MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
- Thread starter
- #61
Kweli mkuuItakua kweli kwani Nilishaisikia hii majuzikati hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuuItakua kweli kwani Nilishaisikia hii majuzikati hapa!
SafiUlaya ukigundulika ni mchawi unauliwa kimya kimya, kama wewe si raia wa ulaya unakuwa depoted na hurusiwi tena kukanyaga nchi yao milele yote. ulaya uchawi ni laana mbaya sana hawataki kuisikia.
Nice reply.It is none of my businesses😎😎
Embu muache kwanza Leejay49wewe👉👉👉nani kakufundisha kutukana watu wazima?
Uzi bila pic. haujakamilika, Ripota unakwama wapi, au unachangamsha kijiwe.Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.
Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.
Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.
Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.
Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.
Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Am here, worry outAm sorry 🙏🙏
Naona umejibu kwa hasira sana vipi nawewe umo ?Ufala wa watu weusi.
Huonekani tatizo 😃😃Am always there for you😁,
Nani kasema 😁, mda mwingine nakuwa msomaji tu, haijawahi kutokea sijaingia JFHuonekani tatizo 😃😃
Kama hivyo sawa...vipi lakini mambo mengine yanaendajeNani kasema 😁, mda mwingine nakuwa msomaji tu, haijawahi kutokea sijaingia JF
Niko poa sana mtu wangu, najirefresh mara kadha hapa jf, kama wewe mda wote upo, big upKama hivyo sawa...vipi lakini mambo mengine yanaendaje
upo maokoto ya habari za hapa JFKama hivyo sawa...vipi lakini mambo mengine yanaendaje
Ujobless my friend 😃😃Niko poa sana mtu wangu, najirefresh mara kadha hapa jf, kama wewe mda wote upo, big up
Maokoto tena😃😃😂upo maokoto ya habari za hapa JF
Ujobless upi huoUjobless my friend 😃😃