Cenilah laprincesser
Member
- Jan 25, 2021
- 58
- 51
Sawa na sisi mahr tunakiskia tutakutanaMtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Kasomeni International RelationsMatajiri tusome nini mkuu!?
Mkuu Muda wako unakuja everything will be ok it's just matter of time.Kwa hiyo akisomea ualimu masomo ya geography na kiswahili , inakuaje hii hujaitolea maelekezo ujue
Umetufokea tuliosoma HR daahππMtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Kiukweli matajiri watoto wao wanawasimesha BCOMPublic relations
We kijana wa maso unasoma uchumi kumbe Katika chuo Cha kizalendo.Vipi kuhusu development of economics ya chuo kilichopitwa na wakati cha mwalimu nyerere
Kiufupi makozi yote magumu gumu ndio ya maskini mfano engineering.Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Nda Law school Matokeo yametoka πππNa sheria.watu wanaua kila siku,wanaiba kila siku,wanabaka kila siku,migogoro ya ndoa kibao,ardhi,mikataba,
Hizo course za watu wa kishua , uhandisi mpaka unamaliza chuo uwe ushaanza Kupata tenda serikalini za millions of money yupo ,lecture ndugu yangu udsm anafundisha uhandisi ,kafungua kampuni yake tangu akiwa chuo , na kampa Mama yake anasimamia wanagawa a faida tu.Uhandisi je??
Umesahau kozi moja kubwa sana UFUNDI (ENGINEERING)Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Sema pale Law mtu akikaza serious anatoboa Mimi ndugu zangu wamesoma hapo Tena wakiwa na Majukumu kibao lakini wametoboa tu vizuri nadhani mchawi atakuwa kingerezaNe
Nda Law school Matokeo yametoka πππ