Kama wewe ni masikini usicheze mbali na hizi course

Kama wewe ni masikini usicheze mbali na hizi course

Mkuu, ulizia gharama ya kusoma SCHOOL OF LAW na idadi ya wanaodisco kila mwana,
Utasadiki kuwa kupata huo muhuri ni kazi nzito kuliko kusomea sheria miaka 4.
- Dah, Kwa hiyo ndo watufanyie muhuri kwa 20,000?
 
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science

Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound

Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Huu Uzi uwekewe lamination na ujengewe sanamu pale Askari muornument posta Dar es salaam Tz
 
Back
Top Bottom