Kama wewe ni mchawi usije Kigoma kipindi hiki, Kuna operesheni kubwa sana inaendelea

Wakati India juzi wamefika mwezini, sisi tupo bize na mambo ya uchawi na uganga! Katika ubora wetu
 
Ulaya ukigundulika ni mchawi unauliwa kimya kimya, kama wewe si raia wa ulaya unakuwa depoted na hurusiwi tena kukanyaga nchi yao milele yote. ulaya uchawi ni laana mbaya sana hawataki kuisikia.
Sasa serikali zetu huku Africa(Tz) zina kwama wapi kuchukua utaalamu Wakuwajua wachawi kutoka ulaya (mf England miaka ya 1600s) na U.S.A Ili tuwafyekleee mbalii. Maana Hawa washikaji miyeyusho sana yani huna time Naye lakini anajipendekeza kwenye harakati zako
 
Kigoma kila walipo watu watano mmoja ni either mchawi, mshirikina au mganga.
Kigoma jirani yake Sumbawanga huku juu anakamatana na Wasukuma na wanyamwezi,mashariki anakamatana na wacongomani Kigoma kawekwa kati na kote huko kwa uchawi ni moto hatari
 
Ulaya ukigundulika ni mchawi unauliwa kimya kimya, kama wewe si raia wa ulaya unakuwa depoted na hurusiwi tena kukanyaga nchi yao milele yote. ulaya uchawi ni laana mbaya sana hawataki kuisikia.
Ulaya waliendelea baada ya kuwaua wachawi wote.
Africa ifanye hivyo,hata vitabu vyote vya Dini vinatoa ruhusa wachawi kuuwawa
 
Tafadhali waambie hao vigagula kutoka congo na nigeria tunawahitaji watufanyie kitu hapa bandar salama mara tu wakimalizana na hao waha na wamanyema.
 
Huo mchezo Wala hakuna mwenye ujuzi wa mambo hayo, kinachofanyika ni kusingizia wazee wa watu. Usiku wanapita kuchimba irizi na madude kwenye nyumba za watu, halafu asubuhi wanapita wakijifanya wanakimbiza vitu visivyoonekana wanaenda kuishia kwenye mashimo waliyochimba usiku na kufukia vitu vyao. Basi wakifukua na kutoa irizi raia wanashangilia kumbe wamepigwa na wazee wa watu kupewa shutuma za uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…