Yanga SC kama Yanick GENTAMYCINE Bangala, Khalid GENTAMYCINE Aucho na Fiston GENTAMYCINE Mayele.
Kama Simba SC katika Draw ya Leo (Jumamne) tutapangwa na Magwiji na Majabali akina TP Mazembe na Orlando Pirates nashauri / napendekeza tuachane na Utani wetu wa Simba na Yanga au kuona Aibu na tuwaombe Yanga SC watupe hawa Wachezaji wao Watatu tajwa ili Watusaidie kwani kwa hawa tulionao naona zile Goli Tano Tano za Kufungwa zinaenda Kurejea tena Msimbazi.
Kwa wale Mazuzu, Washamba na Mapopoma ambao huenda miaka ya mwishoni mwa Tisini bado mlikuwa katika Zipu za Baba zenu ni kwamba hata Yanga SC nao walivyofika hatua fulani ya Michuano hii ya Kimataifa walituomba Simba SC Wachezaji wetu ambao walikuwa Mahiri kipundi hiko akina Alphonce Modest ( Beki ), Shaaban Ramadhan ( Kiungo ) na Monja Liseki ( Mshambuliaji ) ambapo waliwasaicia vizuri tu Yanga SC sema bahati haikuwa Kwao.
Ukweli unauma ila ni dawa iponyayo.
Naanza kunusa roho ya utopolo kwa mbali.GENTAMYCINE nitawalaumu sana CAF na hata nitakuwa tayari kukata 'Rufaa' Kwao kama katika 'Draw' ya leo watatupanga na Timu 'Dhaifu' ya Al Ahly Tripoli ya Libya kwani nataka Kuuona Uwezo wa Simba SC ambayo inasifiwa 'Kipuuzi' Mitandaoni kwa Kupangwa na Majabali / Magwiji wa TP Mazembe ( Congo DR ) au Orlando Pirates ( South Africa )
Si tunajiamini? Basi tuwe Wavumilivu!!!!!
Genta Mimi shabiki wako sn..hunaga Baya na mtu ingawa samtaimz unakichafuašUsipomzoea GENTAMYCINE utapata nae taabu sana hapa JamiiForums. Yaani hapa nilipo Nacheka mpaka basi....!!!!
Mimi ni 'Tetesakrini' au hujanijua Mkuu?We popoma umenikwaza Sana Leo sio siri.ungekuwa karibu ningekutwanga mangumi Kama mwehu.
Ule Uzi wako wa kutoboa ishu ya manala kuhujumu Simba na ikatokea kweli nilikuamini kwa asilimia zote Sasa haya mashudu umeyasndika ukiwa kichwa Kiko juu chini Kama popo au?
Wewe jamaa nikiona umepost kitu naanza kabisa kucheka, lazima utajisifia au kutoa lugha chafu.Mimi ni Tetesakrini au hujanijua Mkuu?
Na nimeamua Kukichafua Makusudi tu.Genta Mimi shabiki wako sn..hunaga Baya na mtu ingawa samtaimz unakichafuaš
Je, ninavyojisifia huko huwa siko sahihi?Wewe jamaa nikiona umepost kitu naanza kabisa kucheka, lazima utajisifia au kutoa lugha chafu.
Nitakunya Mbezi Lois mpaka Msamvu!!!!relax tukiwapiga 2 orlando hapa basi fainali yetu