Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaaaUkitoa udaktari hizo zilizobaki ni marufuku kwa wahay kusoma.
Mhaya unakuwa mwalimu aiseeee utakuwa unakwama sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaaUkitoa udaktari hizo zilizobaki ni marufuku kwa wahay kusoma.
Mhaya unakuwa mwalimu aiseeee utakuwa unakwama sanaaa
Wewe unawaza gari ? Gari hata mkulima ananunua ni malengo tu mimi mzee wangu kanunua gari kwa Kazi kupanga mafaili tu.Sijawahi kumuona AFISA Kilimo anaendesha Discovery 3, 4 😀
Wahaya wawapi Mimi muhaya na najua maisha yetu magumu tu hasa MulebaUkitoa udaktari hizo zilizobaki ni marufuku kwa wahay kusoma.
Mhaya unakuwa mwalimu aiseeee utakuwa unakwama sanaaa
Public relationsMatajiri tusome nini mkuu!?
Amenunua discovery au?Wewe unawaza gari ? Gari hata mkulima ananunua ni malengo tu mimi mzee wangu kanunua gari kwa Kazi kupanga mafaili tu.
Hahahahaaa...... matusi hayo 'braza'.Sijawahi kumuona AFISA Kilimo anaendesha Discovery 3, 4
BugatiAmenunua discovery au?
Au Sio?Bugati
Duh! haha..Matajiri tusome nini mkuu!?
VETA lazima MkuuSema VETA, umeme, uashi,ushonaji nk.
Hujui sheria inafanyanye kazi my furendiNa sheria.watu wanaua kila siku,wanaiba kila siku,wanabaka kila siku,migogoro ya ndoa kibao,ardhi,mikataba,
Kabla ya kushauri kwanza inabidi ujue ufaulu wako ndio unakupangia kwanzaingekuwa suala la kujipangia mtu 90% ya wanosoma corse za Social Science wangechagua hizo coirse za engineering, MD nkIngekuwa ni mimi ningeshauri asome moja wapo wa fani hizi;-
- Engineering
- Medical Doctor
- Quantity Survey
- Vocational Training in either Masonry, Electrical, Mechanical kwa wale watakaokuwa na Elimu ya wastani.
Muna overrate sana hivi vikozi vya veta hakuna tofauti na mtu aliyefungua Tigopesa tuSema VETA, umeme, uashi,ushonaji nk.
Ila bado kuna walimu na madaktari maelfu hawana kazi. I think kuna mambo mengi zaidi ya kutilia maanani.Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Ni sahihi, ila wengi wanaosoma hayo masomo ya Social Science unakuta aliacha kusoma Chemistry na Physics alipokuwa Form 3 na wangekuwa na Option ya Kuacha Hesabu wangeliacha pia 😄 🏃🏃🏃Kabla ya kushauri kwanza inabidi ujue ufaulu wako ndio unakupangia kwanzaingekuwa suala la kujipangia mtu 90% ya wanosoma corse za Social Science wangechagua hizo coirse za engineering, MD nk
UmemalizaIngekuwa ni mimi ningeshauri asome moja wapo wa fani hizi;-
- Engineering
- Medical Doctor
- Quantity Survey
- Vocational Training in either Masonry, Electrical, Mechanical kwa wale watakaokuwa na Elimu ya wastani.
🙏Umemaliza