Kama wewe ni masikini usicheze mbali na hizi course

Kama wewe ni masikini usicheze mbali na hizi course

Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Sawa na sisi mahr tunakiskia tutakutana

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Hata kazi za polisi ni za watoto wa masikini pia. Ongezea hapo.
 
Watu wamesoma psychology wanapiga pesa kumshauri mtu kwa saa 1:30 bei elfu hamsini.

Kwa siku akipata watatu au hata wawili kwa week ana wangapi had mwezi uishe!

Utasema wateja wa kulipa hawapo !!!?? Wapoo kibao hasa miji mikubwa kama Dsm, Arusha, Mwanza n.k

Kwa hiyo uandishi wako ni opinions.
 
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.

Ko watot wa masikini tulosoma IT imekula kwetu mwaka wa pili hatuna ajira
 
Kwa hiyo akisomea ualimu masomo ya geography na kiswahili , inakuaje hii hujaitolea maelekezo ujue
 
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Umetufokea tuliosoma HR daah😀😀

Ila ni ukweli mi siwezi mshauri mtu asome Hr😀😀
 
Umasiki uwe na fani zako chukua zako ufundi ujiajiri hizi coz za kusubr kusamabaza CV n mbya sn
 
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Kiufupi makozi yote magumu gumu ndio ya maskini mfano engineering.

Usije Anza kulaumu watu Kwa connection
 
👩🏻‍🔬👩🏻‍🔬👩🏻‍🔬👩🏻‍🔬👩🏻‍🔬
 
Uhandisi je??
Hizo course za watu wa kishua , uhandisi mpaka unamaliza chuo uwe ushaanza Kupata tenda serikalini za millions of money yupo ,lecture ndugu yangu udsm anafundisha uhandisi ,kafungua kampuni yake tangu akiwa chuo , na kampa Mama yake anasimamia wanagawa a faida tu.


Sasa wewe Kama masikini huna mipango aisee Kazi sio nyepesi
 
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Umesahau kozi moja kubwa sana UFUNDI (ENGINEERING)
asikudanganye mtu huko ndipo tulipo wasakatonge
 
Back
Top Bottom