DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ko wote tukisoma hayo unayoyasemaMtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata Sehemu ya kujitolea Kupata tu ni mziki mnene kuzidi Hadi ule wa disco sound
Watu wanumwa wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzalina na lazima mtoto aende shule tu Sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Umo umo yaani kitendo Cha kujua wewe ni masikini inabidi usicheze mbali na jamii yakoNa sheria.watu wanaua kila siku,wanaiba kila siku,wanabaka kila siku,migogoro ya ndoa kibao,ardhi,mikataba,
Ishu Wala sio Bei,wengi wanasomeshwa bure na serikali,ishu ni uwezo,udaktari sio kila mtu anaweza,kusoma kwenye advance wangapi wanatoboa mpaka kufika vigezo?Kusoma udaktari nako bei juu sana
Ule muhuri wao hawalali njaa nasikia vibuku 20,30 nasikia wanavipata pataNa sheria.watu wanaua kila siku,wanaiba kila siku,wanabaka kila siku,migogoro ya ndoa kibao,ardhi,mikataba,
Wapi wanakosomeshwa bure huko MkuuIshu Wala sio Bei,wengi wanasomeshwa bure na serikali,ishu ni uwezo,udaktari sio kila mtu anaweza,kusoma kwenye advance wangapi wanatoboa mpaka kufika vigezo?
Ukiona ana muhuri alafu Alia njaa uyo ni mzembe Sana,Ule muhuri wao hawalali njaa nasikia vibuku 20,30 nasikia wanavipata pata
- Ukiona rafiki Yako aliyesomea HR Yuko TRA,EWURA,LATRA, usimuonee Wivu, Kwa sababu huyo akianza Kazi anakuzidi Kwa mara4Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata Sehemu ya kujitolea Kupata tu ni mziki mnene kuzidi Hadi ule wa disco sound
Watu wanumwa wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzalina na lazima mtoto aende shule tu Sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Apa tanzaniaWapi wanakosomeshwa bure huko Mkuu
Matajiri tusome nini mkuu!?Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata Sehemu ya kujitolea Kupata tu ni mziki mnene kuzidi Hadi ule wa disco sound
Watu wanumwa wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzalina na lazima mtoto aende shule tu Sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.