we ni mjinga sana unakumbuka ulichoandika hapa....juzi?
Leo naomba nitoe Elimu Kiduchu ya Unujumu ( Uchawi ) ni kwamba mara nyingi Jini la Simba SC huwa linakuwa 'Active' sana kati ya Saa 10 hadi Saa 12 na Saa 1 hadi Saa 3 na hiyo ya Saa 10 hadi Saa 12 nayo huwa ni Siku za Jumapili tu na siyo Siku za Jumamosi au Jumatano.
Kwa muda wa Saa 1 Usiku hadi Saa 3 Usiku huwa ni kwa Siku zozote zile na mara nyingi Simba SC huwa akicheza muda huu si tu kuwa huwa anashinda bali pia hushinda kwa Kishindo ( Ushindi Mnono )
Wazee wa Kazi ( Fitna, Uchawi na Roho Mbaya ) tulishaanza Kuicheza Mechi hii Kitambo hasa tukijua kuwa muda utakuwa ni ule ule wa Jini letu Simba SC kufurahi na kufanya Kazi kati ya Saa 1 Usiku na Saa 3 Usiku mara tena ghafla Jana tunasikia Mechi itachezwa Saa 4 Usiku ambayo itaisha karibia na Saa 6 Usiku muda ambao hata Kinyota ( Kinujumu ) ni mbaya na Jini letu nalo linakuwa limeshaondoka na halina Nguvu tena.
Kosa kubwa sana limefanyika hapa na binafsi kama GENTAMYCINE nimesikitika mno kwani sasa inatulazimu tuanze Kazi upya, tulazimishe Ushindi hata kwa Kufanya Makafara Makubwa na ya Kushtua ili Ushindi upatikane hasa kwa muda huo mpya wa Saa 4 Usiku mpaka Saa 6 Kasoro 10 au Kasoro 5 hivi.
Tukishinda kwa huo muda nitashukuru pia na kufurahi kama mwana Simba SC kwa Kuingia Robo Fainali ya CAFCC ila nisifiche wala kuwa Mnafiki kwa Uzoefu wangu wa hii Michezo na haya Masuala matokeo ni 50 / 50 na Uwezekano wa Kulia na Kutoamini Matokeo tutakayoyapata ni mkubwa tena kwa 85%.
Aliyebadili huo muda ametusaliti mno!!